Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", bnafasi naziita vitiuo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwjaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine hao watoto wa singo maza na singo faza, tunawaona wakilelewa na walezi wengine kabisa ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachsababisha u singo maza? Majibu ya ngu m inafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu wao wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema 'nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tru.

Kuna kesi mbili ratru nazifajamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyoie watiti wa singi maza msiwajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babak" mjuwa baba zeu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uoingi mtupu. Huyo baba au mama isibaki hata picha au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake na Kuendekeza Ufeminine kuiga wazungu..

Wazungu wao washazoea Kuwa masingle maza na wala hawana shida ila sisi Tunaiga na ndo maana tunapotea..
Chanzo kikubwa ni Ufeminine Kwishaaa
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", bnafasi naziita vitiuo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwjaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine hao watoto wa singo maza na singo faza, tunawaona wakilelewa na walezi wengine kabisa ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachsababisha u singo maza? Majibu ya ngu m inafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu wao wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema 'nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tru.

Kuna kesi mbili ratru nazifajamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyoie watiti wa singi maza msiwajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babak" mjuwa baba zeu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uoingi mtupu. Huyo baba au mama isibaki hata picha au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Mmeamua kufanya Nyapu kama mbadala wa ajira?

So watu wanatoa pesa na wajibu wa matokeo ya ngono unabaki kwa mnufaika wa pesa hizo.
 
Wanaume kukwepa majukumu

Pia wanaume ni wachache na hao hao wachache Kuna mashoga, kataa ndoa, kimbilia mashangazi yaan uchache umegeuka adimu

Pia njaa haijahi kumpendeza mtu, umeshawakuta watoto wa wabunge, maafisa waandamizi wakiwa single Maza?
 
Daah! Wewe unaishi Dunia ipi??
Nenda hospital za serikali hasa mikoa ya kusini uone watoto wanazaa, je watoto wazazi hawana hata wanachojua kuhusu umalaya, miaka 13, 14 utamwita Malaya au kukosa uelewa?

Pia Kwa Nini wanaume wanawazalisha watoto wa miaka chini ya 18?
 
FaizaFoxy naomba uhakiki uandishi wako ili niweze kusoma.

Singo maza asilimia kubwa ni form 2 walioachishwa shule kwa kudanganywa na wanafunzi wenzao pamoja na waume za watu.

Arusha limeibuka wimbi la vijana walioacha shule na kujiunga na Gereji au bodaboda ambao wanatengeneza singo maza watarajiwa wengi ambao ni wanafunzi form 1-3 wasichana wadogo kabisa..

Kundi lingine linalochangia wingi wa singo maza tarajali ni madereva na wafanyakazi wa utalii/tours. Kundi hili High season ikianza kuisha wanajaa mjini na kuwabebesha mimba wanafunzi na baadae kutimkia mbugani.

Wanafunzi wa kike Arusha wamewehuka wenyewe wanatongoza.
Wana vazi lao la suruali aina fulani, kikoti, kitambaa na kipochi.. Singo maza tarajali.
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", bnafasi naziita vitiuo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwjaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine hao watoto wa singo maza na singo faza, tunawaona wakilelewa na walezi wengine kabisa ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachsababisha u singo maza? Majibu ya ngu m inafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu wao wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema 'nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tru.

Kuna kesi mbili ratru nazifajamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyoie watiti wa singi maza msiwajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babak" mjuwa baba zeu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uoingi mtupu. Huyo baba au mama isibaki hata picha au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Huu Uzi ukikaa baada ya mda unaibuka kwani kunani hakuna vitu vipya🤣
 
Breaking your personal laws result to a public chaos~Dr.myles munroe.

hii ishu ya singo maza ni impact of globalization~(The rise of individualism and extended of single parent families) huko kwa kina kanye west wametutangulia hatua mbili mbele ndio maana utakutana na kina feminist activist
 
Kwanza hali mbaya kiuchumi unawafanya wanawake wadate na wanaume wengi kwa mara1..!!


Pili katika hao wanaume wapo wale wanaoamini "Ndomu hainogi" na wamekataa kabisa kutumia .....!! 🤔


Tatu ukute Kamdada ka watu ndio hata hakatumii Uzazi wa mpango na kanashida na hiyo pesa....!!


Nne single Madha Tayari....!!
 
Msingi ni mwanamke kujirahisisha na kukubali kutumika kama chombo cha ngono holela.

Mwanamke unakubali vipi kupigwa miti na mtu ambaye sio mumewe?
Asilimia kubwa, sisemi zote, za mabinti na wavulana huanzishwa kuharibiwa kidogo kidogo na watu wa karibu nyumbani kwao.

Kuna koo Maarufu sana nazijuwa. Zilizojaa mashoga, zilizojaa wasagaji, zilizojaa malaya, zilizojaa wezi na majambazi mpaka mtu unajiuliza hizo koo zina Laaana gani?

Kuna nyumba kubwa tu (koo kubwa tu), watoto wa kiume asiyekuwa jambazi basi ni shoga. Watoto wa kike asiyekuwa Malaya au msago basi kaolewa,tena wengi wao ndiyo hizo ndoa za kisasa. Asiye wa dini yake wanaishi tu.
 
kiufupi hayo ndo maendeleo yanayoletwa na huo tunaita utandawazi........
nakumbuka kipindi nasoma ukimwona mtu na mtoto hajaolewa ni kama shetani.....
yaaani ant yangu alitengwa kwa ajili alizaa bila kuolewa....
lakini utandawazi unasababisha hii ionekane ni kitu ya kawaida...
ikizungumza kidini,kidesturi za kiafrika,au kistaarabu mwanamke au mwanaume kua na mtoto bila ndoa ni changamoto
(single maz & faza niliowazungumzia mimi ni wale hawajaolewa au kuoa wakapata mtoto sio wale walioa au kuolewa halafu wakaachana)
na hapa tupo mwanzo tu,baadae balaa linakuja tutaona sahv ni nafuu
 
Back
Top Bottom