Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ila single mother aisee wana changamoto sana. Mimi nilipotezewa kwa muda mrefu alikuwa hana hata habari na mimi. Nikaona its OK kwa sababu maisha ni yake na maamuzi ni yake. Baada ya miaka kupita nikakutana naye tena. Nipo cool tu na kila mtu na wala sina chuki, akaniletea tena mazoea na hatimaye akanitongoza na kuniambia ananipenda kwa dhati.

Kidume nikaona huyu binti aje mbona imekuwa kwa ghafla hivyo. Baadae kuja kugundua kumbe tayari ameshazalishwa na mshikaji ambaye alimfanya hawezi kunifikiria mimi. Nikajifikiria nikasema huyu binti ananifanya Mimi ni mjinga(?)

Akatoa samahani nyingi na machozi ya hapa na pale na ahadi lukuki kwamba atakuwa muaminifu kwangu. Nikaona siyo mbaya nitabeba majukumu. Kwa ghafla jamaa aliyemzalisha akasema anataka arudi wayamalize kwa wazazi, naye anataka kumlea na kumuona mtoto wake. Drama zikaendelea mwisho wa siku nami nikawa miongoni mwa hiyo drama yao. Baadaye hizo issue na jamaa yake mara Maza wa jamaa aliyemzalisha anapiga simu kuhusu mjukuu wake. Nikaona daaaamn! Jamaa mara anamsumbua binti anampigia pigia simu anatumia kigezo mtoto wake. Mara mama wa huyo mshikaji anataka kumuona mjukuu.

Nikamwambia mama lengo langu na ahadi zangu zilikuwa na nia njema lakini hii hali kadri inavyozidi kwenda inaniumiza sana. Hii drama nayo inaonekana ni endelevu na moyo wangu sidhani kama utakuwa na uwezo wa kuvumulia hiyo mikiki. Nikamwambia tuachane. Alining'ang'ania sana, binafsi nikamwambia siwezi.

Tangu niachane naye mpaka sasa hivi yapata ni miezi 7. Nilimpenda lakini hiyo mikiki yake kiukweli hapana. Ila yeye mpaka sasa hivi ananipigia simu na kunitumia msg. Sijibu chochote katika hivyo na wala sijam' block.

Mkuu even me nilielewa and tulikua tunpendana na nika m assure kwamba nitawalea yeye pamoja na mwanae ila sitaki communication na baba yake hapo ndio kizaa zaa kilipoanza...Mara sijui mtoto Ana haki ya baba yake Mara baba yake itabidi sijui amsomeshe
 
kwa kweli kwa hali ya sasa inasikitisha kila nyumba yenye watoto wa kike sita wakubwa inawezekana kuna single mother mmoja, kwa kawaida linapokuja suala la mahusiano anaye husika ku control future ya mahusiano ni mwanaume...hivyo ni vyema tuingie kwenye mahusiano tukiwa na malengo sio starehe ya mgegedo
pata picha una dada then anaachiwa mtoto amlee alafu baba wa mtoto anakula bata tuwe wanaume wa kweli tusiendekeze uvulana kwenye mambo serious kama malezi ya watoto, mwanaume wa kweli analea watoto na mama wa watoto wavulana wanatia mimba alafu wana kimbia malezi FEEL PROUD KULEA WANAO ILI WAJE KUJIFISIA KUWA WANA BABA SIO mvulana fulani aliyempa mimba mama yao.

na nyie wanawake acheni mambo ya kitoto kwenye mambo serious unawezaje kumtegeshea mimba mwanaume kwa kigezo kuwa atakuoa na hili pia sababu nyingine ya nyie kuachiwa watoto. na wazazi mjitahidi kuwarudisha watoto kwenye msingi wa malezi bora huenda ikasaidia.
 
Inatafakarisha sana hii kitu.Watoto wetu wa kike tuwapatie elimu nzuri hata ikitokea kakutana na kijana wa kiume asiye jitambua aweze kujihimili.kimaamuzi na uwezo wa uchumi.Tulipokuwa vijana tuliona yote sawa.Kumbe si kweli asilani,abadani!
 
