Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Yaliyomo ndani ya ndoa huyajui, hivyo usibuni mambo. Pia mimi kusema hakuzuii kuolewa kwao, kwani hata makahaba wanaolewa pia. Soma thread nilizoongelea hayo, wanaume walioharibika akili na wanawake walioharibika akili.

Hata hivyo kwa sababu haipiti siku single mother wanaolewa, zaeni sana kabla ya ndoa muolewe. Binti mwenye busara ameelewa maonyo, wengine endeleeni kupigania kuzaa hovyo kwa sababu mnaolewa zaidi mkiwa na watoto wa pembeni. Tena wengine wanawasifu kuwa kuzaa kabla ya ndoa hupelekea kuwa wake wazuri na wenye sifa njema. So kupanga ni kuchagua, huzuiliwi, ndipo tulipofika.
Hakuna anayetaka wanawake waendelee kuzaa hovyo nje ya ndoa ila unapoongelea tatizo lazima uongelee na mzizi wa chanzo na siyo shina tu wewe unaongelea shina la tatizo na unauacha mzizi wa tatizo hapo unategemea nani atakuelewa zaidi ya kukuoma mnafiki tu??

Hebu siku jaribu kuanzisha mada inayohusu maovu ya wote wanaume na wanawake huyo atakayekushambulia atakuwa na matatizo lazima tuongee ukweli haijalishi jinsia gani ndiyo inapata madhara sana sana kuliko nyingine kumbuka wanawake nao ni binadamu kama wanaume na siyo malaika
 
Hoja yako haihusiani na topic, ila kwa sababu si mara ya kwanza kuleta mtazamo huo nitakujibu: tena:

1. Hoja hii sikuiweka jukwaa la dini kwa sababu ni huru, ya watu wote wa imani zote.

2. Nakuomba ufungue ufahamu wako, utembee katika kweli uwe huru. Mimi nimelielewa kuwa "wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu" sasa sijui unasemaje. Mwanamke ana special provision mbele za Mungu, hakuna usawa hata kama hupendi. Wote wakilalana wataingia dhambini, wakiubu watasamehewa, lakini mmoja atapata permanent damage. Bahati mbaya kwake hata Yesu aliagiza mwanamke mwasherati apewe talaka, sasa wewe nawe unaagiza mwanamume mwasherati apewe talaka. Feminism itawapoteza.

3. Kiungo kikipotea kurudi ni neema tu. Mfano mtu akijihusisha na ujambazi akakatwa mkono, halafu akafanya toba akasamehewa, huo ulemavu imebaki kuwa ni ukumbusho kwake kwamba alifanya maagano yasiyofaa lakini sasa yuko huru, afurahi kaatika huo bila kumlalamikia Mungu kwa jinsi alivyo. Mwanamke aliyetumikia ukahaba akitubu, kiungo chake hakirudi tena hata akitubu, afurahi kwa jinsi alivyo na amsifu Bwana. Tofauti ni kuwa vijana wanaojielewa wana upako wa fresh na ndicho walichoagizwa. Kwa hiyo jkipoteza hicho kiungo umepoteza sifa muhimu ya mke wa ndoa kibiblia.

4. Kwenye kujamiiana kwa mara ya kwanza mwanamke anapoteza vitu viwili: (i) kiwambo {hymen} (ii) damu ya agano. Hivyo ndio seal ya agano la ndoa kati ya mume na mke mbele za Mungu. Vitu hivyo muhimu havirudi na ujue umemevitoa kwa mtu asiye sahihi kwako. Sasa mwanamume hana hayo, hivyo acha kabisa kujilinganisha naye. Yeye atatoa shahawa tu, na hata akitubu akaoa ataendelea kutoa hiyo.

Tukiweka wanaume 100, waliofanya uasherati nawasiowahi kufanya watakuwa sawa kimaumbile, watatofautiana kwenye elimu ya kujamiiana tu. Wanawake je?
Hiyo tofauti imeelezewa wapi kwenye maandiko?? Sawa umesema kuna watu wasio na dini wala wasioamini Mungu sasa hao utawaambia nini kuhusu maswala ya bikira maana kama mtu haamini dini wala Mungu basi pia haamini kama kuna dhambi yeye chochote anachofanya kwake anaona ni sawa tu je mtu huyo utamlaumu?? Halafu kwani hapa dunia wanadamu tunaishi kwa kutenda mema kwa lengo gani si kwenda mbinguni tu au??

