Hapana Rais sasa ni Askofu Mkuu Gervais Mwasikwabhila John Nyaisonga, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mbeya. Yeye leo alikuwa kule Lupaso. Jamani mnatala Rais azikwe na Padre tu bila Askofu?Yule Ngalekumtwa wa Iringa ndo mkuu wa Baraza la maaskofu TEC ( Sijui anaitwa Rais wa TEC/mwenyekiti)
Kwa maana hiyo ndio kiongozi wa Maaskofu wote wa Katoliki Tanzania
Soma comment vizuri kakaUsiongee kitu ambacho hukijui ndugu, Juzi kuamkia jana tarehe 27-28 mwezi wa saba Katika wilaya ya kondoa Mhasham Baba askofu wa Jimbo Hilo aliomgoza ibada ya misa takatifu kwa muumini wa kawaida kabisa daraja la chini, Usichojua ni kuwa kanisa linahudumia waamini wote kwa usawa bila kujali hadhi zao.
... daraja lake ni nini/lipi?Papa ni cheo sio daraja.
.... wanasahau hata kuapishwa aliapishwa urais na askofu. Ni sawa na rais mstaafu mwislamu azikwe na shehe wa kijiji haiingii akilini. Sioni Sheikh Mkuu akikosa unless ana udhuru wa ajabu.Hapana Rais sasa ni Askofu Mkuu Gervais Mwasikwabhila John Nyaisonga, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mbeya. Yeye leo alikuwa kule Lupaso. Jamani mnatala Rais azikwe na Padre tu bila Askofu?
Daraja lake ni Uaskofu!... daraja lake ni nini/lipi?
Kipindi cha ukabaila kule Ulaya, maaskofu walikuwa wananeemeka sana huku mapadri wakiisoma namba.
So tangu na tangu maaskofu wamekuwa kwenye tabaka fulani la kibepari
hata manati hairuhusiwi.
Mkuu.... daraja lake ni nini/lipi?
Aaah, ndivyo unavyoelewa? Kwanza nakubaliana na wewe kwamba Sakramenti za kanisa Katoliki ziko 7: Ubatizo, Ekaristi takatifu, Kipaimara, Kitubio, Mpako wa wagonjwa, Daraja takatifu na Ndoa. Sasa kwenye daraja takatifu kuna madaraja matatu ambayo ni: Ushemasi, Upadri na Uaskofu. Nakubaliana na wewe kwamba Upapa siyo daraja takatifu.Uaskofu sio Daraja.
Labda hatuelewani tukisema Daraja. Kifupi Daraja ni sakramenti ya Kanisa. Ambapo zipo Saba ( rejea katekisimu ya Kanisa Katoliki).
Sasa kwenye hizi sakramenti hakuna Upapa, Uaskofu, Kardinali Wala Mosinyori.
Kwanini tunaita Upadre ni Daraja ?
Nitarudi kuendelea....
Askofu hawezi kukufanya uende peponi bali matendo yako ukiwa hai so hata ukizikwa na katekista kama ulikua mtenda mema utaenda peponi we fikiria watu waliokufa kabla hizi dini hazijaja Tanganyika miaka ya 1,500 huko je hawataenda peponi kisa hakukuwa na maaskofu maanake dini zimekuja juzi tu
Asante nimejiridhisha. Upo sahihi.Aaah, ndivyo unavyoelewa? Kwanza nakubaliana na wewe kwamba Sakramenti za kanisa Katoliki ziko 7: Ubatizo, Ekaristi takatifu, Kipaimara, Kitubio, Mpako wa wagonjwa, Daraja takatifu na Ndoa. Sasa kwenye daraja takatifu kuna madaraja matatu ambayo ni: Ushemasi, Upadri na Uaskofu. Nakubaliana na wewe kwamba Upapa siyo daraja takatifu.
Pamoja mkuu!Asante nimejiridhisha. Upo sahihi.
Hapana siyo kweli! Ukiona muumini umegomewa kuja kuzikwa na Padre basi ujue ulikuwa na vikwazo yaani ulikuwa umefungiwa masakramenti. Mazishi ya muumini ni kazi ya Padre na siyo ya katekista. Hao wote unaoona wanzikwa na makatekista walikuwa na matatizo kanisani!Mleta Maada ana hoja ya msingi sana, Muumini wa kawaida sana akifariki hata Padri unaweza usimuone kwenye ibada, akifa muumini aliekuwa ba jina basi Padri utamuona, akifa muumini mzito kabisa utamuona askofu.
Hii ni kwa makanisa yote ukitoa Waislam
Labda huko kwenu (sijajua dhehebu gani). Lakini kwa hali ya kawaida, Askofu wa Kanisa Katoliki ndiye mwenye mamlaka ya kutoa sakramenti ya Kipaimara, hivyo ni mara nyingi tu huwa wanafika (hata kwa hao unaowaita makapuku), ingawa mara chache anaweza kutoa kibali kwa Padri (hasa katika ukatukumeni) kuitoa sakramenti hiyo. Misa ni ile ile, ya kawaida, sikukuu, ndoa, kipaimara, mazishi etc, isipokuwa vipengele mahususi ndio vinatofautianaNaomba kuuliza wakristo wenzangu kuhusu taratibu za msiba. Akifariki mtu wa kawaida basi Padre tu husimamia ibada. Lakini akifariki mtu maarufu au tajiri basi huja Askofu tena akiwa na viongozi wengine kuendesha hiyo ibada. Kwanini Askofu asiendeshe hiyo misa hata angalau kwa msiba wa kapuku mmoja ili kuondoa hii hali ya kuonekana Askofu yuko kwa ajili ya watu fulani tu? Kimsingi kama itawezekana Wakristo tujitafakari upya taratibu zetu zote za mazishi. Kuna mambo hayako sawa.
Karibuni tuchangie
Kama hukumuona Padri kwenye ibada ujue huyo marehemu alikuwa ana vikwazo ambavyo kwa makusudi hakutaka kuviondoa wakati alipokuwa hai, mfano kuishi kama mke na mume bila ndoa, kuishi bila ubatizo, kutoshiriki jumuiya (ingawa hii Paroko hutoa uamuzi ). Kwa hiyo si kila mtu, chukua fursa hii uwaeleze wenzako watimize wajibu huo kabla hawajalalamika kama weweMleta Maada ana hoja ya msingi sana, Muumini wa kawaida sana akifariki hata Padri unaweza usimuone kwenye ibada...
Nikusahihishe kidogo. Katekista wa Kikatoliki hawezi kwenda kuendesha ibada au misa ambayo imekosa vigezo vya kuendeshwa na Padri. Kwa ufupi Padri akiwa na ratiba ngumu, anaweza akamtuma Katekista. Kama muumini ana vikwazo, si Katekista wala Padre atakayekwenda kuendesha misa/ibada. Sana sana labda amejitokeza mtu tu kuongoza sala za mazishi, ambazo hata hivyo ni nje ya utaratibu wa KanisaHapana siyo kweli! Ukiona muumini umegomewa kuja kuzikwa na Padre basi ujue ulikuwa na vikwazo yaani ulikuwa umefungiwa masakramenti. Mazishi ya muumini ni kazi ya Padre na siyo ya katekista. Hao wote unaoona wanzikwa na makatekista walikuwa na matatizo kanisani!