Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mayai hayaishi kirahisi sema bwana mimba za kwenye ndoa zinakuaga na mbwembwe kweli.
Anaweza akafika muda anataka kuzaa sasa kila akijaribu waapi.
Nishamwambia azae kabla kizazi hakijalegea maana amefikia hatua anatoa mimba kwa msamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari.
Hapo mayai yamebaki kweli?
 
Lizarazu naomba usome hapa
"our past mistakes don't necessarily mean they can determine our whole future"

This is invalid syllogism to substantively avouch the premised raciocination of what is being discussed here.

We are talking about someone who has already an indelible,unerasable and uncancellable affinity bond with her previous partner in her a new journey of love with new partner!! The inevitability of her previous partner's pernicious interactional influence to her new relationship is self-explanatory.

So believing that marrying/dating a single mom while expecting the remarkable blunders she made in her past life won't have anything severe to your relationship is sheer delusion of grandeur.
 
Duh!
 
Wanaume wengi tunataka zinazobana,unaweza kwenda hata bao 4
 

Ha ha ha! Jinsi unavyoshangaa unatakiwa uelewe kwamba wanawake wana matatizo makubwa sana
 
Ndo maana tunatoa
Ndio unafanya makosa zaidi,kuuwa kiumbe ni jambo baya,na kama ikitokea umepata mimba nje ya ndoa,wewe subiri uzae,kisha kama ni mtu wa dini fanya toba ya kweli na ujutie kosa ulilolifanya na usilifanye tena na ulipige vita jamboamiia hilo.

Sasa tatizo lenu mnabeba mimba nje ya ndoa na mnazitoa mimba halafu wala hamuoni kama ni tatizo,mwisho wa siku mnazidi kupewa mitihani na kuonekana madhalili katika jamii.

Hivi ushawahi kuona kuna nazi iliyoshindana na jiwe ? Najua umenielewa.
 
Wewe Lizarazu kila kitu unapinga
 
Single mothers siyo dhambi kuwaoa lakini tatizo Mama zetu huwa hawana misimamo kabisa ndiyomaana Mke wa Ruthu aligeuka nyuma kuangalia Sodoma na Ghomora walipotoka hatimaye aligeuka kuwa nguzo ya chumvi papo hapo sababu Mungu alishawakataza lkn hata hakusikia.

Kanumba alisema "akili za Mama zetu hazitofautiani na za kuku" ambao ukiwafukuza kwa mawe wasile mahindi baada ya dakika 2 tu watarudi pale pale tena kula mahindi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…