Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Akili za wakiristo zimefungwa pale walipoaminishwa Israel ni taifa teule la Mungu kwa hiyo kila anaekaa Israel ni mteule hata kama anawaua wanampongeza
 
We muarabu wa wapi ndugu? Kitukuu cha ngapi cha mtume?

Huwezi mjua mkristo kwa kuvaa msalaba pekee.... kama hujui mkristo kwanza anabeba msalaba katika moyo wake daima hayo ya mwilini badae....

Na ingekuwa hivyo basi blaza domo na yule mmakonde ni wakristo kwakuwa wanavaa msalaba..

Hapa hatuongelei chuki dhidi ya uisilami wenu.. huo ni ujumbe kwenu waislamu.. AMANI MNAYO IHUBIRI ZIKU ZOTE IKO WAPI? maana msasemaga uislam ni dini ya amani... UTU WENU UKO WAPI?, IMANI YENU IPO? Mnasema ALLAH NI MWINGI WA REHMA, HIZI REHMA MBONA HATIZIONI?
 
Mnakariri adui yenu ni muislam mnasahau hata wayahudi sio ndugu zenu mnajipendekeza tu
Sisi hapa hatuzungumzii ya wayahudi... na kama wangefanya hivyo.. Tungesema.. maana wale ni binadamu kama binadamu wengine na watahukumiwa sawa na wanadamu wengine...
 
Kitu gani wewe kimekujulisha kuwa hao si Wakristo? Waislamu ni majority sana kipindisha habari hata kama haziwasaidii chochote!!
Kwani mimi nimekwambia hao ni wakiristo....!? nimeuliza kilichokufanya ujue ni wakiristo ni nini, kama umeshindwa kujibu basi, wacha tuamini hao ni wasiria walioamua kuuana wemyewe kwa wenyewe kwa sababu zao wazijuazo! Nakushauri nenda Congo uwasemee wakristo wanauana sana aisee! hapo panakuhusu sana kuliko huko uarabuni!
Kitu gani wewe kimekujulisha kuwa hao si Wakristo? Waislamu ni majority sana kipindisha habari hata kama haziwasaidii chochote!!
 
Kabla Yesu hajaondoka alitaja ujio wa mpinga Kristo ambaye atawachinja sana Wakristo na ndio huu ujio wa uislamu, Wakristo wengi watajiunga kwa huo mfumo wa jehanamu ila Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.
Huwa na washangaa sana wasabato wanaposema eti papa wa roma ni mpinga kristo,wakati wapinga kristo wako wazi kweupe wanau na kutesa wakristo nao sio wengine ni waisalm,kwangu mimi uislam ndio mpinga kristo halisi bila kificho.
 
Huyu nadhani mnamtambua ninyi tu huko madrasa,wala ulimwengu wa wanasayansi hatambuliki
 
Sisi hapa hatuzungumzii ya wayahudi... na kama wangefanya hivyo.. Tungesema.. maana wale ni binadamu kama binadamu wengine na watahukumiwa sawa na wanadamu wengine...
Mbona wamewaua ndugu zenu wakiristo wengi tu kule gaza hatukusikia mkisema
 
Swali ni kuwa huko Syria wanauana wasyria? Au waislam wanawaua wakiristo kama anavyotuaminisha mtoa mada? Toa jibu
 
Tumia akili yako vizuri Wakristo hawapigani bali wanauwawa na watawala wapya
 
Kuna misikiti hapa bongo kama sio muarabu husalishi ngozi nyeusi,sembusr ukabila..uislamu na mauaji na chuki ni tako na chupi..true definition of satan
 
Kwahiyo kwako madikteka kama mobuti,gadafi na wengineo ndio utawala unaoutaka urusi,korea kaskazini ni nchi za kidkteka mrusi ana uwa wapinzani korea kaskazini ni nchi iliyojaa umasikini kwahiyo kwako hiyo ndio mifano mizuri ya utawala.

Uchina bila kuruhusu wazungu waingie na kuweka viwanda na kufanya soko huria angekuwa masikinj wa kutupwa same kwa nchi za middle east kama UAE na Quatar,Saud arabia nao wameamua kuachana na upuuzi wameungana na wazungu ili kuendeleza nchi zao.

Iran kajaza propaganda na wengi wameikimbia au wapo katika hatakati za kuikimbia hiyo nchi ya kihafidhina.
 
Mgogoro wa Syria ni kielelezo tosha Cha ujinga wa Jamii za Kiarabu. Hao Alawites Ndio kabila la Assad, Wameua Sana Waarabu wengine.
Pale Rwanda 1994 walichinjana adi Makanisani walikuwa Waarabu Ukraine na Russia nao Waraabu Rwanda na Congo vip nao waislamu!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…