Sasa mwanamke akizini akatubu akasamehewa akaanza kutenda mema na kuacha kabisa uzinzi na uasherati utasema kwamba eti hataenda mbinguni kwa sababu tu yeye kapoteza bikira na hairudi ila mwanaume hajapoteza kitu?? Hapa swala siyo kujilinganisha hapa tunaangalia kitu kinaitwa DHAMBI kama hakuna jinsia yoyote iliyoruhusiwa kutenda dhambi basi kila jinsia inatakiwa kukemewa kuacha dhambi haijalishi jinsia gani ndiyo inapata madhara zaidi halafu hayo madhara unayosema ni mitazamo ya kijamii tu tena hasa jamii za kiafrika ambazo hazijastaarabika lakini kwa Mungu mwanaume au mwanamke aliye malaya hauwezi kumfananisha na mwanaume au mwanamke asiye malaya hata kama kimaumbile watatofautiana kwani kuna sehemu maandiko yamesema kuwa anayepata madhara zaidi ndiyo aonywe zaidi??
 
Kwahiyo wanaume wasilelewe katika maadili mema siyo?? Kwamba wanaume imeshindikana kabisa kuwaasa waache maovu ndiyo maana mnawakwepa au??
Good, God is for us all, just change your ways lady. Also you need to learn the backwardness of God, utaelewa kama ni steriotyping or not. Kuolewa is not an issue, hapa naongea na vijana wanaotaka kuingia kwenye ndoa, ila wapo wasio na ipako wa "fresh." Waleeni binti zenu katika maadili mema, hata Mungu anataka hivyo.
 
Sawa mimi naisubiri kwa hamu sana hiyo jamii ambayo wanawake watakaokuwa wanaolewa ni wale ambao hawajawahi kuzaa au wale mabikira tu (huku wanaume wakiendelea kufanya uhuni wao lakini) ila wale single mothers na non virgins watabaki kuwa manungayembe oh I just can't wait
Swali ni illogical, mimi nimeongelea sababu mojawapo ya matatizo kwenye ndoa, wewe unatafsiri kuwa hiyo ndio sababu pekee. Nawaonya vijana, young generation ambao hawajaingia kwenye ndoa, wasije wakafakimia wasichokijua bali wafanye informed decisionz.
 
Wewe uliyeshindwa kujibu maswali ndiye una haja ya kuongeza upeo.

Ungekuwa na upeo usingekimbia msawali.

Mwanamke yeyote akiolewa kwa makubaliano na mwanamme wake, wewe kinachokuuma ni kipi?
Kumbe atheists kwenye haya maswala mnakuwaga na hoja kiasi hiki?? Ningesema Mungu akubariki ila kwa vile hauamini kuwa Mungu yupo basi niseme tu hongera kwa kujielewa na kusimamia ukweli kwenye haya maswala kuliko hata baadhi ya wanaume ambao wanaamini Mungu yupo maana ni wanafiki sana
 
Oohh I see kumbe na wewe ni mmoja wa wale wanaohangaika kusoma saikolojia za watu kupitia yale wanayoyaandika humu (hata kama kiuhalisia hawako hivyo)?? Okay umepata faida gani hadi sasa??
Pia uzoefu wa ndoa uanousemea wala hauna. Mimi naongelea mambo yanayoizunguka jamii, sio ndoa yako. Bythe way guess what, nishakusoma kitambo kisaikolojia.
 
Oops kama ni hivyo basi mada yako tayari imekwishapoteza uhalisia na wanaume mnapokosea ni pale mnapodhani kuwa Mungu ni wa wanaume tu wakati Mungu ni wa wote wanaume na wanawake kama anaweza akampa mwanaume mzinzi mwanamke mtulivu anashindwa nini kumpa mwanamke mzinzi mwanaume mtulivu?? Au haujawahi kuona ndoa za aina hiyo ya pili kati ya nilizozitaja??
Unaelewa maana ya sampling? Hivi tukisema watusi ni warefu ina maana hakuna wafupi? Hili swali ni illogical
 
Sasa yule mwanaume ambaye ameoa single mother na ndoa yake imedumu na anaona ndoa za wanaume wenzie waliooa mabikira hazijadumu unadhani atakuelewa hapa??

Kwahiyo unataka wanaume wenzio waliojifunza kutokana na experiences zao waache kuamini wanachoamini na waamini unayoyasema na wajifunze kutokana na stories zako siyo??
Mkuu, mbona wapo wanaoolewa? Kumbe hujaelewa lengo la uzi huu, ni kuwazindua vijana mfano wa hao uliowataja kabla hawajaingia huko. Halafu hiyo mifano unayoitaja sipendi sana kuiongelea, no mentioning names. Wanajua mechanics walizotumia kufika huko, sitaki kabisa kujiingiza kuzisema hapa, nenda kwenye mitandao ya kijamii mingine utajifunza neno.

Mimi nawakumbusha mabinti kuzuia tamaa zao na vijana wote pi? Ni sifa njema kuolewa bila makandokando.

