Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kiuhalisia kutokana na utafiti Wangu mdogo , wapenzi wengi wanaokutana humu kwenye mitandao wengi huwa hawana u serious Fulani , mmoja anawaweza akawa yupo serious, either anaetafuta au anaetafutwa asiwe serious, akawa Kama anabip tu kupima upepo, akiona mambo yako tofauti na alivyofikiria kwa aliyempata kupitia humu basi ndio inakua mwisho Wa hayo mahusiano, na Mara nyingi hua yamejaa uongo uongo mwingi na wasi wasi nyingi.

Kwa hiyo Kama ulitafuta huyo mwanamke kupitia hii mitandao ya kijamii , hizo changamoto ni lazima ukutane nazo mkuu .
Ok, naendelea kujifunza
 
Tatizo laweza kuwa hili, wakati umeshampata mama mwenye mtoto huwa unazidisha mbwembwe kwenye kila kitu kinachomhusu mtoto, so mama anasoma zaidi ya aonavyo, anaanza kuwa na mashaka whether umempenda vile alivyo au unamwogizia, kwa kutokuwa na uhakika na majibu apatayo anaingiwa waoga na kukuzone usiyeeleweka.


My take, next time to your next prey [emoji3][emoji3]jaribu na jitahidi sana kuwa real usiexaggerate feelings zako kwenye maswala yawahusuyo mama na mwanae.
Nalo meno pia.Nalifanyia kazi
 
Sasa wewe kwa nini unataka kununua gazeti jioni?
Humweleza mhusika kwa nafasi yake tukiwa wawili.Nataka pia nijifunze kwake kama anaweza nilelea wangu pia panapo tukijaaliwa,chamno nijifunze kwa kina ni vipi aliweza kupata mtoto nakushindwa kuishi na baba mtoto,kitu nisichokipendelea sana.maishani mwangu.
 
Hata Mimi ningekuwa me ningeoa mwanamke mwenye mtoto tayari walau mmoja! Kwanza mwanamke alozaa anakuwa amepevuka tayari. Anajua maana nzima ya Raha ya mapenzi[emoji39]! Lock zote zinakuwa zimetoka![emoji2960]!( Hii ni kwa wale wajuzi tu)
Usiombee ukutwe na bwana pepsi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kabisaa
 
Hata Mimi ningekuwa me ningeoa mwanamke mwenye mtoto tayari walau mmoja! Kwanza mwanamke alozaa anakuwa amepevuka tayari. Anajua maana nzima ya Raha ya mapenzi[emoji39]! Lock zote zinakuwa zimetoka![emoji2960]!( Hii ni kwa wale wajuzi tu)
Unajipigia debe uolewe sio
 
Hakikisha na ww umeona kaburi la baba wa mtoto,,,
La sivyo utakuja kuomba ushauri ni kamba gani inafaa kujinyongea
 
Back
Top Bottom