Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Unajua kafir Ni Nani!?Sasa kafir mimi au nyinyi ? Ulitakiwa kusema hivi "Hajichanganyi na waislamu".
Ila tamko "Kafir" ni maalumu kwa wasio kuwa Waislamu.
Tuendelee ....
Sasa mbona wanaume wengi humu ndiyo tabia yenu pale tunapowapinga mnayoyasema mnaanza kutuita malaya sijui makahaba mara femimists na activists na maneno mengine kibao kumbe mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu enh??Daah naona unatafuta likes za kina dada na kukubalika sjui ni chakula hicho [emoji848]
Mkuu Nyerere ametoa Mada kwa hyo kile alichoandika mtu mara nyingi ndo kimemkuta? Alikwambia amenyooshwa na single mother?
Kama hajasema hvyo mwenyewe naona Mada imekushinda unatumia defense mechanism kwa mkuu nyerere
Zurri huyo.Mmeanza masuala ya Ukafiri tena[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Acheni kutia huruma,haya mnajitakia wenyewe,tatizo kila jambk huwa mnachukulia poa. Shwain !Kabisa.
Wanaume wanaharibu mwelekeo wa maisha yetu jamani,
Huwa siitiki mpaka niitwe,nani ameanzisha hili ?Zurri huyo.
Amekaa kichokozi tu na Muhammad wake
Nilikuwa namuelekeza bibie huko,ila hili limaisha,akiliendeleza najua pakumshika,ila hapa limeisha.Mmeanza masuala ya Ukafiri tena[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Nyie ndio chanzo.Acheni kutia huruma,haya mnajitakia wenyewe,tatizo kila jambk huwa mnachukulia poa. Shwain !
Kama wewe ni wa kiume, mama yako akiona maoni yako haya atafurahi sana, lakini baba yako akiona hiki kitu umeandika, atangiwa simanzi. Irresponsible individuals wapo kila kona, ulimwengu mzima, je ni jukumu la nani kuwaepuka?Kwa mtu anaejielewa na kuliangalia hili suala kwa Umakini asilimi 90 ya Single mothers chanzo chake ni Irresponsible men ambao wamewapa mimba... Asilimi 10 inawezekana ndo mambo ya Vifo na tabia ambazo zinafanya watu washindwe kuvumiliana na kuachana. Ila tamaa za wanaume ni asilimia 90
Huwa siitiki mpaka niitwe,nani ameanzisha hili ?
Kwani huwa mnalazimishwa kuvua chupi ?Nyie ndio chanzo.
Na muache hi tabia nyie wanaume msiojua majukumu yenu
Kusema kwamba sasa hivi nimekuwa baridi[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikuwa Moto Sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nipe andiko linalosema nyie sio makafirNilikuwa namuelekeza bibie huko,ila hili limaisha,akiliendeleza najua pakumshika,ila hapa limeisha.
Nimeandika kabla yako kuzungumzia "Ukafiri" au baada yako kuandika "Ukafiri".Wewe uliyeandika uislamu
[/URL]
Soma hiyo, kila mtu anapewa kwa nafasi yake. Kuweka huruma kwa kukwepa ukweli ni kuangamiza kizazi, mimi siko hivyo. Ukweli utatuweka huru, sio kudanganyana kwa kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa. Ni ngumu kusema wanaume na wanawake wacheze sawa, mwanamke ni mwanamke na mwanamume ni mwanamume
Tunavua pasi na sababu!?Kwani huwa mnalazimishwa kuvua chupi ?
Anayumba sanaAnakurudisha tena nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
@Nyenyere,twende mbele brother,tusirudishane nyuma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusema kwamba sasa hivi nimekuwa baridi[emoji28][emoji28][emoji28]
Yaani jamaa ananishambulia binafsi badala ya kujadili mada
Nipe andiko linalosema nyie sio makafir
Na Mimi mbona nilikuwa nakuelewesha hapo uliposema nyinyi sio makafirNimeandika kabla yako kuzungumzia "Ukafiri" au baada yako kuandika "Ukafiri".
Sasa kosa kukuelewesha au ?