Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Niko makini timu isishindwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naona mmekusanya nguvu vema..mmeanza kwa Kasi Sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona watu wanamwaga mapovu aise yaani mtu anataka alinganishe maisha yangu ya uwanjani na maisha yangu ya nyumbani yaani eti kwa sababu imetokea wakati tunacheza mpira bahati mbaya nimempiga mtama basi anadhani mimi ndivyo nilivyo

Kwamba nina roho mbaya na ninapenda kuonea watu ungekuwa unawajua wacheza mpira kwa sura na majina ningekutajia list ya wacheza mpira wanaochukiwa kwa vitendo vyao vya uwanjani wakidhaniwa kuwa ndivyo walivyo hata nyumbani kumbe sivyo
 
si wote lakini wanawake walioza na wanaume wengine kabla ya ndoa ni tatizo. kama hamna ulazima mwoe mwanamke asiye na mtoto. Wanawake wenye watoto wao kabla ya kuolewa wengi wana matatizo tena makubwa sana. kwanza huyo mtoto atafanya anavyotaka na wewe hutamgusa, pili mawasiliano kati ya mke wako na huyo mwenye mtoto hayatakoma, tatu asipokuwa makini ataendelea kuwa naye kimahusiano. yule mzazi mwenzake.
 
Acha kujifanya haujaelewa au hadi niseme Mudi ndio uelewe nikisema mtume wenu namaanisha nini?

Yesu alisoma BIBLIA Kwenye sinagogi.
Kilichoandikwa baada ya Yesu kupaa kwenda mbinguni ni Agano jipya (injili za mitume). Zinazoelezea maisha ya Yesu mwana Wa MUNGU aliyekufa na akafufuka na hata sasa yu hai.


Hapa nakiri wazi huijui Biblia inabidi ukasome upya.

Bibie naomba ushahidi wa Yesu kutumia Biblia katika masinagogi ?

Andiko tafadhali,maana naona mnaandika kama story zenu za saluni.

Tuendelee ....
 
Naona watu wanamwaga mapovu aise yaani mtu anataka alinganishe maisha yangu ya uwanjani na maisha yangu ya nyumbani yaani eti kwa sababu imetokea wakati tunacheza mpira bahati mbaya nimempiga mtama basi anadhani mimi ndivyo nilivyo

Kwamba nina roho mbaya na ninapenda kuonea watu ungekuwa unawajua wacheza mpira kwa sura na majina ningekutajia list ya wacheza mpira wanaochukiwa kwa vitendo vyao vya uwanjani wakidhaniwa kuwa ndivyo walivyo hata nyumbani kumbe sivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wangekuwa wacheza mpira wangekuwa walishalimwa redcard..
Maana ingekuwa ukiwachenga tu kidogo wanakutia magumi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oohh wow hiyo reliable source yako nimeikubali maana humu JF hakuna mtu nimewahi kumpa namba yangu wala hakuna mtu anayenijua humu so nalazimika kusema kwamba kwanza kabisa you are wrong about me

Nilikuwa nasubiria hili jibu.
Reliable source za jf ni hatari.
 
Hivi Kati ya sisi na nyie,Ni Nani ametangulia kulitumia hili neno!??
Tumechukua kimakosa!?
Huyu jamaa ndio aliwadanganya hivyo!???
Sasa si ndio hayo nimekwambia mnabadili kweli ya kristo.
Bibie natumia Kiswahili chepesi sana.

Nimekwambia neno Kafiri ni neno la Kiarabu,halafu unaniuliza tena nani ameanza kulitumia ? Jibu wameanza kutumia Waarabu ambao Uislamu ulishuka kwao.
 
Poor mind, your level of stupidity has rendered me speechless.
Moja, hakuna sehemu mimi nimeongelea dhambi. Hayo ya dhambi unajua mwenyewe ulikoyatoa. Na mimi sitakuja kuadvocate watu watende dhambi, sababu mshahara wake ni mzito. Mimi nimeongelea mshahara wa hiyo dhambi yenu ya kutelekezana.

Mbili, jiulize mwenyewe kwa umri ulionao, umeshawahi kusikia MWANAUME AMEZAA SANA MPAKA AMECHAKAA HATAMANIKI? Ukipata majibu, utaacha kushindana na nature na utajiweka mahala salama.

Shida yako ni kutanguliza hisia za kuwa unaonewa to an extent huoni ukweli. Ukweli ni huu: Dunia ina watu wengi wabaya kwa tabia. Kwa kuwa ni wengi, na wewe hupendi watu wabaya, jambo rahisi kwako ni wewe kuifunda nafsi yako iwaepuke watu wabaya kuliko kutaka kuibadili dunia kwa hisia.

