Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

kwa utafiti wangu hali hii itaongezeka sana mbeleni, Hao masingo maza wenye umri wa kati wanasumbua vijana ambao nao hulowea kwenye kulishwa, mwisho wa siku hawezi oa, na kiukweli me ni wachache sana. Na miongoni mwetu si ridhiki.
Duh
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Ukisikia chumvi hii sasa ni chumvi.

Hivyo tukaapo ukhuty Shunie Numbisa elvee Neybright Bacyclerbacy Sakayo emmyta Linamo joanah tisa kati yetu ni single mother. Duuh.

Single mother jf wapo ila sio kwa kiwango hicho.
Amekosa la kuandika!!!

Kuna mmoja humu alikuwa ajisifia ako na watoto wanne kila mmoja mamake, halafu hapo wa kulaumiwa eti ni single mother !!! Huwa sielewi hapo inakuwaje yaani..

Hamna mzazi anaependa kulea mtoto mwenyewe, ni maisha tu ndo husababisha ila wenzetu huona ni udhaifu!!!
 
Africa siyo africa
Tanzania siyo tanzania
Kenya siyo kenya
Amerika siyo amerika
n.k , n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…