Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kila nikipita JF nakumbana na post mbovu kama hizi. Hivi wanaume mnapataga raha fulani kufikiria vitu vya kuwakalia wanawake kila kukicha au? Mna Bahati we are the only beings that tolerate you, so behave.

Kwa logic yako, single mother, mzazi pekee alieamua kubaki kwenye maisha ya mtoto na kumlea kadri ya uwezo wake pamoja, huyu mtu ndie mwenye makosa na udhaifu? Mzazi mwenzie alietelekeza majukumu yake je?
Obama mama yake alikuwa single mom, Bill Clinton, etc. Ni bora mtoto aishi Kwa amani na mzazi mmoja kuliko nyumba yenye mifarakano mingi. Two parent households do not guarantee well behaved children, mfano bora ni wewe bro. Hata watoto mashoga wanatokea nyumba zenye baba na mama so don't lie to yourselves.

Watoto wakitupwa chooni mnasema...
Mimba zikitolewa mnasema...

Laana kubwa ya wanawake , Hasa wanawake wa kiafrika ( God Help Us) Ni kuzungukwa na wanaume wanafiki na wanyanyasaji.



 
Hahaha
Umeonae, hawakawii kusema nina watoto saba kila mtu na babake!!!
Hahahaaa! Na wanavyojua kulazimishia yaani wanasahau kabisa kwamba ukweli tunao wenyewe sisi tunaoandika.
 

Tatizo LA single mothers litakuja kuathiri jamii nzima including Mimi na wewe so tusiwabeze sana maana tutaumia baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…