Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Aisee
 
Sasa baba mtoto anakujaje kulala kwangu
 
Ila bado kuna vijana mnahisi ukiwa kwenye mahusiano na single mother basi lazma umegewe na mzazi mwenzie..ebu acheni hzo bana..sio kila singlemom ana hizo mambo
 
Wewe uliyeshindwana na mzazi mwenzako umemchukua aliyeshindwana na mzazi mwenzake!

Hongera!u wll make a good couple!
 
Mimi nilikua na mmoja kazuri kweli ila tatizo lake ni kwamba ela yangu anaipangilia yeye.mfano nikitoka kumgegeda,nampa labda elfu kumi ya nauli.sasa hapo hapo anaanza nataka chips mayai,kuku nusu,sijui nini na nini.nikaona isiwe kesi,nikarara nae mbere kwa mbere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…