Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mayai hayaishi kirahisi sema bwana mimba za kwenye ndoa zinakuaga na mbwembwe kweli.
Anaweza akafika muda anataka kuzaa sasa kila akijaribu waapi.
Nishamwambia azae kabla kizazi hakijalegea maana amefikia hatua anatoa mimba kwa msamba [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari.
Hapo mayai yamebaki kweli?
 
Lizarazu naomba usome hapa
"our past mistakes don't necessarily mean they can determine our whole future"

This is invalid syllogism to substantively avouch the premised raciocination of what is being discussed here.

We are talking about someone who has already an indelible,unerasable and uncancellable affinity bond with her previous partner in her a new journey of love with new partner!! The inevitability of her previous partner's pernicious interactional influence to her new relationship is self-explanatory.

So believing that marrying/dating a single mom while expecting the remarkable blunders she made in her past life won't have anything severe to your relationship is sheer delusion of grandeur.
 
Pambafff kwani huwa wanazini na miti ama na wanaume? Una hakika gani kwamba baba yako alimuoa mama yako akiwa bikra? Muwe na staha basi wakati mwingine maana kuna leo na kesho binti yako anadungwa mimba na utageuka mshenga ili aolewe kulinda heshima ya familia!
Duh!
 
Hawa wanaume wamekuwa watu wa ajabu sana,tena sana

Wanawake wapo tu wengi mtaani,wazuri na wavumilivu na wanaojua mapenzi lakini anawaacha anakimbilia wanafunzi ,halafu wanawapa mimba miaka 30 jela

Hiyo haitoshi,nimekutana na kaka mmoja analalama kwa mwenzake alivyo kwenye mahusiano na binti wa umri wa miaka 17 na anavyomnyanyasa

Huyo mwanaume anadai amekuwa kwenye mahusiano na huyo binti wa kidato cha Tatu ndani ya miezi 4 tu ametumia zaidi ya laki Tatu

Anasema mwanafunzi amekuwa akimuomba hela ya matumizi mara kwa mara,na amekuwa akimuomba amnunilie vitu vya gharama

Hata wakiwa 6 kwa 6 hapati ushirikiano wa kutosha na hudai amechoka mapema na siku ya kumpa mapenzi ni baada ya mwezi mmoja na huku kila siku anatumiwa SMS za kuombwa hela

NB.Nimegundua wanaume hawana akili,unamuacha single mother mtaani,wa kukupa mapenzi unavyotaka unakimbilia under 20 halafu unaanza kulalama kwa wenzio

Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk
Wanaume wengi tunataka zinazobana,unaweza kwenda hata bao 4
 
Hawa wanaume wamekuwa watu wa ajabu sana,tena sana

Wanawake wapo tu wengi mtaani,wazuri na wavumilivu na wanaojua mapenzi lakini anawaacha anakimbilia wanafunzi ,halafu wanawapa mimba miaka 30 jela

Hiyo haitoshi,nimekutana na kaka mmoja analalama kwa mwenzake alivyo kwenye mahusiano na binti wa umri wa miaka 17 na anavyomnyanyasa

Huyo mwanaume anadai amekuwa kwenye mahusiano na huyo binti wa kidato cha Tatu ndani ya miezi 4 tu ametumia zaidi ya laki Tatu

Anasema mwanafunzi amekuwa akimuomba hela ya matumizi mara kwa mara,na amekuwa akimuomba amnunilie vitu vya gharama

Hata wakiwa 6 kwa 6 hapati ushirikiano wa kutosha na hudai amechoka mapema na siku ya kumpa mapenzi ni baada ya mwezi mmoja na huku kila siku anatumiwa SMS za kuombwa hela

NB.Nimegundua wanaume hawana akili,unamuacha single mother mtaani,wa kukupa mapenzi unavyotaka unakimbilia under 20 halafu unaanza kulalama kwa wenzio

Mtaishia gerezani wote, acheni wanafunzi, madada tupo wengi mtaani,tunajua mapenzi na unapewa bila ratiba,na matumizi yetu ni kidogo sana

Acheni maisha ya risk

Ha ha ha! Jinsi unavyoshangaa unatakiwa uelewe kwamba wanawake wana matatizo makubwa sana
 
Ndo maana tunatoa
Ndio unafanya makosa zaidi,kuuwa kiumbe ni jambo baya,na kama ikitokea umepata mimba nje ya ndoa,wewe subiri uzae,kisha kama ni mtu wa dini fanya toba ya kweli na ujutie kosa ulilolifanya na usilifanye tena na ulipige vita jamboamiia hilo.

Sasa tatizo lenu mnabeba mimba nje ya ndoa na mnazitoa mimba halafu wala hamuoni kama ni tatizo,mwisho wa siku mnazidi kupewa mitihani na kuonekana madhalili katika jamii.

Hivi ushawahi kuona kuna nazi iliyoshindana na jiwe ? Najua umenielewa.
 
"our past mistakes don't necessarily mean they can determine our whole future"

This is invalid syllogism to substantively avouch the premised raciocination of what is being discussed here.

We are talking about someone who has already an indelible,unerasable and uncancellable affinity bond with her previous partner in her a new journey of love with new partner!! The inevitability of her previous partner's pernicious interactional influence to her new relationship is self-explanatory.

So believing that marrying/dating a single mom while expecting the remarkable blunders she made in her past life won't have anything severe to your relationship is sheer delusion of grandeur.
Wewe Lizarazu kila kitu unapinga
 
Single mothers siyo dhambi kuwaoa lakini tatizo Mama zetu huwa hawana misimamo kabisa ndiyomaana Mke wa Ruthu aligeuka nyuma kuangalia Sodoma na Ghomora walipotoka hatimaye aligeuka kuwa nguzo ya chumvi papo hapo sababu Mungu alishawakataza lkn hata hakusikia.

Kanumba alisema "akili za Mama zetu hazitofautiani na za kuku" ambao ukiwafukuza kwa mawe wasile mahindi baada ya dakika 2 tu watarudi pale pale tena kula mahindi.
 
Back
Top Bottom