Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

" Ona akili za wanaume zilivyo" hiyo sentensi ndo imenifanya nijue wewe ni mtu wa namna gani,kama sio mwanamke basi wewe ni mchicha mwiba a.k.a shoga mwanaume mwenye tabia za kimama

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi NI MWANAUME tena Mwanaume msukuma na mwenye mashine kama ya Punda !!! .

Nmesema 'Ona akili za wanaume" maana yake kimawazo Nimejitoa kwenu yaaan tumetofautiana mawazo na mitazamo.

Rejea koment yako, ndo utajijua vzuri wee ni mwanaume au SHOGA !!
 

Bado narudia nilichokisema MWANAMKE ANAEJIELEWA HAWEZI KUMBEBESHA HAWARA MAJUKUMU YA KULEA MTOTO WAKE ALIYEZALISHWA NA MWANAUME MWINGINE KWA MALIPO YA KUTOA KITUMBUA, vinginevyo mwanamke huyo amekubali kuonekana malaya(hana self-respect) anayemlea mtoto kupitia mwili wake... inaeleweka vizuri?

Nikiwa kama hawara sina chochote ninachohitaji kutoka kwa mtoto wake hivyo sina sababu yoyote ya ku-invest kivyovyote vile kwa mtoto wake, kwani huyo mtoto hana baba? hana wajomba ambao ni damu yao? hana mababu? basi tuna assum hana hao wowote niliowataja sasa je kwanini iwe ni lazima mimi kumhudumia huyo kiumbe ambaye mimi sikuwepo wakati anatafutwa? kwanini kama ni kutoa isiwe ni kwa ihali yangu mimi mwenyewe tena pale ninapojiskia?.... kwanini yeye kunipa utamu iwe kigezo cha mimi kubeba hizo liabilities? kwanza huo utamu ninauskia mimi mwenyewe tu..? kwanini mimi sipotezi energy yangu tunapopoeana utamu..? dude achana na hiyo mentality ya kuamini kwamba sex ina benefit kwa mwanaume tu.. acha kabisa unaonekana uko manipulated.

Mimi kudate na single mother bila kujihusisha na mwanae kwa namna yoyote ile haimaniishi kwamba eti nnamchukia, kama kutokumjali mtu asiyenihusu ni kumchukia basi katika dunia hii ninawachukia wengi sana. Mimi nimevutiwa na Anna na wala sijavutiwa na uzao wa Anna nielewe.

Huo mfano wa mjomba yako ni case chache sana tunazoziona ukilinganisha na kinyume chake, ninaweza nikasema watu kama huyo jamaa aliyekataliwa na mjomba yako ni wawili kati ya milioni. Hivyo haiondoi ukweli wa kwamba ukilea mtoto wa single mother more often than not atakuja kumjali zaidi mama na wewe kwake utabaki kuwa mtu baki tu... sasa ya nini nianze kucheza kamali?

Kujifanya unalea mtoto asiyekuhusu kwa sababu tu unapewa vagina niuzwazwa wa hali ya juu, watu kama hao mimi nawaita SEX STARVED SLAVE.
 
Umejitoa kwenye kundi la wanaume,sasa hayo mambo ya punda yanatoka wapi Wewe ni shoga nimefuatilia nyuzi zako unawaelekeza watu jinsi ya kumjali mwanaume,wewe ni shoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajiita Carlos afu tena unajitambulisha kwamba wewe ni mwanaume, unaona ulivyokua shoga
 
Unaona sasa wakati kwenye hiyo sex hata mwanamke mwenyewe anafaidika
 
Yaani kabisa mtu anaamini eti ada za milioni 5 sijui 10 pamoja na vizawadi vya hapa na pale vinaweza vikanunua uzazi wa moja kwa moja? watu wana utani hawa.. baba ni baba tu, acha waendelee kubet
 
Unajiita Carlos afu tena unajitambulisha kwamba wewe ni mwanaume, unaona ulivyokua shoga
Kwaakili yako Carlos unayemjua niyule mcheza movies ???

Sasa mcheza movies alijiita Carlos kutokana na Huyu "Carlos The Jackal"...kasome upate Info za huyu Jamaa!!


Yalobaki niseme itakua ni Ujinga wakiwango cha Lami.
 
Kwangu mimi sio sawa kuingilia mahusiano( ya mama na mzazi mwenzie), sababu wale tayari wana kitu kinachowaunganisha milele.

ila suala la mama kuniamishia majukumu ya huyo mzazi mwenzake hiyo ni never never never happen tu.
 
Yaani kabisa mtu anaamini eti ada za milioni 5 sijui 10 pamoja na vizawadi vya hapa na pale vinaweza vikanunua uzazi wa moja kwa moja? watu wana utani hawa.. baba ni baba tu, acha waendelee kubet
Vitu vingine piga hesabu hata wewe mwenyewe labda ungekuwa ndo huyo mtoto lazima ungempa thamani baba ako mzazi na sio huyo wa kufikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona sasa wakati kwenye hiyo sex hata mwanamke mwenyewe anafaidika
Si ndio hapo sasa, na wakati huyo huyo mwanamke siku asipokuwa kwenye mood anakwambia kabisa "leo sijiskii" na unakuwa mpole tu, siku akikubali ujue yuko kwenye mood, hivyo hata yeye mwenyewe ana nyege.. halafu eti ukitoka hapo unaanza kukata misimbazi na asante nyiiing.. mamaee!! SAYNOTOPUSSYSLAVERY
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwangu mimi sio sawa kuingilia mahusiano( ya mama na mzazi mwenzie), sababu wale tayari wana kitu kinachowaunganisha milele.

ila suala la mama kuniamishia majukumu ya huyo mzazi mwenzake hiyo ni never never never happen tu.
Embu ngoja kwanza.... Sasa hivi ukimtongoza mama mwenye mtoto. Utamtongoza kwa minajili ya kula mzigo au kwaajili ya kuja kuoa mbingu zikipenda??? .


