Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kwahiyo mwanamke aliyeolewa naye aendelee kutunza bikira anamtunzia nani sasa?? Au umekurupuka tu kureply comment bila kiuelewa??


Mkuu mtu aliyeolewa anakuwaje na bikra sasa. Ndio maana mada haiwahusu walioolewa bali wasioolewa ambao hapa ni Single mother.

Wewe bikra yako si utasema umempa mumeo. Haya single mother ataongea nini.

Ukisoma comment zangu utulie usidhani upo kwenye dera unamsuta mtu hapa.
 
Unachofanya ni kulazimisha lawama ziende upande mmoja kwa kosa lililofanywa na pande mbili na ndicho watu wanachopinga hapa hivyo haujaongea ukweli umeongea kihisia tu
Ok, shikilia unachokiamini. Hapa siongelei makosa, naongelea nani anapoteza sifa kwa tendo hilo. Kama unadhani mwanamume anapata taabu kupata mke wa kuoa kama atazaa nje basi sawa. Ila tahadhari kwako, si kila jambo lina haki sawa. Kama umekaririshwa hivyo basi umepotea kwa kukosa maarifa. Hata Biblia unayoiamini inakukataa. Mtaandamana kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa msipate suluhu, ukweli halisi sio kutafuta huruma. Achenikuzaa hovyo, mjitunze mpaka ndoa
 
Basi fahamu haya:

Mwanamke aliyezaa huhamishia mapenzi kwa mwanaye. Hali huwa hivyo hata ndani ya ndoa, kiasi kwamba ndoa nyingi hupoteza mvuto pale tu mtoto anapozaliwa. Kwako wewe kijana unayetaka kujitwika mabomu uoe single mother.

Mwanamke anatakiwa aolewe katika ubikira wake ili mwanamume kujisikia kwamba kweli amepata mtu mwaminifu. Lakini kama hata hilo halikutosha kukushawishi, usithubutu kuoa mwanamke ambaye ni single mama, labda kama una uvumilivu usiopimika. Yako mambo kadhaa ambayo yanamfanya single mama asiwe sehemu ya mtarajiwa wa ndoa.

1. Single mama wengi ni matokeo ya uzinzi ama uasherati. Binti anapojiingiza kwenye mapenzi kabla ya ndoa kwa kigezo cha kutafuta kuolewa ni dalili mbaya hata kama ataolewa kweli. Hii inaonyesha kuwa ana udhaifu kwenye eneo la ndoa kiasi kwamba yuko tayari kuutumia mwili wake kama rushwa ili kufanikisha ndoa. Hii haitofautiani na mwanamke aliye ndani ama nje ya ndoa kutumia tigo yake kama kishawishi cha kumshika mwanamume. Unapotumia ngono kama sehemu ya ushawishi, ama kama silaha ya kumteka mwanamume ujue kwamba unaondoa thamani yako na kuingia kwenye kundi la makahaba. Ni kweli uchi wa mwanamke ndio silaha yake kwenye mahusiano, lakini si kwa kuigawa hovyo, bali kwa kuwanyima wanaoitamani ili apatikane mwenye nia thabiti ya ndoa.

Inapotokea binti kajiingiza kwenye mapenzi mpaka kupata mimba, tayari keshapata muunganiko mwingine na mwanamume aliyempa mimba hiyo, tayari wameunganishwa na mtoto huyo, ingawa bado mwanamume aliona huyu mwanamke hafai kuwa mke, alikiwa anamtumia tu kukidhi kiu yake mpaka pale atakapompata mtu sahihi. Sasa wewe ni nani hata ukajiingize kuoa mwanamke wa aina hii?

2. Single mama hawezi kukupenda kwa jinsi ulivyo, bali kutakuwa na sharti la mtoto. Kwamba iwapo utamtunza mtoto kama single mama atakavyo basi utapewa mapenzi matamu. Ni ukweli usiopingika kuwa mwanamke apatapo mtoto mapenzi yote huhamia huko, hivyo wewe jiandae kuwa chaguo la pili kwake. Haya sio mapenzi na ujue tu kuwa huwezi kuwa na amani kamwe.

3. Mtoto si wako. Hata kama utampenda na kumhudumia kwa namna yoyote ile, ukweli utabaki kuwa huyo si mwanao, sio damu yako. Ni kwamba umejitwika jukumu la kumhudumia mtoto wa mwanaume mwenzako ambaye ndiye ataendelea kutambulika kama baba mzazi. Siku akikua ataanza kumtafuta aliyechangia mbegu mpaka akaja dunuani, sio aliyechangia ugali. Ikitokea mmeachana na single mama, ujue ndio mwisho wa kuonana na mwanao mpenzi uliyekuwa ukimtunza kwa nguvu zako zote.

4. Utatumia nguvu kubwa kulilinda penzi. Ili ujihakikishie kuwa single mama anatulizana na wewe, utahitaji kuishi maisha ya kumfurahisha yeye, kumpa atakacho ili asije akamkumbuka mume wake wa kwanza. Namna pekee ya kumfurahisha ni kuhakikisha mtoto wa mwanamume mwenzako anapata maatunzo mazuri, nguo nzuri, elimu nzuri n.k. Utalazimika kuwa karibu naye kuliko hata baba mzazi anavyokuwa, yote haya ni kutafuta kumfurahisha single mama. Utaishi maisha ya kujipendekeza, yenye stress nyingi.

