Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kiukweli hata wengi ya waliolelewa na baba na mama ni kama wamelelewa na single mothers tu maana wengi baba inaweza mlikua mnawaona tu nyumbani lakini uhusikaji wao kwenye malezi ilikua zero labda ashiriki kwenye kukupiga na kutoa pesa. Wanawake wengi wa zamani (mama zetu) ukiwauliza atakujibu alibaki na baba yako sababu alikua na watoto na sio upendo.
 
Zaman nilkuwa nawahurumia sana singo maza lakin kuna kijiji npo kwasasa nmegundua asilimia kubwa ya wadada wanaona poa kuwa singo mum maana vibinti vingi vmezaa hovyo hovyo tu hata 18 yrs bado,NAWASHAURI WANAUME WENZANGU singo mama sio wa kuoa kabisa hasa wale ambao wamekuwa singo mum kwenye usichana wao
 
sun wu,
Mtoto aliyelelewa na mama peke yake ana ubora wa hali ya juu sana ukilinganisha na yule aliyelelewa na Baba na Mama walio katika mazingira ya "Polgamy", (kwa kiswahili hili neno silifahamu), yaani mme mmoja mwenye wake wawili, halafu ikatokea kwa bahati mbaya kuwa mama mmoja alikuwa hapendwi kuliko yule mwingine.

Mama ambaye huwa anakuwa kwenye disadvantage side ya kutokupendwa zaidi na mume, watoto wake huwa wanakuwa the worst, wakati mwingine unaweza kusema bora hata mtoto wa mtaani aliyekulia kwenye mitaro.

Huwa wako psychologically destroyed kwa kiwango cha ajabu muno, na wanakuwaga the most inferior hata kama waliishi katika maisha ya utajiri wa pesa nyingi.

Na mbaya zaidi ni kwamba iwe waliishi katika mazingira ya pesa au hapana, wanakuwaga na tabia ya kutafuta pesa kwa njia yoyote ile. Jaribuni kufanya utafiti katika hili halafu mtanipa mrejesho
 
Zile nyuzi zimeanza tena!mods wekeni jukwaa basi,ila kiuhalisia kuna mafunzo mazuri sana kwenye hizi nyuzi,hata kama zinamgusa mtu au zinakuumiza penda kusoma,kuna kitu cha kusaidia na kufundisha...
hili ni kaburi wamefukua mkuu, uzi wa 2013 huu
 
Unaamini sisi wazalishaji hovyo watoto na kutokuwahudumia kwa chochote huwa wote tunafikiria mtoto akitoboa kimaisha tutamfata kwa namna moja ama nyingine?
Na hilo ndo linaninyima kumpokea mtoto wa mwingine ati mimi ndo babake. Thubutu yako. Nani asojua kuwa kesho tu akifanikiwa weye babake ndo unakuja kujikomba kuwa ni mamake tu alifanya haraka kukimbilia kwa limtu flan. Leo, mwanangu nimekupata sikuachii
 
Bahahaha! Ngoja nikuthibitishie jambo wazazi hao sasa hivi hawapo tena na mimi ni mmoja wao tumeshapotea hata awe na kiwanda kama cha Lamborghini ni chake i better die poorly.

Mzazi anayefanya jambo ili aje kumtegemea mtoto wake baadae huyo ni loser mkubwa. (Akili za kimasikini)
 
KESI 1

Mkuu Molembe.

habari yako! Jawabu hili limenifanya nitoe fikra zangu kidogo kwanini hiko kitu kimekutokea ...Nadhani nimepata bahati ya kusikia hili jawabu lako ambalo linafanana kabisa na jambo lililomtokea rafiki wangu wa karibu sana.

Naye ilikuwa hivi:- Alipata kuwa na mahusiano na mwanamke fulani..Hata wakapata mtoto mmoja wa kike. (pasi na kuwa wameoana tayari). sasa jamaa akapata hudhuru akaenda zake Dar mara moja. Baada ya kurudi akakuta mshike mshike hata ukapelekea kuachana.

Jamaa akapata Mwanamke mwingine akaoa akaweka ndani. na sasa ana mtoto mwingine na huyo mwanamke aliyemuoa. Kumbuka na yule mwanamke amepata kuolewa na Mwanajeshi.. Basi kila mtu akawa anaendelea na maisha yake huku wakiwasiliana kwenye masuala yanayohusu mtoto tu.

mwezi december mwaka jana jamaa akiwa katika mizunmguko yake hapa mjini (sio Dar) akakutana na hoyo mwanamke wake wa kwanza. Ikabidi wakae pembeni kidogo huku wakipata kinywaji. kilichotokea Mwanamke akamwambia mshikaji kuwa amemmisi na wakakumbushie enzi zao.

