Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kutoa tigo kwa mwanamke sio sababu ya kuzaa kwa kisu, akiwa mtoa tigo complication atakayopata ni kunya wakat wa kuzaa.

Pointi yangu ipo kwenye idadi ya watoto.
 
Kwanini usiseme tu,sitaoa mwanamke aliyezaa kwa operation? Maana Single mother siku hizi wananyanyasika sana, wanachukulia kama wao ni wa tofauti!

Mi nawapenda kinoma,wanawake zangu wote wana watoto na mimi ndio baba yao!
Unao wangapi maana umewekankivunisho wanawake zako wote
 
Unao wangapi mkuu [emoji23]? Hongera kwa kujitolea kuwa baba wa hiyari


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ninao kama wanne Mkuu,nimeona kuliko kuendelea kuwasema bora niwasaidie huku na wao wakinisaidia!
 
Alifanikiwa kujifungua ,dada yake alikuwa mwanafunzj wa nursing na alikuwepo wakati wa kujifungua , ilibidi aongee na wale wenzie wakamficha mtoto ye wakamwambia mtoto bahati mbaya amefariki,yule mtoto akapelekwa kituo cha watoto yatima baadae dada mtu akaenda kumchukua na kwenda kuishi nae sehemu nyingine kabisa akamfanya kama mtoto wake na yule mtoto alikuja kujua baadae kuwa yule sio mama yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi ntaoa lkn awe na mtt wa kike wakiume nisije pigwa uzeeni


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Mkuu naomba uniambie jina la hiyo movie nami nipate kuiona.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…