5. Huna sauti juu ya mtoto. Hata kama utataka umchujue mtoto huyu kuwa mwanao kamili, umpe malezi halisi ya mzazi, kuna mahali utakwama tu. Huwezi kumwadabisha kwa mikono miwili, lazima mmoja utakuwa nyuma na mwingine utakuwa mbele. Mara zote utakaa ukijiuliza, labda nikimfanya hivi mama yake atadhani namchukia, jamii nayo itanifikiria vingine. Utajikuta wewe mwenyewe unajiwekea mipaka hata kabla pilato hajakuhukumu kwa kuvuka mstari!! Pigo kubwa zaidi ni pale single mama atakapokutamkia kuwa unamtendea hivyo kwa sababu mtoto sio wako. Hapo utabaki kama mjinga fulani aliyepigwa bumbuwazi asijue aukabili vipi ukweli huu mchungu.

6. Chanzo cha vurugu kwenye familia. Hata ikitokea mmezaa watoto wengine, bado mapenzi hayawezi kuwa sawa. Single mama wana kawaida ya kuwaandalia mazingira watoto wa baba wengine tofauti hao wa baba waliye naye wakati huo. Hufanya hivyo kwa hofu kuwa watoto hawa mara nyingi hawana urrithi kwa baba aliyewalea. Hii huleta mgawanyiko mkubwa kwenye familia kiasi cha watoto wenyewe kuchukiana. Hata ndugu wa mwanamume hawawezi kamwe kumhesabu mtoto huyu kama sehemu ya familia kwa sabubu sio damu yao na anao ukoo mwingine kabisa. Hawezi kujitambulisha kwa jina la baba wa kambo kwa sabubu hana muunganiko wowote naye. Hata ikitokea baba mlezi amekufa, ukoo wake hauwezi kumhesabu mtoto huyu kama sehemu ya urithi. Tunajifunza kwa wanyama wengine pia kama simba, ambapo anapoinuka dume mwingine kuongoza majike, huua watoto wote àliowakuta kisha huanza upya kusaka watoto wake. Sasa sisi hatuwezi kuua, bali tunaweza kuepuka taabu hii kwa kutokuoa mwanamke mwenye watoto.

7. Mume wa kwanza ana nafasi ya kuendelea kumtafuna single mama atakavyo. Kwa kawaida mwanamke akishazaa na mwanamume, ule muunganiko huwa haufi. Tayari ni mzazi mwenza na hana cha khmficha tena, hivyo kupasha kiporo ni jambo la kawaida tu. Pia mama atataka mtoto amjue baba yake halisi kwa ajili ya siku zijazo, hivyo hawezi kujiweka mbali na mzazi mwenzake. Sasa mzazi mwenza ni juu yake kuamua kuendelea kumla ama la, kwani hakuna kutongozana tena, ni kupanga miadi tu na kukutana kuserebuka. Kidume wewe utageuzwa baba mlishi huku haki nyingine zote zikielekezwa kwa mwenye mwanaye.

Ukweli ni kuwa single mama anapopata mume, focus yake sio ndoa bali ni malezi ya mwanaye. Anataka uhakika tu kuwa mwanae ataishi na atapata matunzo bora ili siku za usoni aje kumsaidia yeye.

Ewe kijana, usijiingize kwenye mtego utakaoharibu maisha yako. Tafuta bikira atakayefunga kiapo nawe, achana na wanawake waliozaa hovyo kwa kukosa mwelekeo.

Hapa sijazungumza juu ya walioolewa kisha waume zao kufariki, kwani kwao hawa yako mambo mengi pia nyuma ya pazia ya kuchunguza.
Tatizo lako ni moja tu, unaongea ukweli bila hata kutumia maneno ya kupooza. Unakunguta hadi nyoyo zinauma.
 
Kweli nyie matumizi yenu ni kidogo tu like 7800/= its more than enough
IMG_20190714_082811.jpeg
 
Wenyewe wanasema "Kuoa single maza ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro"
 
Wapo wanaokataliwa; though sio to the extent kama wanavyokataliwa single mom. Sio kila mwanamke can settle for a blended family; wengine ukiwa tu na mtoto bye bye. Ulichoniquote pale juu ndicho nilichotaka ukione; the bigger picture
Kwenye the bigger picture u nailed
Anaeumia ni mtoto
Ndoa ina nguvu sana..siku zote mtt wa nje ya ndoa na wa ndani utaiona tofauti tu
 
Huu ubishi tushauongelea. Nakusihi dada yangu usijilinganishe na mwanamume. Wote mtafanya mapenzi, utazaa, mtatubu, mtasamehewa, shida utabaki nayo wewe. Kiroho umesamehewa, kimwili hauaminiki tena. Mwanamume uliyezaa naye ataoa binti mwingine wa chaguo lake na kukuacha na majuto. Fungua macho kwenye maisha halisi, acha kiburi. Utaumia
Why u always painting men as winners and women as always losers?..what if umekosea kuoa?.

