Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mbona miss chaga, agatha edward, mbitiyaza hujawataja?! Hampendani, mna makundi, na chuki kila kukicha
Samahani
Mbona we hujamtaja espy,sky,madam s,madam B, demi, kapeace,joanah ,husna na wengine weeengi. Yeye alitoa mfano kama wewe ulivyotoa Mkuu!!! Hiyo dhana ya chuki na makundi sii nzuri kabisa. Unawezaje mchukia usiyemjua jamani!!!
 
Samahani
Mbona we hujamtaja espy,sky,madam s,madam B, demi, kapeace,joanah ,husna na wengine weeengi. Yeye alitoa mfano kama wewe ulivyotoa Mkuu!!! Hiyo dhana ya chuki na makundi sii nzuri kabisa. Unawezaje mchukia usiyemjua jamani!!!
Bora umenisaidia kujibu mwaya.

Ubarikiwe. Sina haja ya kumjibu nadhani amekuelewa vyema lengo langu ni kutoa mfano kwa wadada 10 na si vinginevyo pia nadhani hajataka kunielewa.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Sa sijui ananufaika nini.

Au ndio kapima kwamba nyuzi za uongo uongo hasa zikihusisha wadada wa jf ndio zinakubalika majukwaani.
[emoji7] nimekupenda kweli, so brilliant, Comment yako imependeza zaidi. You are right kuhusu mtoa post huyo.[emoji28]

Cc. Emmyta
 
[emoji7] nimekupenda kweli, so brilliant, Comment yako imependeza zaidi. You are right kuhusu mtoa post huyo.[emoji28]

Cc. Emmyta
Ahsante sana mkuu

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Bora umenisaidia kujibu mwaya.

Ubarikiwe. Sina haja ya kumjibu nadhani amekuelewa vyema lengo langu ni kutoa mfano kwa wadada 10 na si vinginevyo pia nadhani hajataka kunielewa.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Anaelewa saaana tu mamy, ni vile tu kuna watu hawapendi amani!!!

Barikiwa na wewe mwaya!!!
 
Suluhu ni kuweka sheria itakayowafanya ninyi kuwaoa mnaowapa mimba! Coz u have this fucken behavior! Yaan unampa mimba halafu unatafuta flesh wa kuoa! Na ladies tuwe serious na mahusiano na decisions zetu unakuta jitu linasema kabisa! Natafuta mwanaume wa kunizalisha au mwanaume mwenye akili ya maisha nimzalie!
 
Seems ushachezewa rafu za lutosha!
 




Hapo na mimi ni singo mother lakini huu Uzi umenichekesha sana, sijui mtoa mada umefikiria nini kutunga uongo kama huu
 
Rafu men ndie anacheza siyo demu hapa Bongo. Huenda useme nime produce single moms wangapi??
Nooo rafu za mahusiano ni two ways! Unaweza kujitoa kwa mtu upo serious kumbe yeye anacheza na mind yako tuu!
 
Mada zingine unatakiwa uirushe jf wakati unaenda kijijini kumsalimia Babu,

Ukikaribia kijiji unairusha halafu halafu data unazima siku saba ukija kuwasha unakuwa na panadol pembeni kwa ajili ya kutuliza maumivu wakati ukisoma taratibu madongo uliyorushiwa.

Ukweli mwingine kuuongea unaumiza na kuongeza maadui.....!
 
Nooo rafu za mahusiano ni two ways! Unaweza kujitoa kwa mtu upo serious kumbe yeye anacheza na mind yako tuu!
Kweli, (Ni wote) matokeo yake Single mom anapatikana baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…