Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kumbe kuna Umoja lukuki nchini mwetuu

Leo nimeona wakulimu,bodaboda ,bajaji ,

Allloooooo mbeleko mbeleko
 
Sasa ninyi mpo Burundi mnataka mshiriki mambo ya Tanzania?
 
Chadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣
 
Chadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣
Ukweli usiopingika, sisi Wakulima tunataka kabla ya maandamano taasisi yoyote ione kwanza umuhimu wa mazungumzo ya mezani - tunao viongozi wa dini, mabalozi, taasisi za elimu ya juu, mashirika nk nk

Sasa hao watumiwe kusaka suluhu pale penye utata. WAKULIMA KUANDAMANA HAPANA - FARMERS WILL NOT INVOLVE IN ANY WAY
 

Hahaha kila rangi tutaiona zamu hii, huo umoja ulianzishwa na kuandikishwa lini na viongozi wake na kina nani na walifanya kikao wapi na lini kuunda hili tamko utuletee hapa boss?
 
Hahaha kila rangi tutaiona zamu hii, huo umoja ulianzishwa na kuandikishwa lini na viongozi wake na kina nani na walifanya kikao wapi na lini kuunda hili tamko utuletee hapa boss?
Duuuu! Huenda wewe siyo mkulima. Wengi wanatambua kuwa
  • Umoja huu ni hai
  • Mwenyekiti wake ni Msakila Kabende
  • Vikao vyetu ni vya robo mwaka au itokee dharura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…