Uhalisia hauko hivyo siku zote...Mungu anabariki KE na ME...btw kuzaa na kuacha sio sifa

Mnaishi jamii gani jamani

Mboni kaolewa juzi tu miaka 40 na mwanae juu
Na mama diamond mfano wa pili😂😂😂
Jifunzeni kwa Baba Diamond jmn
Zaa uache ukadhani mtoto atakua muokota makopo kumbukeni Mungu si Athumani ...
 
Huyoo single mother amesababishiwa using mother na mwanaume ambae ni miongoni mwa wanaume wasio waheshimu wanawake
Umemzalisha,umekataa kumtunza mtt wako yey anaamua kumtunza mtt wake bila baba kwa machungu na maumivu anayopitia
Unaamua kumtafuta bint 20,unasema singo mother amelegea kwa kuzaa(hauna adabu kabisa)ulie mlegeza ni wewe

Wakati unamuona singo mother amelegea,wewe mwenyewe haijakaza sawasawa yakwako pia imelegea kama utumbo wa kuku[emoji2][emoji1]huyoo binti anda 20 anakuangalia tuu,kuna siku atavunja ukimya

Tuwaheshimu wanawake,hakupenda kuwa singo mother
 
Why u always painting men as winners and women as always losers?..what if umekosea kuoa?.

Uhalisia hauko hivyo siku zote...Mungu anabariki KE na ME...btw kuzaa na kuacha sio sifa

Mnaishi jamii gani jamani

Mboni kaolewa juzi tu miaka 40 na mwanae juu
Na mama diamond mfano wa pili[emoji23][emoji23][emoji23]
Jifunzeni kwa Baba Diamond jmn
Zaa uache ukadhani mtoto atakua muokota makopo kumbukeni Mungu si Athumani ...
Muokota makopo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ok, shikilia unachokiamini. Hapa siongelei makosa, naongelea nani anapoteza sifa kwa tendo hilo. Kama unadhani mwanamume anapata taabu kupata mke wa kuoa kama atazaa nje basi sawa. Ila tahadhari kwako, si kila jambo lina haki sawa. Kama umekaririshwa hivyo basi umepotea kwa kukosa maarifa. Hata Biblia unayoiamini inakukataa. Mtaandamana kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa msipate suluhu, ukweli halisi sio kutafuta huruma. Achenikuzaa hovyo, mjitunze mpaka ndoa
We unapata tabu ya nini
Si ukachukue aliechoropoa mimba uoe utulie.?
 
Umeandika vizuri sana... Ila sidhani kama single Mom wote ni matokeo ya uasherati.
Hata wewe sidhani kama mkeo ulimkuta bikra. Na huenda mkeo alishachezea mashine zaidi hata ya hao single mothers hliowasema hapa.. Lucky for her hakupata mimba
Single Mothers wengi almost 80% ni matokeo yetu sisi wanaume wenyewe kuwatumia...wakipata mimba tunawakimbia kwamba hatujajipanga na masababu mengine kibaoo...
So please. Treat them fairly. Na tusiwanyayapae aisee..
Mtazamo wako ni Pure STIGMATIZATION.
Nyenyere
 
Mambo yalianza kuharibika baada ya kuja kwa SIMU ZA MKONONI.

Yakazidi kuharibika baada ya Kuja kwa FACEBOOK...WASAP...IG N.K


zaman miaka ya 2000 kurudi nyuma SINGO MAMA WALIKUA WANAOLEWA SANA SANA TUU .

NA ASILIMIA KUBWA YA VIJANA WA LEO MIAKA 25------40 HAWA WAMO AMBAO NI MATOKEO YA WAZEE WETU KUOA SINGO MAMA.


KWANN ZAMAN ILIFANIKIWA???????

ZAMAN ,SINGO MAMA ANAOLEWA UPYA, HANA MAWASILIANO TENA ,HAMNA CHA SIMU WALA NN, NA ANAYEMUOA YUKO MBALI UKO!!! + MIIKO YETUYA WAZEEE.
Wanakuja kukutana Tayari mtoto ni mkubwaaa kabisa alabda yupo sekondar ...kimahesabu Singo mama huyu KIHESHIMA HAWEZ TENA KUPASHA KIPORO.



SASA SIKU IZI, MZEE, SIMU ZIMEKUA KERO, SINGO MAMA, AKIINGIA FB MARA PAAAA JAMAAA YAKE KAMUONA , LAZIMA LAZIMA WATAFUTANE..WASAP ,IG ..Kwaiyo mwisho wasiku mwanamke anaanza kurudisha hisia, tena kama yupo bado kwa umri wa 28---38 huyu nirahisi kupasha kipooro.



Kwa ufupi nikwamba... tusichanganye Singo mama wa miaka ya 2000 kurudi chini...

Na singo mama wa miaka ya 2000 hadi leo hii

Hawa wanatofautiana sana sana.


Kikubwa ni KUOMBA UPATE MWANAMKE MWENYE HOFU NA MUNGU !!!!
Una Akili Sana.
 
Back
Top Bottom