Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sio kujifanya ndio huna elimu ya uzazi kichwani ndo maana unaleta ujinga u dumbass.....umepanic na umefeli ndo nshakwambia sasa
 
Mkuu usitoke nje ya mada .... Hayo yote yanajulikana ...so kwa mwanamke mwenye utimamu wa akili lazima awe makini kwenye swala LA ku sex na sio ajiachie tuu kijinga apigwe mimba asingizie et mzunguko wake ulibadilika sababu n kawaidah MTU akihama mazingira. Yan usitafute point ya kutoonekana una makosa
 
OK zen bye[emoji112]
 
Siyo tu kuoa Single Mother hata kuoa ambaye siye Bikira bado ni makosa makubwa sana ingwa wengi wanafumbia tu macho. Mwanamke anapaswa kuolewa akiwa "Bikra" safi kabisa ambaye hajaguswa na Mwanaume mwingine.

Mimi binafsi nimesema siku nikiwa tayari kuoa, basi nitaoa yule ambaye ni "Bikra" maana ni uchafu kuoa Mwanamke ambaye ameshagegedwa na Wanaume wengine!
 
Ploe
 
Vijana waliokosa udahili wa vyuo wanakuja kumalizia stress zao kwa single mother, subir second selection.
 
wewe bikra??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…