Kuzaa na kuacha sio sifa, wrong!! Kufanya mapenzi nje ya ndoa sio sifa njema achia mbali kuzaa.
 
Yup, jinsi unavyoniona. Kila mtu ana mtazamo wake, who am I to deny such allegations!! Wengine ni oppressors ninyi wengineni liberators, that makes US.
Basi ungekubali hilo tangu mwanzo na siyo kuzunguka tu
 
Kwahiyo wewe unalazimisha utofauti hadi kwenye dhambi?? Ni hivi wanaume na wanawake tutatofautiana kote ila siyo kwenye dhambi yaani dhambi akiifanya mwanaume au mwanamke haina utofauti hata kama madhara yanatofautiana ila haibadilishi ukweli kwamba ni dhambi

Sasa msidhani eti kwa sababu kwenye haya maswala wanaoumia sana ni wanawake basi wanaume ndiyo hamstahili kuambiwa muache hapana maovu yanatakiwa yakemewe kwa jinsia zote kama maandiko yanavyosema kama hamtaki kuambiwa ukweli basi bishaneni na muumba na siyo wanawake
Wanaume wanaumia sana,tena sana Kuliko wanawake...Believe me...
ujuaji na kujihesabia haki kunawaponza sana

Mfano tu:Ushawahi ona nyuzi humu wanawake wakilalama kwa kuhusu single fathers ama kwa nini wanaume hawaoi?..

Ila nini kinawauma kwa jinsia ya pili?,,siku zote wanaume ndo wanapata tabu na wanawake

Mentality walizojiwekea kichwani hazi'work hivyo wana uchungu sana
 
Aisee wewe unaongelea biblia ipi hiyo?? Wakati kitabu cha mwanzo kinasema mwanaume akimtoa mwanamke bikira au akimzalisha mwanamke mtoto anatakiwa amuoe??
Kuhusu dhambi ni mtazamo tofauti kabisa na kilichopo. Please, don't christianize this thread!! Nimeandika kwa watu wote wa imani zote.

Tukija kwenye imani ya kikristo kama uliyotaka, hata enzi za Yesu makahaba waasherati walikuwapo. Lakini ajabu kwako ni kuwa aliagiza waolewe bikira tu, kwa nini? Hiyo ndio standard ya Mungu, mengine ni kutegemea neema. Ukiiba ukatolewa macho utabaki kipofu hata ukitubu. Kupona upate kuina ni neema ya ajabu (muujiza), vinginevyo utapokea msahama wa dhambi ukitubu kwa kumaanisha, halafu utaendelea kuishi kipofu maisha yako yote.

Wakati wewe unayejifichia kwa Yesu ukidhani kuacha mtoto sio ushujaa, Yesu anasema uasherati ni dhambi. Habari ya mtoto ni matokeo ya uasherati na hakuna sehemu kwenye Biblia imemwamuru mwanamume kumtwa mtoto wa nje ya ndia kwa sababu kufanya hivyo ni sawa na kuhalalisha uasherati na uzinzi. Biblia inashughulika na mzizi wa dhambi.
 
I don't care umenionaje, wala sihitaji nikufurahishe, mimi nasema ukweli vijana wafunguke macho, mabinti kwa wavulana. Kama nimekuudhi halikuwa lengo langu, ila jamii imepaswa kubadilika. Ikimbieni zinaa.

Hata makanisani dhambi siku hizi hazikemewi kwa lengo la kuhifadhi waumini, so nikisema mimi sishangai ukanichukia. Biblia imekataza kuoa wanawake waasherati, achia mbali walioleta ushahidi wa watoto. So its up to you my lady.

Mwanamke anayeweza kuolewa kwa amani kabisa kama kijana kaamua hivyo ni mjane. Na ninyi mnaowaita wajane ma single lady mnakosea sana, hawa ni wanawake wenye heshima zao, wameunganishwa na familia tayari kumzalia Mungu matunda. Mume akifa hawa wamekuwa chini ya uangalozi wa familia ya mume, kwani ni wamoja.

Kama mwanamke mjane akiolewa ni sahihi katika ulimwengu wa roho kwa sababu ile nafsi iliyofanya kiapo naye haipo tena duniani. Kumbuka ule mfano wa mtu aliyeolewa na wanaume saba, wote walitajwa kwa condition moja tu, alipokufa huyu aliolewa na yule. Kifo, kifo, kifo!! Until death do us apart!! Sio njemba bado ipo inakula oxygen halafu unajidai kuoa mke mwenye mkataba wa kiroho na njemba hiyo. Now this is spiritual in a nutshell.
Kwahiyo mwanaume aliyemzalisha huyo mwanamke yeye ndiyo anapaswa kuoa mwanamke mwingine asiye na watoto si ndiyo??
 
Back
Top Bottom