Mteule halisi
Senior Member
- Oct 21, 2014
- 197
- 97
AiseeTatizo lao kubwa sana ni mtoto yaani wanapenda uwe mtumwa kwa mtoto wake huyo ulomkuta naye hata ukizaa naye wewe bado atahitaji umnyenyekee zaidi huyo mtoto ulomkuta naye. Yaani hatalidhiki kwa mtoto wake huyo mpaka umpende na kumnyenyekea kuliko mama ako mzazi.
Fafanua kidogoSingle mothers wengi, pasua kichwa balaaa.
Kuna wanawake hawana huo mshipa wa aibuIla nachojua ukiamua kujitosa kuoa single mother, hakika hiyo ndoa itadumu sana....(Kutakuwa na uvumilivu flan hivi kwa kuhofia jamii itamuonaje ikiwa ataachika tena)
Sasa baba mtoto anakujaje kulala kwanguHasara:
1. Kulea mtoto si wako.
2. Kumfungulia mtoto benki akaunti.
3. kumhudumia mwanamke.
4. Kuhudumia wazazi wa mwanamke na kuhudumia baba wa mtoto huyo.
5. Baba wa mtoto anayo haki ya kuja kulala kwako muda wowote.
Faida:
1. Kujua thamani ya mkeo na mtoto wako wa kambo.
2. Kuhudumia familia yako vyema.
3. Baraka kwa wazazi wa mke na kuibariki ndoa.
4. Kupata watoto ukiwa na huyo mwanamke.
5. Kuleta maendeleo makubwa na sapoti kutoka kwa mkeo.
[emoji4]
Hii inategemea na akili ya mwanamkeKubali kataa ipo siku mwanaume aliye zaa nae ataomba mechi yakirafiki, na lazima apewe!
Si kumuona mwanaye analala siku 2 halafu anaondoka. [emoji4]Sasa baba mtoto anakujaje kulala kwangu
uadui mbele ya wazaz co ishu mzee watasahameana cku na hawawez kuacha kuwacliana coz ya mtotoMmh kwa picha ilivyo sizani kama hilo litatokea maana kuna mengi sijayaweka wazi ila kuna uadui mkubwa sana
Kwaiyo nihairishe mipango sioKifupi na kwa maoni haya,single mother's ni pasua kichwa
Sio kwangu labda kwa mwingine mkuuSi kumuona mwanaye analala siku 2 halafu anaondoka. [emoji4]
Maoni ya wadau ukiyapima unayaonaje?kazi kwakoKwaiyo nihairishe mipango sio
Ntapata picha tuMaoni ya wadau ukiyapima unayaonaje?kazi kwako
Sio mara zote mkuuIla jua kuwa picha ya mzazi mwenzake ndio iko kichwani mwake kabla yako. Mwanaume wa kwanza kumuwekea sign mwanamke kama kumpatia mtoto picha yake hubaki kichwani mwake.