Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

We jamaa ni WOMAN OPPRESSOR aisee... Mitazamo yako ni too archaic...
Like men hawakosei. Very Wrong.
Illa tu nikushauri utafute threads zangu nyingine uone, you will learn something about me. Kwa sasa umehukumu mapema mno, so hold your fire mkuu.
 
Wapo walioona ni kitu kipya, kwa wewe unayeliishi good luck. So kukaa kimya kwako itakuwa busara zaidi.
 
Prince Charles kamuoa Camilla Parker-Bowles wakati Camilla ana watoto wawili tayari.

Na hao ndiyo ma snob of snobs, British Royal Family.

Mtu kama huyu siku akisikia Prince Harry kaoa single mother anaweza kuandamana kupinga ndoa.
So true

Funny enough Prince Charles alimuoa Lady Di akiwa bikra kabisa but look what he did to her....


Prince Harry kaoa divorcee anaemzidi umri kabisaa

Maisha ni zaidi ya Do's and Dont's everybody can get a chance to try again
 
Illa tu nikushauri utafute threads zangu nyingine uone, you will learn something about me. Kwa sasa umehukumu mapema mno, so hold your fire mkuu.
Mhh mentality yako ile ile ya 'wishful thoughts'
Ikiegemea kumuonea binti
 
Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye una haja ya kuongeza upeo.

Ungekuwa na upeo usingekimbia msawali.

Mwanamke yeyote akiolewa kwa makubaliano na mwanamme wake, wewe kinachokuuma ni kipi?
Swali hilo limekuonyesha upeo wako ni mfupi sana. Hivi hao wanaokubaliana wanakwenda semina kutaka nini wakati tayari wana makubaliano? Hivi vijana wanaotaka kuoa wanatafuta ushauri wa nini? Swali lako ni mojawapo ya illogical questions ndio maana sihangaiki nalo.
 
Kwani mkuu wewe hakuna Ndugu yako wakike kaolewa akati tayari alikuwa ashazaa????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
Sema jinsia zote zilelewe vizuri
Kwa kua tendo la uzinzi ni la wawili.,

Kuacha mtoto wako sio ushujaa sana.,

Yesu angeshuka tena leo angekuambia the same lines he said miaka elf 2 iliopita 'asie na dhambi amtumpie mawe single mom/mwanamke malaya'

Kuhusu dhambi ni mtazamo tofauti kabisa na kilichopo. Please, don't christianize this thread!! Nimeandika kwa watu wote wa imani zote.

Tukija kwenye imani ya kikristo kama uliyotaka, hata enzi za Yesu makahaba waasherati walikuwapo. Lakini ajabu kwako ni kuwa aliagiza waolewe bikira tu, kwa nini? Hiyo ndio standard ya Mungu, mengine ni kutegemea neema. Ukiiba ukatolewa macho utabaki kipofu hata ukitubu. Kupona upate kuina ni neema ya ajabu (muujiza), vinginevyo utapokea msahama wa dhambi ukitubu kwa kumaanisha, halafu utaendelea kuishi kipofu maisha yako yote.

Wakati wewe unayejifichia kwa Yesu ukidhani kuacha mtoto sio ushujaa, Yesu anasema uasherati ni dhambi. Habari ya mtoto ni matokeo ya uasherati na hakuna sehemu kwenye Biblia imemwamuru mwanamume kumtwa mtoto wa nje ya ndia kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kuhalalisha uasherati na uzinzi. Biblia inashughulika na mzizi wa dhambi.
 
Unajitetea tu saivi..we have seen the stereotype already..
I don't care umenionaje, wala sihitaji nikufurahishe, mimi nasema ukweli vijana wafunguke macho, mabinti kwa wavulana. Kama nimekuudhi halikuwa lengo langu, ila jamii imepaswa kubadilika. Ikimbieni zinaa.

Hata makanisani dhambi siku hizi hazikemewi kwa lengo la kuhifadhi waumini, so nikisema mimi sishangai ukanichukia. Biblia imekataza kuoa wanawake waasherati, achia mbali walioleta ushahidi wa watoto. So its up to you my lady.

Mwanamke anayeweza kuolewa kwa amani kabisa kama kijana kaamua hivyo ni mjane. Na ninyi mnaowaita wajane ma single lady mnakosea sana, hawa ni wanawake wenye heshima zao, wameunganishwa na familia tayari kumzalia Mungu matunda. Mume akifa hawa wamekuwa chini ya uangalozi wa familia ya mume, kwani ni wamoja.

Kama mwanamke mjane akiolewa ni sahihi katika ulimwengu wa roho kwa sababu ile nafsi iliyofanya kiapo naye haipo tena duniani. Kumbuka ule mfano wa mtu aliyeolewa na wanaume saba, wote walitajwa kwa condition moja tu, alipokufa huyu aliolewa na yule. Kifo, kifo, kifo!! Until death do us apart!! Sio njemba bado ipo inakula oxygen halafu unajidai kuoa mke mwenye mkataba wa kiroho na njemba hiyo. Now this is spiritual in a nutshell.
 
That's the fact. usijaribu kumwoa mwanamke mwenye mtoto ambaye si wako kama hakuna ulazima wa kufanya hivo. kuna mziki wake.
 
Yesu lini alisema waolewe mabikra tu ?..

ushawahi toa mwanamke bikra kweli?.maana unaiona keki sana
 
Ikimbieni zinaa.
 
Wapo, uliza swali
Why hukuwaambia na kuwashauri wanaowaoa kuwa wanakosea Njiaa wawache wakatafute Wanawake wengine..??? Kama sio unafiki ni nini??? Unakuja kuharibu mind za vijana waliopendana na kuwa na Plana na single mama wao wewe unaharibuu akili zaoo..
 
Huyu jamaa atakua haamini kama dunia ni duara..

Lakini pia atakua haamini katika sheria ya KARMA....

hili aliloliandika si mda linaenda tokea ktk familia yake...
 
Huyu jamaa atakua haamini kama dunia ni duara..

Lakini pia atakua haamini katika sheria ya KARMA....

hili aliloliandika si mda linaenda tokea ktk familia yake...
Ni mnafikiii sanaa huyu jamaa... Anajikuta mshauri mzuri hapa Jf lakini huko kwenye familia yake hawezi simamia hayaa... Nyuma ya keybod anashupaza shingo balaa...!!
 
Illa tu nikushauri utafute threads zangu nyingine uone, you will learn something about me. Kwa sasa umehukumu mapema mno, so hold your fire mkuu.
From your perception Mkuu. ... How you perceive single moms...
Wewe ndo umejipa sifa hizo..

Change. You have sisters somewhere! You never know.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…