Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huenda unachanganya au huelewi lolote
Gharama zipo chini kwenye kuzalisha umeme kwa maji kuliko vyanzo vingi. Sasa kwa nn bei kwa unit anayonunua mwananchi ipungue au isipungue hili unapaswa kuwa mpole kwanza maana ndio mradi unakamilika bado haupo kwa 100% megawatt kwa sasa zinazoingua grid ya taifa bado ni chache, subiri uishe kabisa uingize megawatt zote tunazotumia 1800mw
Bado kwa asilimia kubwa tunatumia umeme wa gesi, subiri mradi uishe uende kureplace umeme wa gesi ndio uje na hili swali
Gharama zipo chini kwenye kuzalisha umeme kwa maji kuliko vyanzo vingi. Sasa kwa nn bei kwa unit anayonunua mwananchi ipungue au isipungue hili unapaswa kuwa mpole kwanza maana ndio mradi unakamilika bado haupo kwa 100% megawatt kwa sasa zinazoingua grid ya taifa bado ni chache, subiri uishe kabisa uingize megawatt zote tunazotumia 1800mw
Bado kwa asilimia kubwa tunatumia umeme wa gesi, subiri mradi uishe uende kureplace umeme wa gesi ndio uje na hili swali