Wengine Walipata Watoto Bila Kutaka Kuishi Na Mwanaume, Wanawake wenye uwezo wa kiuchumi hawahitaji sana kuolewa ila kuzaa wanataka, wanazaa na yeyote wanayetaka awape mimba. wanajua wakizaa watalea wenyewe.
 
Huo ni upepo tu mi naona siku hizi imekuwa kama fashion hivi wasichana wanapenda watoto sana.

yaani unaweza mwanaume unadate na msichana unamwambia kabisa kwasasa sitahitaji mtoto bado sijajipanga ila utashangaa miezi miwili tu ya kudate anakwambia baby sijaona siku zangu baada ya siku moja anakwambia imenasa ukiwa mkali ukamwambia mbona umezingua tena nilikwambia nn?

Atajiliza hapo weee na kususa juu badae utaona sms tu.. " kama utaki hii mimba mm nitalea mwenyewe ila sitaki uje unitafute its over btn us"..

Basi kidume kwa kuwa upendi lawama unampetipeti tu hivyo hivyo ila kwa kuwa hukuwa umejipanga ngoma inakuwa ngumu kutoka na changamoto za kuanzisha familia ni nyingi unaamua kukaa pembeni upambane kwanza.

Hiyo ndio sababu ya masingle Mother kuwa wengi siku hizi usituonee sisi wanaume jamani wanawake wanasababisha haya wakidhani ni rahisi rahisi tu kisa ameona kwa mwenzie huko au kamuona staa fulani anazaa tu na wao wanaona ni fashion kuzaa tu.
 
Kama dada yangu yuko chini yangu kazalishwa halafu jamaa linakula bata ubatani sipati shida,tunakwenda tunamkabidhi mtoto wake na mimi narudi home na dada yangu,mchezo kwisha,
 
Single mother?? hivi kuna double Mother?

Aliyeileta hii lugha nani?
 
Mwanamke yeyote single mother hawezi kuolewa na mwanaume asiyejitambua au kuolewa na mvulana
Kweli halafu hawa wavulana ni waoga wa maisha wanachokimbia sio single mother wanakimbia majukumu ni wakina uchebe hawa ila mi naona mwanamke ni mwanamke akikupenda mkapendana weka ndani watoto lea

Sent using tekino
 
Kuna ile fashion ya mjamzito kupiga picha huku amelishikilia tumbo lake likiwa wazi halafu picha zinatupiwa instagram, nahisi pia kwa kiwango kikubwa ilisababisha ongezeko la masingle mother.
Dada zetu wanapenda sana fashion hakyamungu.

Maendeleo hayana chama
 
Nna umri wa miaka 36. Natafuta single mother aliye na mtoto mmoja tu. Sababu ya kuwa single iwe ni baba mtoto wake kufariki ama alizalishwa bahati mbaya na mme wa mtu. Sifa zake
1.Age 20-28yrs.
2. Maji ya kunde ama mweupe.
3.Awe na elimu at least ya form four.
4.Awe na mawazo ya kufanya biashara.
5.Awe tayari kuishi Mwanza
6.Kabila lolote
7.Dini yeyote ila mimi ni mkisto na sipo tayari kubadili dini yangu
8.Asiwe mnene wala mwembamba sana. Awe na shape kiasi kwamba nkiwa nae nsiogope kumtambulisha kwa friend na ndugu.
9. Asiwe mtu wa kuendekeza starehe kupita kipato.

Mimi nafanya kazi inayonipatia kipato cha kulisha familia, naweza kusomesha n. k.

Sijaoa na wala sijabahatika kuwa na mtoto.

Swala la kupima HIV kwangu ni la msingi endapo atatokea ambaye tume match.
Wewe huna mtoto why upo Interested Na mwenye mtoto?kuna Agenda gani ya siri.(japo hakuna ubaya ila kwa jinsi ulivyoisisitizia kwenye heading yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom