Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mkuu usinichonganishe na dada yangu ule ni mfano na pale nimeweka wanawake 10 lengo ni je katika wale niliowaweka kweli 09 ni single mother?

Sikuwa na maana nyingine mkuu.
wanaoshika namba moja huwa wanakuwemo tu,yani kwenye 10 watoke 9!!
ndo nipo nimeshika praize hapa natafuta kamba,bisibisi zipo mfukoni,ye naona kashika mwiko! ndo nakimbilia leki milango naona imefungwa itakuwa jilani kafunga
Loading...
 
Nifuatilie interview zina nini?

Ndio sababu huwa mnazishabikia ili mpate pa kusemea, sababu huwa wanaume hamkaukagi kwenye hizo interview.

Nimeelewa sasa mkuu.
Elewa na hili singo maza kwa sasa ni tishio dunian

Huo ndo ukweli mchungu msiopenda kuusikia
 
Eti huwa mko wengi duuh. Mie sipo kwenye hilo kundi ila kiukweli single mother sio wengi kiwango cha kusema katika wanawake 10 wa jf basi 09 ni single mother.

Hilo nalikataa aisee
Unapinga kitu gan sister hapa kwa hiyo kwa makadirio yako kati ya 10 singo maza ni wangapi?
 
Nakimbia unavyoniambia nikupe link.

Mwenzio Beira kafanya utafiti peke yake pasi kuomba link. Na weye mkuu nenda tu kafukue makaburi ya Interview ujionee ni kweli ama la.
hahahaahahahaha,ngoja nianze utafiti wangu
 
Back
Top Bottom