Mshkaji baada ya kuambiwa hivyo akaona anatakwa kuingizwa mkenge, yaani atembee na mke wa Mjeshi na isitoshe Jamaa (Mjeshi ndio anayesomesha hata mtoto wake) akaona isiwe tabu, akamwambia jioni hiyo wakutane pahala fulani. Lakini jamaa yangu akutokea mazima maeneo hayo. na hata akionana na mwanamke huyo njiani huwa anakimbia na kujificha.


KESI .

Binafsi niliwahi kuwa na mahusiano na mshichana fulani kutoka high school 2011. Bila shaka tulikuwa tunapendana sana. Ila mazingira yalitutenganisha bila kupenda. Ikabidi mimi niendelee na kitabu kwingine na yeye aendelee na mengine.

Baada miaka 5 baadaye nikapata taarifa kuwa ameolewa na ana watoto 2.

Kwa bahati mbaya au nzuri nilipata safari kuelekea mkoa ambako nimesoma high school. nikakutana na mmoja wa rafiki zake na akanipa namba yake.

Nikaona sio tabu ngoja nimtafute nimsalimie.

Kumpigia tukangea sana. hata tukaona tuonane ili tupige stori zaidi za maisha. (ofcourse kila mtu alikuwa na hamu ya kumuona mwenzake). Tukapata kinywaji sehemu flani huku stori zikiendelea. But cha kushangaza usiku alikuja pahala ambapo nime rent pakulala. Tukalala usiku mzima pale.

Ikawa ndio tabia sasa. kila nikienda mkoa hule lazima tuspend night usiku pamoja.

Kuna nyakati nikaona sio poa ngoja niache hizi habari za kutoka naye. Mpaka sasa nimekata mawasiliano naye. Nimemuongopea niko Zambia kikazi.

HITIMISHO:

Mimi nadhaani hawa watoto wakike huwa kuna watu wao ambao wako ndani ya mioyo yao! Hata ukioa na kumuweka ndani na kuzaa nae. Yupo Jamaa somewhere mwenye uwezekano mkubwa wa kutembea na mkeo muda na wakati wowote ule aupendao.

"wengi wana watu wao, wengine toka zamani." - MWANA FA
 
Kwahyo huyo mwanaume ambaye ana akili akiamua kumuoa huyo single maza anakua hajafanya maamuzi sahihi sabahu ww tu unaona sio sahihi?
Kwani unamlisha?
Unamsaidia kutafuta pesa?
Unajua furaha yake in life?r u part of t?
Kwann tunapangiana maisha aisee
Kama yeye anaona huyo single maza anamfaa why ww ambaye huna hta msaada na maisha yake umuone hana kili?
Unadhan hajawaona hao wasio na watoto?
Listen guys kila mtu anajua nn anataka kwenye maisha yake to be specific standards gani anahtaj kwenye maisha yake
Sasa wht if hizo standards huyu single mza anafit ila hao ambao hawana watoto hawazifikii?asioe sababu ww tu unayejiona una akili unaona sio sahihi?
Tuache madharau kuna sisi wengine baba zetu walioa single mothers ni kwamba hawakua na akili??sikujui hunijui ila m.se.nge ww hao single mother ni nani anawap mimba kama sio sisi wenyewe?
Gerari hiaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kijiji gani hicho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1) You cannot be her top priority simply because you are dating. You aren't her
Asante sn mtoa mada nilikue
Wa naisubir kwa hamu sn hii topic mm nimelelewa familia ya wanawake watupu mama na dada zangu wawili wakubwa ambao wana baba zao kila mmoja na baba ake mtoto wa 3 nina baba yangu ambae ndie alikuwa tegemez ata kwa wale dada wasio wanae ila alikuwa ameoa mke mwengine ambae aljkuwa anaish nae nyumban alikuwa anakuja mara chache sn aisee usiombe kuzaliwa familia ya hii balaa lipo hv

1.mama alitumia nguvu nyingi kunidanganya km bawa dada zangu tumezaliwa baba mmoja
2.nilitumika km kitega uchumi mama alikuwa akimuandikia baba barua juu ya matumiz yangu lkn pesa zilipoletwa zilitawanywa na sikupata ata punje
3.mama hataki kukosolewa na anachotaka ufanye kile anachokuagiza utasikia nasema ivyo km mama io ni amri
4.dada zangu hawakuwa na upendo ni full vijembe mipasho na matusi mama yupo apo anaangalia
5.baba akija kutembea wanabadilika wanajifanya wananipenda
6.ukipata matatizo au ukilia wanashangilia tena wanacheka kabisa niliwah kuwakuta dada na mama wanashangilia hii ni baada ya kunisingizia kwa baba kuwa nimempiga mama
7.unalazimishwa kuvaa nguo wanazotaka

Naomba tuishie apo wadau maana nikisema nijaze utawachukia wanawake wote WANAWAKE NI WANAFIKI i hate them siku nikipata mda ntakuja ma thread
 
Khudos to yu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…