Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mother wana mapenzi ya dhati sijapata kuona! Ukimjali tu ukampenda na mtoto wake, anakuachia kila kitu. Kiufupi anageuka kuwa mtumwa kwako.

Kuna mmoja nlikuwa na mahusiano nae, aisee! Yule mdada alinifeel sana, shida ikawa anapenda sana tuoane,

Kiukweli ningemuoa ila umri alikuwa amenizidi miaka 2,

Siku moja akaniambia nakuomba sana usioe kabla mm sijaolewa coz nitaumia sana nikaona unaoa huku mm nashuhudia. Kweli haikipita muda akapata jamaa wameoana. Nami nmeshaoa, lkn lile penzi la yule mdada hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.

Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji3525][emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Ha ha ha mmoja nilikuwaga naye.. Ilikuwa story za mtoto wake kila muda na kisirani juu..
Kweli inataka moyo wa chuma!!
 
Single mother wana mapenzi ya dhati sijapata kuona! Ukimjali tu ukampenda na mtoto wake, anakuachia kila kitu. Kiufupi anageuka kuwa mtumwa kwako.

Kuna mmoja nlikuwa na mahusiano nae, aisee! Yule mdada alinifeel sana, shida ikawa anapenda sana tuoane,

Kiukweli ningemuoa ila umri alikuwa amenizidi miaka 2,

Siku moja akaniambia nakuomba sana usioe kabla mm sijaolewa coz nitaumia sana nikaona unaoa huku mm nashuhudia. Kweli haikipita muda akapata jamaa wameoana. Nami nmeshaoa, lkn lile penzi la yule mdada hatari.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment nimeichukulia kama motivational speech.
 
Aisee kudate single mother inahitaji uwe na roho ya chuma kweli kweli.

Wamejaa lawama, gubu za kiwango cha juu, hawana Jema kabisa. Kila kitu mtoto wangu mtoto wangu. And always hawana shukrani. [emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️[emoji852]️
Wanakera hata unajuuta kwa nini ulijitosa, kibaya zaidi unashindwa kujitoa kwa sababu ulimtoa mahala fulani ukamuhamisha na kumpangia sehemu ambayo sasa unawajibika moja kwa moja, mkizozana kdg utasikia, mi mwanangu ufanye hivi, au we mwanangu shika kanauli uende shule, we mwanangu nisaidie kitu fulani, halafu hata umsomeshee, umlishie huyo mwanae anenepe kama puto, bado ata demand more and more, especialy akigundua umempenda sana ni hatari na mateso

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii comment nimeichukulia kama motivational speech.
Kweli kabisa mkuu! Hawa wadada masingle mother mpaka anakuwa na mtoto lkn yuko single huwa wanakuwa wamepitia vipindi vigumu sana! Kwa hiyo huwa wanajihisi kama kuna kitu wamekosea sana na pengine hata kaa aolewe tena.

Sasa akimpata mtu anaemjali yeye na mwanae, aisee atamuhehimu na kila utacho mwambia anakubali. Kikibwa wewe mthamini tu basi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom