Hakuna sheria kama hiyo na hatatokea ngoja tuendelee kuwavua vyupSuluhu ni kuweka sheria itakayowafanya ninyi kuwaoa mnaowapa mimba! Coz u have this fucken behavior! Yaan unampa mimba halafu unatafuta flesh wa kuoa! Na ladies tuwe serious na mahusiano na decisions zetu unakuta jitu linasema kabisa! Natafuta mwanaume wa kunizalisha au mwanaume mwenye akili ya maisha nimzalie!
Duh hebu ona sasa nawewe ni singo mazaa aiseeHapo na mimi ni singo mother lakini huu Uzi umenichekesha sana, sijui mtoa mada umefikiria nini kutunga uongo kama huu
Umenena ukweli mkuuMada zingine unatakiwa uirushe jf wakati unaenda kijijini kumsalimia Babu,
Ukikaribia kijiji unairusha halafu halafu data unazima siku saba ukija kuwasha unakuwa na panadol pembeni kwa ajili ya kutuliza maumivu wakati ukisoma taratibu madongo uliyorushiwa.
Ukweli mwingine kuuongea unaumiza na kuongeza maadui.....!
Hahahaaaa mkuu umewaanza tena si unajua povu lao hawa huwa ni zaid ya omosingeli mazeli. teh teh teh
Ndo hivo mkuu inabidi tu dunia ije na suluhishoLeo umeongea ukweli kuhusu single Maza hua nashangaa sana kila unae mtongoza anakwambia Nina mtoto 1-2 nk kibaya zaidi vingine ni vitoto mpaka navionea huruma ukimuuliza mtoto yupo wapi kanasema kwa mama kijijini duh wazazi wamekulea wewe bado unapelekea na mzigo mwingine so sad
Nadhani jifundishe kwanza kuandika vizuriAman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
dunia imeelemewa na wingi wa singo maza
Inasemekana palipo binadamu 10 kuna singo maza 7
Hata jamii forum kati ya wanawake 10 bas 9 ni singo maza
London kwa sasa iko mbion kuja na tiba mbadala ya kupunguza tatizo hili sugu ambalo kwa sasa limekuwa kubwa sana ulaya, america na afica hasa kwa kenya na tanzania
Wasomi kutoka chuo kikuu cha rumis huko america ya kusin wamesain waraka wa kumaliza tatizo hili
Msomi john cater amesema wako mwisho mwishon kuja na suluhisho la kudumu
LONDON BABY
Pole dada yangu nitajitosa nikusaidie nikuweke ndan kabisandiyo kilichobaki dear....nafsi zao zisuuzike[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah Nimecheka KizunguuuhHili tatizo Tz in 10yrs or 20yrs to come itakuwa disaster kubwa sn.
Maajabu videmu havina akili. Vina leta nyodo. Ma men wana wadampu fasta.
At 20s to 35 huwa wanaona raha sana. "Wanasema Niko huru, sinabanwi, mambo ya kupangiana staki, nakula bhata hadi nachoka, club,nk"
At 40 yuko lonely balaa. Ana 4 kids, @from a different man. Hapa ndio patamu..
Weee waache tu. Nigeria & Kenya Wana andamana hawaolewi, Tz wanawake wanachezea wanaume. Subirini...kiama kinakuja.
Ukweli kama huu huwa hawatak kabisa kuusikiaNilijua tu lazima watakushambulia mleta uzi lakini huo ndio ukweli mchungu ambao hawataki kuukubali.
Nishawazoea mkuuili bomu umeiliokota wapi alafu unataka ulilipue humu chunga sana maisha yamebadirika wqtu siku hiz wanastress anglie usije ukatukanwa
Nilijua tu uta atend mapema kama bs za mkoani
Poa poa ngoja kidogohaya mwanaume kwa utafiti wako ila tupatie invidence ya utafiti wako
Povu la omo nalikubali ila hili la single maza na hatar zaid hutakatisha kanikiUtafiti wake feki kabisaa. Halafu huyu mleta mada hanaga mada za maana zaidi ya uongo uongo na uzushi
Kwani kuwa single mother ni shida au ninii
Na maswali yao makuu umeolewa kama haujaolewa utaulizwa tena una watoto wangapiii mfyuuuNifuatilie interview zina nini?
Ndio sababu huwa mnazishabikia ili mpate pa kusemea, sababu huwa wanaume hamkaukagi kwenye hizo interview.
Nimeelewa sasa mkuu.
Pole dada ndo maisha najua hata wewe hukupenda kuwa singo mazaHujakosea mkuu.
Ebu tutake radhi sio wote wapweke humuMfano nan huyo mke wa mtu iv kuna mwanaume wa kuoa singo maza wa jf kweli?
Wanawake wengi jf wamejawa upweke hawana hili wala lile
Kwani wewe ni jinsia ya kiume? Nilijua ni jinsia kama yangu!! Haya nisaidiePole dada yangu nitajitosa nikusaidie nikuweke ndan kabisa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Kwani wewe ni jinsia ya kiume? Nilijua ni jinsia kama yangu!! Haya nisaidie
Pole sana kumbe na wewe ni singo mazaKwani kuwa single mother ni shida au ninii