Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Nilikuwa najiuliza mbona humu Jf wanawananga sana single mother kuwa hawaachani na baba wa watoto wao,nikafikiria kwa msimamo tulionao wanawake tukiacha tunaacha kweli ,wanatusingizia

Lakini kwa nilichoshuhudia kwa macho na masikio yangu,sijui wanakwama wapi hawa wanawake wenzangu jamani

Ni mama wa watoto wawili aliyezaa wakati anasoma chuo fulani na mwanaume fulani kipindi hicho akiwa chuo,mtoto wa kwanza alimzaa akiwa mwaka wa kwanza na wa pili alimzaa wakati anahitimu chuo,na kwa bahati nzuri akapata kazi kwenye kampuni fulani na kwa jeuri yule mwanaume aliyekuwa naye chuo alimuacha katika mazingira ya kutatanisha na mawasiliano yakawa yamekatika kipindi wamehitimu chuo

Baada ya mwaka 1 huyu mdada akawa amepata mwanaume mwingine akamuoa tu vizuri kwa harusi kubwa tu

Cha ajabu wiki kama 4 zimepita yule kaka aliyezaa naye watoto wawili akaibuka,akamtafuta,wakagombana na wakabembelezana wakakubaliana huyo kaka atakuwa anamtumia hela mdada ya kuwahudumia watoto muda huo akijiandaa kumwambia mume wake kuhusu hao watoto awarudishe kwa baba yao

Wakakubaliana kuwa siku fulani watakutana hoteli fulani atawapeleka watoto wakamsalimie baba yao,bila mume wake kujua

Siku ya siku mdada akawapeleka hotel nje kidogo ya mji,basi wakakutana,ila mdada akawa na msimamo kuwa endapo ex atajaribu kuleta ushawishi hatakubali hata siku moja,bahati mbaya mtoto wao wa kwanza akawa anaongea maneno kwa baba na mama ya kuwaleta pamoja hadi mdada akawa na huruma kwa ex wake akajikuta anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake na huku ex wake ana mke na mtoto 1

Juzi mume wa ndoa anapata mchezo mzima,anamuuliza mke wake anasema ni kweli anadai talaka arudi kwa baba watoto wake

Nimeamini wanawake muda mwingine hatutumii akili

Alikutelekeza,akakuacha mwenyewe ukatunza watoto mwenyewe,from no where mnarudiana kisa maneno ya mtoto wao wa kwanza yamemfanya alie,amhurumie na amrudie ex wake
Kumbuka binadamu hutofautiana na kila mmoja na Imani yake na madhaifu yake , usihukumu kundi kubwa la single mom kupitia udhaifu wa mtu mmoja
 
Sasa anarudije wakati Huyo jamaa kashaoa na ana mtoto Tayari... Au kazaa tu hajaoa!???
 
Mkuu vipi kuhusu wanaume wenye watoto nje ya ndoa wao ndiyo wanafaa kuoa maana hawafanyi usaliti??
Usitawaliwe na 50/50 boss,
Ulishasikia kuna mwanamke amekataa kuolewa na mwanaume mwenye mtoto wa nje?

Ila mwanamke, kuwa naye mmoja tu! Utakuwa Topic mtaa mzima na unaweza kupishana na bahati nyingi za kuolewa.
 
Inawezekana ni kweli hajatumia akili kurudiana na baba watoto wake

Lakini kimsingi hakuna mwanamke mwenye akili timamu anayependa kuzaa na wanaume tofauti tofauti,halafu mapenzi yana nguvu kuliko akili
So arud kwa mme wa mtu sio
 
Ni umalaya tu. Mtu kakutelekeza na watoto wawili, then umepata mtu wa kukuchukua pamoja na majukumu hayo ( watoto wawili). Then unataka kuvunja ndoa kwa ajili ya aliye kutelekeza?

Nilisoma sehemu flani, unapoingia kwenye ndoa sio kwamba hautapenda tena au kutamani tena, bali unatakiwa kuheshimu kiapo chako kwa mwenza wako.
Arafu et mwanaume alishaoa sasa apo sikujui anarud wapi hahaha wanawake bhana kweli mama zetu
 
😂😂
Kuna vitu viwili wanaume hatupaswi kufanya kwa wanawake, Kwanza usimsomeshe mwanamke, pili hutakiwi kuoa single maza ni hatar kuliko bomu la nyuklia
😂😂😂 lazma atarudi kwa baharia wake tu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyo dogo atakuwa na vimelea vya kibaharia lazima tu. Af ukute baba mpya anawapeleka kikauzu so wamechoma utambi kwamba hawamfagilii wala nini!
 
cutelove,
Huyo mwanamke hajielewi ndio maana jamaa alizaa nae akamwacha
Na sasa anelekea kuachwa tena wala huyo baba watoto wake wa zamani hatamuoa.

Kama huyo ex wake ameweza kumshawishi na akamhurumia na kuamua kumwacha mume basi anaweza kumkubali mwanaume mwingine yeyote pia.... huyu baada ya muda atakua single tena
 
Wakakubaliana kuwa siku fulani watakutana hoteli fulani atawapeleka watoto wakamsalimie baba yao,bila mume wake kujua

Kuna mambo yanasikitisha sana...


Cc: mahondaw

siriaz yanasikitisha..Kwanini awapeleke kifichoficho? ? Huko hotelini kuna usalama kweli? ?? wanaeza jikuta wanaongeza mtoto mwingine na ex mume ujue
 
Huyo mwanamke hajielewi ndio maana jamaa alizaa nae akamwacha
Na sasa anelekea kuachwa tena wala huyo baba watoto wake wa zamani hatamuoa.

Kama huyo ex wake ameweza kumshawishi na akamhurumia na kuamua kumwacha mume basi anaweza kumkubali mwanaume mwingine yeyote pia.... huyu baada ya muda atakua single tena
Mkuu upo sahihi kabsa atajuta Sana na Ni laaana hiyo
 
Back
Top Bottom