Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Bado mtoto wewe, mademu kibao nawajua wameolewa wamewazalia watoto waume zao lakini wanagongwa balaaaa......uzinzi ni tabia ya mtu......kuna mademu wamezaliwa wana nyege 24 hrz hao ndo wanashida ukisafiri siku mbili ujue imekula kwako
Mbona baba wengi wanalea watoto wasio wa kwao, na wako kwenye ndoa? Kugongwa kwa mwanamke ni uamuzi wake tu, na haitegemei kama ni single mother au la.
Lakini na wanaume nao akili ziko kwenye makende tu, kama demu mmeachana unamfuata tena wa nini?
 
Malipo hapahapa duniani....kwa wote mnaowanyanyapaa single maza ngoja muingie kwenye ndoa....ndoa ni zaidi ya single maza ndugu zangu

Mungu yupo anawaona, wengi wanaojadili haya ni utoto unawasumbua, wanawaza tu ngono...uzinifu lakini kwa kafsha mnazowapa single maza kwa ku GENERALIZE kuwa wote hawafai haya ngoja tuone, time will tell....
Mkuu Umeoa single Maza? Au umelelewa na Single Maza?
 
Mkuu Umeoa single Maza? Au umelelewa na Single Maza?
Wapo nnaowafahamu.......wengine wana tabia nzuri wengine ndo hao ambao wanazungumziwa na watu wengi humu

Nkupe mfano, atokee muingereza awaite watanzania ni wajinga we utakubali????
Ww ni mtanzania so amekujumuisha na ww kwenye wajinga....


Ishu watanzania wana tatizo la kugeneralize mambo na inawacost
 
Wapo nnaowafahamu.......wengine wana tabia nzuri wengine ndo hao ambao wanazungumziwa na watu wengi humu

Nkupe mfano, atokee muingereza awaite watanzania ni wajinga we utakubali????
Ww ni mtanzania so amekujumuisha na ww kwenye wajinga....


Ishu watanzania wana tatizo la kugeneralize mambo na inawacost
Boss tunaelewa single mama wamelea watoto wao kwel na hata kwa shida, ila wewe mwnaume kama unataka ndoa stable au uhusiano stable usimwoe mwanamke single mama ambae mzaz mwenza yupo hai, UKIAMUA KUOA....TAKE AT YOUR OWN RISK
 
Boss tunaelewa single mama wamelea watoto wao kwel na hata kwa shida, ila wewe mwnaume kama unataka ndoa stable au uhusiano stable usimwoe mwanamke single mama ambae mzaz mwenza yupo hai, UKIAMUA KUOA....TAKE AT YOUR OWN RISK
Huko ni kutojiamini na ubinafsi tu, single maza wanaolewa vizur tu na ndoa zinadumu,
 
Boss tunaelewa single mama wamelea watoto wao kwel na hata kwa shida, ila wewe mwnaume kama unataka ndoa stable au uhusiano stable usimwoe mwanamke single mama ambae mzaz mwenza yupo hai, UKIAMUA KUOA....TAKE AT YOUR OWN RISK
Maisha hayafanani kama uliumizwa ww utajijua mwenyewe......sijui kwanini inawauma sanaaa, akyamungu single maza ni nomaa
 
Boss tunaelewa single mama wamelea watoto wao kwel na hata kwa shida, ila wewe mwnaume kama unataka ndoa stable au uhusiano stable usimwoe mwanamke single mama ambae mzaz mwenza yupo hai, UKIAMUA KUOA....TAKE AT YOUR OWN RISK
Hiv ni kweli usipooa single maza ndoa inakua stable???? Duh unaruka mkojo unakanyaga mavi....
Ndoa ni pana brazaaa ngoja ukue uyaone
 
Heri ya mwaka mpya wakuu wote hapa JamiiForums


Kuna rafiki yangu mmoja hivi nilisoma naye chuo, huyu jamaa katika mwaka wake wa pili tangu aanze kazi alikutana na mfanyakazi mwenzie ambaye ni mtaalamu wa madawa ya binadamu (Pharmacist)

Wakaanza mahusiano ya mapenzi,lakini kiuhalisia jamaa yeye alikuwa naye kwa kujifurahisha tu kwa kuwa tayarialikuwa na mchumba wake lakini alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine, akaamua amchukue huyu mfamasia kwa ajili ya kucheza rafu za hapa na pale na kuondoa upweke usio wa lazima.

