Said salimu BakharesaWakristo tuwashangae Azam TV wameshindwa kuenzi Xmas yetu kwa kuweka alama au kiashiria cha kuonesha Kristo anazaliwa.
Sisi kama wateja ambao wakati wa sikukuu za Kiislam tunavumilia kuona alama zao zinazoashiria sikukuu zao ni vyema tukawasusia TV yao inayoonesha ubaguzi wa dini hadharani.
King'amuzi chao nishachoma moto.
mzee bakharesaUnamjua owner wa hiyo media na interests zake?
hujielewiAcha ujinga wakidini wewe. Ulitumwa kukinunua
hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuKwani lazima? Ukihama hama wewe
hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuMi ni mkristo na nimezaliwa kwenye ukristo.
Maada ya mtoa maada iko kinyume na ukristo.
Isitoshe Azam kama anatumia tv yake kutangaza dini yake kuna shida gani?
Yapo mambo ya msingi ya kujadili,, huu utopolo unatupotezea muda.
hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuWewe ndiye mdini wa kutupwa.
hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuDaudi this has nothing to do with his/her age. It has everything to do with his/her hatred against Islam
ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuHuo ni ushamba
Kwani unahitaji tv kuimarisha imani yako?
hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tuTutafutie king'amuzi mbadala cha kuwaangali mikia ndio uje na hoja zako za kifala fala.
Nimejibiwa wapi mkuu? watu wanashindwa kuelewa ninachozungumzia.Duh
Ila umejibiwa
Angalia wachangiaji wengi wamekupa majibu ya aina ganiNimejibiwa wapi mkuu? watu wanashindwa kuelewa ninachozungumzia.
Hakuna jibu mkuu wameshindwa kuelewaAngalia wachangiaji wengi wamekupa majibu ya aina gani
Mimi sina shida na imani ya mzee Backhresa,minachotaka ni huduma bora.Unamjua owner wa hiyo media na interests zake?
Siyo media ya serikali.hujielewi ile ni for public use inabidi isiegemee upande wowote wateja wote wapate haki kwa udini wao. lasivyo aseme km ni kwa waislamu tu
Au sio dem wa kijijiTulia Mrs manyara
Uko sahihi, wanamu attack mtoa uzi as if kaongea uongo. Azamtv ikifika wakati wa sherehe za dini za Kiisalam wanatuwekea hadi tamthilia zenye maudhui yao kwenye Channel za kuangaliwa na watu wote (Sinema zetu). Kama wameamua kuweka maudhui yao waweke kwenye chaneli za dini na sio chaneli za jumla, kama wameamua kuonesha kuwa hii ni sikukuu hii iwe neutral.Huyu Bakherssa muoneni vile ni mbaguzi wa kidini vibaya sana msikieni tu!