Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
LadyRed naona unagonga like kimyakimya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu jamaa atakua haamini kama dunia ni duara..
Lakini pia atakua haamini katika sheria ya KARMA....
hili aliloliandika si mda linaenda tokea ktk familia yake...
Huyu jamaa kawasilisha mawazo yako[emoji847][emoji3526]Hahahah hamna namnaa
Na kutype sana uvivu
Umeyawasilisha mawazo vema.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lizarazu hatakuelewa[emoji23][emoji23][emoji23]Sema jinsia zote zilelewe vizuri
Kwa kua tendo la uzinzi ni la wawili.,
Kuacha mtoto wako sio ushujaa sana.,
Yesu angeshuka tena leo angekuambia the same lines he said miaka elf 2 iliopita 'asie na dhambi amtumpie mawe single mom/mwanamke malaya'
Jamaa ukute hata Mazaa ake aliolewa ashazaa...!! No offenc... Aache kujikuta saint sana..[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]Umeyawasilisha mawazo vema.
Aisee...hadi sometimes najisikia vibaya kwa sababu ya Hawa watu ...wanaandamwa mno jmn[emoji25]
MahariaInaonekana UBAHARIA ni tofauti sana na UANAUME.
Sisi wanaume tunasema hivi "KWENYE WANAUME KUNA WANAUME" na hatusemi hivi "KWENYE WANAUME KUNA MABAHARIA".
Hivi hakuna Mabaharia wa kike ?
Wewe una qualification gani ya kuwashauri watu kuhusu ndoa zao?Swali hilo limekuonyesha upeo wako ni mfupi sana. Hivi hao wanaokubaliana wanakwenda semina kutaka nini wakati tayari wana makubaliano? Hivi vijana wanaotaka kuoa wanatafuta ushauri wa nini? Swali lako ni mojawapo ya illogical questions ndio maana sihangaiki nalo.
Nimekwambia siku hizi bikira zinatengenezwa je utamjuaje mwanamke aliyetengeneza bikira??Nitawaongelea hao sasa hivi. Lakini kanuni ni kuoa asiyezaa kabisa, ila bora zaidi asiyemjua mume bado
Mkuu mtu aliyeolewa anakuwaje na bikra sasa. Ndio maana mada haiwahusu walioolewa bali wasioolewa ambao hapa ni Single mother.
Wewe bikra yako si utasema umempa mumeo. Haya single mother ataongea nini.
Ukisoma comment zangu utulie usidhani upo kwenye dera unamsuta mtu hapa.
Sanaa.. Wanaandamwa mnoo...Umeyawasilisha mawazo vema.
Aisee...hadi sometimes najisikia vibaya kwa sababu ya Hawa watu ...wanaandamwa mno jmn[emoji25]
Endelea hivyo hivyo, ongea ukweli mpaka na aliyekuzalisha na azae
Pia mkuu sio Kama single mothers wanashambulia Sana mi naona Mada zinazo wa concern wao ni nyingi
Shikamoo. Mtu mzima sana wewe.Ndoa yangu ina miaka 20 sasa mimi nina miaka 42 na niliolewa nikiwa na miaka 22
Jamani kwani hapa anayeongelea haki sawa ni nani?? Kwahiyo kwa sababu wanaume hampati madhara kama wanawake basi ndiyo tusiwaambie ukweli?? Lazima tuseme ukweli kwamba wanaume nanyi mnachangia katika uwepo wa single mothersOk, shikilia unachokiamini. Hapa siongelei makosa, naongelea nani anapoteza sifa kwa tendo hilo. Kama unadhani mwanamume anapata taabu kupata mke wa kuoa kama atazaa nje basi sawa. Ila tahadhari kwako, si kila jambo lina haki sawa. Kama umekaririshwa hivyo basi umepotea kwa kukosa maarifa. Hata Biblia unayoiamini inakukataa. Mtaandamana kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa msipate suluhu, ukweli halisi sio kutafuta huruma. Achenikuzaa hovyo, mjitunze mpaka ndoa
vipi kuna wanawake wanaotaka kuolewa na single fathers??
Tatizo wanaume hamkubali kuambiwa ukweli na wanawake hata siku moja
Una ushahidi na unachokiandika ?Maharia