Lakini kumbe mdada wa watu kajiongeza na hatimaye akamtegea jamaa siku zile za hatari, jamaa akiwa hana habari na mpango wa bibiye hatimaye akamtandika ujauzito, jamaa akaja juu kwamba kwanini ameshika ujauzito bila makubaliano? Akamwambia achoropoe,bibiye akagoma.

Basi jamaa kwa hasira akampiga kibuti demu,mahusiano yakafa lakini baadaye akasema wtashirikiana kumlea mtoto ila mapenzi yafe, mdada akasema haina shida.

Kwa hiyo kila mara wanatembeleana kwa ajili ya mtoto ila mambo ya mapenzi hakuna.

Sasa imepita miaka kama miwili hivi kajitokeza mshikaji mwingine anataka kuchukua mzigo jumla (kuoa), sasa katika process za utoaji barua, eti bibiye anampigia simu baba wa mtoto kuwa anataka kuolewa hivyo ampe ruhusa ya kuolewa ahahahahahhahahahah; jamaa akamwambia we olewa,unaniomba ruhusa kama nani wakati mi na wewe tulishaachana?

Kwa kufupisha stori, kiufupi pamoja na mchakato wa ndoa kuendelea lakini binti anaonesha matendo ya kidhaifu mno kwa mzazi mwenzie kiasi kwamba hata jamaa akiamua kuomba mzigo anaweza kupewa bila masharti; hali hii imefanya kutokea mgogoro mkubwa kati ya mume mtarajiwa na binti,mgogoro unaotokana na wivu wa mapenzi unaochagizwa na tabia ya binti kuwa dhaifu mno kwa mzazi mwenzie.

Kwa mujibu wa rafiki yangu anakiri kiukweli wakikutana na bibiye kwa ajili ya kumjulia hali mtoto, bibiye anakilegeza mno,yani anajiweka kiromantic na hayuko seriously sana kama mtu ambaye kweli anatarajiwa kuolewa.

Sasa, mimi naomba kuwauliza humu wana JF, Hivi ni sababu ipi haswa inayopelekea mabinti wengi kuwa dhaifu kwa wanaume waliozaa nao kiasi cha kuwapa wakati mgumu waoaji?

Hivi haiwezekani mkizaa mkaachana moja kwa moja bila kuwa na shauku ya kukumbushia mapenzi?
Huu mwandiko kama vile we ndo jamaa mwenyew[emoji12] [emoji12] halafu sio wote wa hivyo mi nimezaa na jamaa lakini tunaonana january kwenye ada ya mtoto na hata nyege nae sina
We nawe umependwa si u funguke????
 
Mwanamke yoyote kama alishawah kukuvulia pichu zaid ya Mara moja,unanafas kubwa sana ya kumvua tena
Amekudanganya nani?wanawake tunajua kuigiza sana ujue na huwez jua sababu ya yeye kukubal umvue [emoji23] [emoji23] [emoji23] usijipe moyo
 
Huyo mwanamke ni mpumbavu angekua na akili huo ujinga asingefnya,yaan mtu anaonesha waz kabisa kua hakuhitaj still unamnyenyekea na kuuliza et niolewe mfyuu mtoto isiwe kigezo aisee ,mapenz yakiisha yangu yang hayakuhusu na yako hayanihusu..angeolewa tu jamaa atapataga taarifa nae akioa atasikia tu anamuliza kama nan wanawake wengne bhna hao ndo wanaofnya sngle mom tuonekane WA hovyo kumbe sivyo
Well noted ....
 
Back
Top Bottom