Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Yeye anakwambia eti kwa vile mwanamke anapata madhara ila mwanaume hapati madhara basi hana makosa yaani yeye anaamini anayepata madhara ndiyo mwenye makosa na anapaswa kuonywa ila asiyepata madhara hana makosa na hapaswi kuonywa
 
Haya
 
Yes Exactly
 
Hawa wengine wanaamini Mungu ni mwanamme kama wao na hivyo wanawake ni viumbe dhaifu tu.

Nisiyeamini habari za Mungu sina bias hiyo.
 
Kuoa ni kubeti tu.

Mkeka unaweza ukachanika hata kwa timu uliyoiamini asilimia 100
 
Why hukuwaambia na kuwashauri wanaowaoa kuwa wanakosea Njiaa wawache wakatafute Wanawake wengine..??? Kama sio unafiki ni nini??? Unakuja kuharibu mind za vijana waliopendana na kuwa na Plana na single mama wao wewe unaharibuu akili zaoo..
Una upeo ufinyu, itoshe tu kusema hivyo. Endelea kuoitia threads nyingine, hii imekuzidi kimo, bye.
 
Huyu jamaa atakua haamini kama dunia ni duara..

Lakini pia atakua haamini katika sheria ya KARMA....

hili aliloliandika si mda linaenda tokea ktk familia yake...
Hujui ulinenalo, sheria ya karma kwangu ni witchcraft. So usiniletee uchawi wa kihindi hapa. Pia unadhani hilo li karma lako litakuja kwa sababu nimesema uasherati na mapenzi nje ya ndoa ni mabaya? Una matatizo wewe
 
Ni mnafikiii sanaa huyu jamaa... Anajikuta mshauri mzuri hapa Jf lakini huko kwenye familia yake hawezi simamia hayaa... Nyuma ya keybod anashupaza shingo balaa...!!
Nini kimekukwaza mkuu? Badala ya kujadili hoja unajadili mtu. Wenye ufahamu wameelewa maana, kwani kauli kama hizi zinaleta signals fulani.
 
From your perception Mkuu. ... How you perceive single moms...
Wewe ndo umejipa sifa hizo..

Change. You have sisters somewhere! You never know.
Fine, we do not need to agree on everything, that's thinking. Mimi kuwa na madada haiondoi ukweli. Pia kuongelea kuwa I have sisters haihusiani na mada. The topic is well thought na wanaoweza kuipokea ni wenye kujaa kwelo ndani yao, hawa watakuwa critics wazuri. Wale wa kusema: una dada, una ndugu, una watoto, utapata karma n.k. ni weak spicies. Wanaendeshwa na emotions kuliko uhalisia.

By the way, kama una mpango wa kuoa mwanamke wa namna hii, uzi huu unakuzuia vipi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Marianah.... Kaka yako anasemwa huku.
I am grown up kupita maneno ya watoto wa facebook. Ukweli utasemwa tu,ila watu kama hawa tunaona what is behind the scene. Usitazame sura ya mbele tu, case settled.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…