Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ipo hivi mkuu kuhusu wanawake ukisimanga mwanamke unajumlisha na mama yako dada zako na mwanao ajaee.

Unauhakika gani wa wewe kuoa mwanamke anae jifungua kawaida?

Na je! Akijifungua kwa upasuaji na mtoto akafa ....kwa hiyo utamuacha kwa sababu atakuja kuzaa wawili.... "usitukane wakunga na uzazi ungalipo".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inahuzunisha kama ndo hivi wanawake wenyewe tunashangilia upasuaji

Kujifungua kwa operation si salama....mshono ukizingua utaelewa kwanini upasuajo huwa ni njia mbadala katika kujifungua

Kuna mahali umesema mambo yanabaki vile vile ukimaanisha k,,,,,, nani kasema ukisukuma mtoto k inabadilika?

Endeleeni kudanganyana
Sijadanganywa nmeshajifungua kwa Operation mara mbili. Sijaona Madhara yoyote niko imara zaidi ya Simba.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si salama kwako kwa wengine ni salama sana.
Pia kuhusu K inabaki hivyo hivyo nmesema tu kuchangamsha genge naona umeichukulia too serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahitaji kujua madhara ya operation ya uzazi?

Wengi wao waliofanyiwa upasuaji nawasikiaga wakilalama kuhusu mishono hasa nyakati za baridi,

Kuna baadhi ya kazi hawaruhusiwi kufanya

Hawaruhusiwi kuinua vitu vizito

On bed kuna style ni ngumu kwao....kama mjuavyo wanaume wetu na mikunjo yao

Ni kusikia tu

Lakini nachoamini Mungu aliyetuumba wanawake alituwekea k kupitishia mtoto hivyo kujifungua kivingine madhara hayawezi kukosekana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mbona me pia nimezaa kwa operation na maudhi madogo madogo huwa hayakoseakani ni sawa pia na mwanamke anaezaa kwa njia ya kawaida hutakosa kumskia akisema hata naumwa na mgongo tangu nijifungue.

For that fact dear,hakuna asolalamika mamy katika njia zote mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli hakuna asiyelalamika lakini wa operation ana maudhi na masharti mengi kuliko wa kuzaa kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Single mother single mother rubbish kwani single mother ndio mdudu gani.
1 . Kama humtaki mtu oa unayemtaka kuja nakujishaua wai haipendezi kwa sababu unavyowafanyia wadada hivi now hata wewe dada yako atanyanyasika au ukija kuwa baba hata mwanao wakike atafinyiwa hivi au mtoto wako wakiume akiamua kuolewa akazaa mtoto nayeye atafanyiwa hivi kwa maana sasa hivi mtoto kwa kike na wakiume wote sawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna wadada humu wanasema single mom wananyanyaswa lakini kaka yake akitaka kuoa hao...utasikia kaka ina maana huoni wanawake wote mpaka utuletee huyu.... Nmeishuhudia hili mara kadhaa

Chief
 
ila Single mom kudate nao watamu sana ila huwa kasoro yao kuu huwa hawana imani tena na kupendana ...they can give u all but expectation of you to leave inakuwaga 100%

Chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…