Ok, naendelea kujifunzaKiuhalisia kutokana na utafiti Wangu mdogo , wapenzi wengi wanaokutana humu kwenye mitandao wengi huwa hawana u serious Fulani , mmoja anawaweza akawa yupo serious, either anaetafuta au anaetafutwa asiwe serious, akawa Kama anabip tu kupima upepo, akiona mambo yako tofauti na alivyofikiria kwa aliyempata kupitia humu basi ndio inakua mwisho Wa hayo mahusiano, na Mara nyingi hua yamejaa uongo uongo mwingi na wasi wasi nyingi.
Kwa hiyo Kama ulitafuta huyo mwanamke kupitia hii mitandao ya kijamii , hizo changamoto ni lazima ukutane nazo mkuu .
Wamaanisha nini mkuu,paza sauti kidogo.Chief futa hiyo sifa na kigezo ulichoweka ili uepukane na hicho kizingiti single maza sio jambo jepesi sana
Nalo meno pia.Nalifanyia kaziTatizo laweza kuwa hili, wakati umeshampata mama mwenye mtoto huwa unazidisha mbwembwe kwenye kila kitu kinachomhusu mtoto, so mama anasoma zaidi ya aonavyo, anaanza kuwa na mashaka whether umempenda vile alivyo au unamwogizia, kwa kutokuwa na uhakika na majibu apatayo anaingiwa waoga na kukuzone usiyeeleweka.
My take, next time to your next prey [emoji3][emoji3]jaribu na jitahidi sana kuwa real usiexaggerate feelings zako kwenye maswala yawahusuyo mama na mwanae.
Daah kwahiyo tusio na watoto tupambane na hali zetu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nani kakudanganya dada angu!!basi ngoja nitafute wa kunizalisha ili nijue mapenzi[emoji23][emoji23]
Chief futa hiyo sifa na kigezo ulichoweka ili uepukane na hicho kizingiti single maza sio jambo jepesi sana
Humweleza mhusika kwa nafasi yake tukiwa wawili.Nataka pia nijifunze kwake kama anaweza nilelea wangu pia panapo tukijaaliwa,chamno nijifunze kwa kina ni vipi aliweza kupata mtoto nakushindwa kuishi na baba mtoto,kitu nisichokipendelea sana.maishani mwangu.Sasa wewe kwa nini unataka kununua gazeti jioni?
Chief futa hiyo sifa na kigezo ulichoweka ili uepukane na hicho kizingiti single maza sio jambo jepesi sana
Akae atulize akili ajipange.Vipi kama hana uwezo wa kuzalisha na tatizo lake tayari analijua?
Ukute anategemea huyu huyu atakayeletwa na mkewe mtarajiwa.
Great Thinker.....Siko huko kwa sasa....Vipi kama hana uwezo wa kuzalisha na tatizo lake tayari analijua?
Ukute anategemea huyu huyu atakayeletwa na mkewe mtarajiwa.
Usiombee ukutwe na bwana pepsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kabisaaHata Mimi ningekuwa me ningeoa mwanamke mwenye mtoto tayari walau mmoja! Kwanza mwanamke alozaa anakuwa amepevuka tayari. Anajua maana nzima ya Raha ya mapenzi[emoji39]! Lock zote zinakuwa zimetoka![emoji2960]!( Hii ni kwa wale wajuzi tu)
Nani kakudanganya dada angu!!
Eti ukizaa tu, ndio tayar ushajua mapenz!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajipigia debe uolewe sioHata Mimi ningekuwa me ningeoa mwanamke mwenye mtoto tayari walau mmoja! Kwanza mwanamke alozaa anakuwa amepevuka tayari. Anajua maana nzima ya Raha ya mapenzi[emoji39]! Lock zote zinakuwa zimetoka![emoji2960]!( Hii ni kwa wale wajuzi tu)
Ndio...! Nafunga na kuomba hapa nipate hiyo bahatiUnajipigia debe uolewe sio
Una watoto wangapi? Tuanzie hapoNdio...! Nafunga na kuomba hapa nipate hiyo bahati
Karibubasi ngoja nitafute wa kunizalisha ili nijue mapenzi[emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uko poa?Ndio...! Nafunga na kuomba hapa nipate hiyo bahati
nakujaKaribu
🤔basi ngoja nitafute wa kunizalisha ili nijue mapenzi😂😂