Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Suluhu ni kuweka sheria itakayowafanya ninyi kuwaoa mnaowapa mimba! Coz u have this fucken behavior! Yaan unampa mimba halafu unatafuta flesh wa kuoa! Na ladies tuwe serious na mahusiano na decisions zetu unakuta jitu linasema kabisa! Natafuta mwanaume wa kunizalisha au mwanaume mwenye akili ya maisha nimzalie!
Hakuna sheria kama hiyo na hatatokea ngoja tuendelee kuwavua vyup
 
Hapo na mimi ni singo mother lakini huu Uzi umenichekesha sana, sijui mtoa mada umefikiria nini kutunga uongo kama huu
Duh hebu ona sasa nawewe ni singo mazaa aisee

Kweli hili ni tatizo sugu
 
Mada zingine unatakiwa uirushe jf wakati unaenda kijijini kumsalimia Babu,

Ukikaribia kijiji unairusha halafu halafu data unazima siku saba ukija kuwasha unakuwa na panadol pembeni kwa ajili ya kutuliza maumivu wakati ukisoma taratibu madongo uliyorushiwa.

Ukweli mwingine kuuongea unaumiza na kuongeza maadui.....!
Umenena ukweli mkuu
 
Leo umeongea ukweli kuhusu single Maza hua nashangaa sana kila unae mtongoza anakwambia Nina mtoto 1-2 nk kibaya zaidi vingine ni vitoto mpaka navionea huruma ukimuuliza mtoto yupo wapi kanasema kwa mama kijijini duh wazazi wamekulea wewe bado unapelekea na mzigo mwingine so sad
Ndo hivo mkuu inabidi tu dunia ije na suluhisho
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu


dunia imeelemewa na wingi wa singo maza

Inasemekana palipo binadamu 10 kuna singo maza 7

Hata jamii forum kati ya wanawake 10 bas 9 ni singo maza


London kwa sasa iko mbion kuja na tiba mbadala ya kupunguza tatizo hili sugu ambalo kwa sasa limekuwa kubwa sana ulaya, america na afica hasa kwa kenya na tanzania


Wasomi kutoka chuo kikuu cha rumis huko america ya kusin wamesain waraka wa kumaliza tatizo hili

Msomi john cater amesema wako mwisho mwishon kuja na suluhisho la kudumu


LONDON BABY
Nadhani jifundishe kwanza kuandika vizuri
ulaya -Ulaya
america - America
afica - Africa
chuo - Chuo
john - John
 
Hili tatizo Tz in 10yrs or 20yrs to come itakuwa disaster kubwa sn.

Maajabu videmu havina akili. Vina leta nyodo. Ma men wana wadampu fasta.

At 20s to 35 huwa wanaona raha sana. "Wanasema Niko huru, sinabanwi, mambo ya kupangiana staki, nakula bhata hadi nachoka, club,nk"

At 40 yuko lonely balaa. Ana 4 kids, @from a different man. Hapa ndio patamu..

Weee waache tu. Nigeria & Kenya Wana andamana hawaolewi, Tz wanawake wanachezea wanaume. Subirini...kiama kinakuja.
Ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah ah Nimecheka Kizunguuuh
 
Utafiti wake feki kabisaa. Halafu huyu mleta mada hanaga mada za maana zaidi ya uongo uongo na uzushi
Povu la omo nalikubali ila hili la single maza na hatar zaid hutakatisha kaniki
 
Back
Top Bottom