Wakina dada msiopaka Makeup nawapeni maua yenu

Michalii ya chuga ndivyo ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23]

Penzi limekaa kimitego tukikorofishana tu uduguu ujiandae kutapamba moto humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri mie nammuduu, kazi kwakoo wee.
 
Kumekuchaaaa, kumekuchaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri mie nammuduu, kazi kwakoo wee.

Tuachane na hayo, uduguu kuna mpya gani leo?! Mama Bhoke aliweka ule ubuyu??
 
Hajawekaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake kuwa na mange app sioni shida, Ila kwa wanaume hapana. Kuna mshkaji wangu nilikua nae ana hiyo app

Hivi udugu wewe unasema umbea wote wa mjini unaujua, why unaenda tena kulipia mange app ili upate umbea?
 
Wanawake kuwa na mange app sioni shida, Ila kwa wanaume hapana. Kuna mshkaji wangu nilikua nae ana hiyo app

Hivi udugu wewe unasema umbea wote wa mjini unaujua, why unaenda tena kulipia mange app ili upate umbea?

Yeye huyo mshkaji wako hujamuuliza kwanini ana app ya Mange??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…