Hamna sehemu mimi nimesema wanaume wanaozalisha wanawake na kuwatelekeza wanafanya vyema, kama umenifuatilia vizuri nilikueleza kuwa hao sio wanaume, ni mabrazameni wasiojua majukumu ya mwanaume. Lakini kwa kuwa hawawabaki, huwa mnaenda huko wenyewe na akili zenu za kushikiwa, cha muhimu ni nyie waathirika kuanza kuwaza kwa kutumia ubongo badala ya moyo ili msitujazie nchi na vitoto visivyoishi na baba zao. Kama mpaka hapa hujanielewa basi atakuelewesha brazameni, maana wao huwa wana lugha mnazozielewa
 
Sasa uliona wapi mchungaji anakemea uzinzi na uasherati kwa wanawake tu na kuwaacha wanaume?? Huyo mchungaji si atakuwa mnafiki biblia inakataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote haijasema sijui nani anapata madhara nani hapati madhara hapana imesema tu kwamba uzinzi na uasherati ni dhambi

Na hicho ndicho kinachotakiwa kihubiriwe kwa watu wote wa mataifa tofauti na hapo huo ni unafiki na hata biblia hiyo hiyo imemuita mnafiki mtu ambaye anatoa boriti kwenye jicho la mwingine kabla ya kutoa kibanzi kwenye jicho lake mwenyewe sasa wewe tukikuita mnafiki unasema sijui sindano zinauma mara hatupendi ukweli sasa kati ya sisi na wewe nani hapendi ukweli??
Hapa umeona nahubiri? Soma mada halafu urudi tena
 
Wewe pekee yako ndio haujui kwamba kiswahili unamaanisha LUGHA ya kiswahili maneno mengi yametoholewa kwenye kiarabu.
Lakini neno "kanisa" kwa kingereza ni "church" au unamaanisha hadi church ni neno la kiarabu? Hivo biblia imechukua maneno ya kiarabu?
Kumbuka biblia ya kiswahili imekuwa translated tuu watu tuelewe na kiswahili kama lugha maneno yake baadhi yametoholewa kwenye kiarabu.
Hivo sioni ajabu.
Bibie naongelea Kanisa,siongelei Church jifunze kutofautisha maneno,na uwe makini.

Ndio maana nawashangaa,inakuwake jambo hamlijui lakini mnalizingumzia ?

Mlianza kusema ya kuwa mtume wetu amecopy,nikawa nawaonyesha ya kuwa haja copy,ndio nikawaleta katika asili ya maneno. Biblia yenu ya Kiswahili imechukua maneno mengi ya Kiarabu,na hili ni kwa sababu imetumia Kiswahili.

Sasa mnaposema amecopy wakati maneno mnayotumia ni maneno ya kiarabu,hapa mnaonyesha ni kwa namna gani mnakuruuka na hamjui nini mnachokiandika.
 
Hapa nakiri wazi huijui Biblia inabidi ukasome upya.

Bibie naomba ushahidi wa Yesu kutumia Biblia katika masinagogi ?

Andiko tafadhali,maana naona mnaandika kama story zenu za saluni.

Tuendelee ....
Luke 4:16-18
 
Sasa mbona vitu vipo wazi. Unaruhusiwa kumuacha mke kwa kosa la uasherati na ikitokea mmeachana marufuku kuoa maana utakuwa unazini. Kwahiyo bado ni sahii kuoa mjane kwasababu hati ya kiapo hakipo na sio kuoa mke wa mtu alieachika
Ila wewe ukiwa muasherati asikuache???[emoji23][emoji23][emoji23]Wapi wamesema mkiachana kwa dhambi ya Uasherati huruhusiwi kuolewa tena...[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
 
You have no time for this but you have time to follow up and know what kind of person Marianah is, I see.
Sio nakutisha dogo, I was just telling you I dont have time for this.

You wanna learn, then learn. If you don't wanna learn now then wait you will learn it the hard way!
 
Ewe Mtawadhaji umefika na huku pia?
Uliza swali vizuri.

Asili ya Yesu ni wapi ?

Asili ya Ukatoliki ni wapi ?

Asili ya Usabato ni wapi ?

Asili ya angilikana ni wapi ?

Ukijibu maswali haya ndio utajua ya kuwa WAKRISTO mnatumia kivuli cha Yesu kuipiga chapuo dini yenu ya KRISTO na madhehebu yenu.

Tujikite kwenye mada.
 
Mimi kuna mtoto wa mama Mkubwa wangu alidanganywa na mwanaume kuwa anataka Kumuoaa yule dada akasema bhasi tufunge ndoa kabla ya yote mwanaume akasema Nahitaji kukujua kwanza kiti ambacho kimekuwa common sana kwenye Jamii ya sasa hakuna mtu anataka aoe alafu baadae story za mtoto iwe vita... Duuh cster akabeba mimba huku mipango ya Sendoff na ndoa ishaanza na michango pia aisee Kuja kujuaa yule mzee ana Familia yake ya Watoto watatu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Can you imagine jambo kama hili limkute dada yako???? Yani yule dada isingekuwa kumuwahi tusingekuwa nae duniani aliona bora afe...lakini wazazi wakamtuliza mwisho wa siku akabaki kuwa Single mama wakati alikuwa dada mwenye maadili mazuri sana na msomi. So mwanaume asipoleta zengwe na kumkataa mwanamke hakuna SINGLE MAMA duniani tatizo wanaume minyege ikituzidi huwaga tunasahau kabisa kuwa kuna mimba kifatacho sasa ndo Single mama na watoto wa mtaani.
Pole sana mkuu kwa kisa hiki cha kuumiza. Lakini naomba niruhusu nikutupie lawama wazazi na ndugu wa karibu wa binti huyu. Inakuwaje mtunakuja kuleta posa mpaka mnaandaa send off hamjajua tabia yake? Mbona ndoa ni mchakato unaohusisha wadau wengi sana?
 
Naona hutaki kunielewa.
Basi endelea kubaki hivyohivyo
Bibie natumia Kiswahili chepesi sana.

Nimekwambia neno Kafiri ni neno la Kiarabu,halafu unaniuliza tena nani ameanza kulitumia ? Jibu wameanza kutumia Waarabu ambao Uislamu ulishuka kwao.
 
Back
Top Bottom