Kama nikula , Lazima naww upigwe mizinga nahapa usikae ukalalamika, nahiyo mizinga itapigwa bila kumsisha mtoto.

Nakm nikuoa , basi sawa as long as amekupata wewe nakuhusu mwanawe anahudumiwa na Baba yake .!! So yote yapo ktk mizani.


Shida nipale, unapokua Hawara Mpitaji, alafu kujali mtoto hujali..yeye mwenyewe akikuomba pesa tatizo...yaan wee uwe mnataka Uchi wa Bure?? Uku akijua unapita kama wengine???

Aaaahhh aisee labda udate na Angelina Jolie !!
 
Vitu vingine piga hesabu hata wewe mwenyewe labda ungekuwa ndo huyo mtoto lazima ungempa thamani baba ako mzazi na sio huyo wa kufikia

Sent using Jamii Forums mobile app
UHUSIANO WA DAMU UNA NGUVU SANA HAKUNA KITU KINACHOWEZA KUUTENGANISHA KIRAHISI LABDA KIFO, WEWE BABA WA KAMBO KWANZA KUNA VITU UTAKUWA UNAJISHTUKIA KUMFANYIA HUYO MTOTO KWA KUHOFIA KWAMBA MAMA YAKE ATANIFIKIRIAJE KAMA VILE KUMUADHIBU IPASAVYO.
 
UHUSIANO WA DAMU UNA NGUVU SANA HAKUNA KITU KINACHOWEZA KUUTENGANISHA KIRAHISI LABDA KIFO, WEWE BABA WA KAMBO KWANZA KUNA VITU UTAKUWA UNAJISHTUKIA KUMFANYIA HUYO MTOTO KWA KUHOFIA KWAMBA MAMA YAKE ATANIFIKIRIAJE KAMA VILE KUMUADHIBU IPASAVYO.
Kweli kuwa baba wa kambo ni changamoto sana,siku labda huyo mtoto amefeli shule au anasumbua ukimtia viboko mama ake atakuja kulalamika unamtesa mwanaye wakati hata baba ake angekuwepo angemtia viboko tena vya maana tu,alafu pia huyo mtoto wa kambo atakuja kuleta mgogoro mbeleni kwenye urithi tena ukizingatia anakuwa mkubwa kuliko watoto wako,kuoa single mother ni changamoto usije ukajaribu utakula mkenge utajuta
 
Kumtongoza mama mwenye mtoto minajili yake siwezi nikaisema moja kwa moja, sababu inategemea hata mimi niko kwenye kipindi gani.. yawezakana ni katika kipindi ambacho mimi ni mzee hivyo nahitaji mwenza wa kumalizia nae maisha hivyo sitaangalia kama ana mtoto au laa. pia vile vile labda nikiwa kama kijana sijafikiria kuwa na mwenza ambaye tayari ana mtoto halafu mimi sina kwenye mahusiano ya muda mrefu.

Mizinga anapige tu sawa kama kipo anapewa kama sehemu ya kusaidiana kimaisha na sio malipo ya kunipa papuchi.

Suala tunalopigia kelele hapa ni ile mtu unapewa LIST YA MAHITAJI KABISA KAMA INAVYOONEKANA KWENYE MFANO HAPA CHINI;

-Hela ya kunyoa mtoto(babershop)
-Hela ya viatu vya shule
-hela ya raba za kushindia
-hela ya kwendea swimming
-hela ya nguo za kushindia
-hela ya nguo za x-mass
-hela ya nguo za boxing day
-hela ya nguo za mwaka mpya
-hela ya karo ya muhula wa kwanza
-hela ya chips kila siku
-hela ya piza kila jumamosi
-hela ya dharura.

N a hapo bado yeye hajakupangia hela ya saloon, hela ya kodi ya nyumba,hela ya kutengeneza kucha, hela ya kumlipa mangi dukani etc.. halafu eti wewe hapo unacho ambulia kwake ni TUNDU tu ***** ambalo kuna mwana alipigamo FREE bila gharama hahahahahaha..... MTANISAMEHEE TU SINGLE MOTHERS MNAONISOMA HAPA LAKINI HUU UZWAZWA LAZIMA TUUKEMEE.

Single moms watu wazima hawanaga tabu yoyote tena wale wenye age ya 40+ hawana kabisa, kimbembe huwa ni hawa 25-32 wanajua kupigaa mabomu kuliko hata Kim jung na jeshi na lake
 
Halafu unakuta huyo mtoto hata siku akilitembelea libaba nyumbani kwake linakuwa likali kweli... akishika redio tu utaskia "we acha utaharibu, pumbavuu" na mama mtu hapo yupo kimyaa! ila sasa uje wewe mtie hata kibao cha matako halafu mtoto apige kelele kwanza hilo jicho utakalo angaliwa na mama mtu utatamani ujifiche mfuko wa nyuma.

kiukweli kuoa single mother kunaondoa confidence kabisa ile ya kibaba, mimi kama ni kuoa wanawake wa hivyo nitaoa uzeeni sio ujanani
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo umewapa makavu tena kwa mifano hai hakuna hata mmoja anayekuja kutetea hahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…