Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,250
- 3,607
wasiotumia make up either hawajijali au hawana hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri mie nammuduu, kazi kwakoo wee.Michalii ya chuga ndivyo ilivyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Penzi limekaa kimitego tukikorofishana tu uduguu ujiandae kutapamba moto humu
Uduguu hakuna bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]rUduguu nini tena? Mbona mnanisema
Kumekuchaaaa, kumekuchaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cute wife mrembo matata, kila nachotaka napata
Kwako nimeshadata, fanya fasta ndoa inafata
Sijui umenilisha limbwata, umenijaa moyoni
Sisikii siambiwi na sioni, taswira yako machoni
Mguu wa bia, kiuno laini siachi kukusifia
Sijali wanaokuchukia, day n night nitakupigania
Michano na mistari nakulilia, kilio umekisikia
Ndiwoooooh uduguuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cute wife alishatupatanisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri mie nammuduu, kazi kwakoo wee.
Kumekuchaaaa, kumekuchaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I hope you and yours are well, I'm sending you a virtual hug and wishes of good health[emoji120]happy to see you around too beshte...
A huge Amen to that, returning the blessings to you too.. 😍I hope you and yours are well, I'm sending you a virtual hug and wishes of good health[emoji120]
[emoji120]A huge Amen to that, returning the blessings to you too.. [emoji7]
Very soon maana siku hizi kuna mitindo ya wadada kunyoa hatari sana.Hongera,,,sogea kwenye kunyoa. Utapendeza Tena na Tena.
Hajawekaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuachane na hayo, uduguu kuna mpya gani leo?! Mama Bhoke aliweka ule ubuyu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio hivyo ilivyokuwa
Hajawekaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake kuwa na mange app sioni shida, Ila kwa wanaume hapana. Kuna mshkaji wangu nilikua nae ana hiyo appHajawekaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanawake kuwa na mange app sioni shida, Ila kwa wanaume hapana. Kuna mshkaji wangu nilikua nae ana hiyo app
Hivi udugu wewe unasema umbea wote wa mjini unaujua, why unaenda tena kulipia mange app ili upate umbea?
Nilimshangaa, hata yeye alijistukia nikapotezeaYeye huyo mshkaji wako hujamuuliza kwanini ana app ya Mange??
Nilimshangaa, hata yeye alijistukia nikapotezea
Wewe kwa nini usiweke?