Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

Wakristo waliotokea mikoa isiyo na Waislam wengi wana uelewa potofu juu ya Uislam na Waislam

punguza chuki, hakuna kitu km hicho, waislam ni watu pisi sana
Hawa wapuuzi wana chuki na dini ya wenzao,lengo na madhumuni kuoandikiza chuki kwa jamii,sielewi ni huko kwenye nyumba zao za ibada wanafundishwa kuwachukia hao waislam au la
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Hata mimi hili suala la mabikira 72 na jua kuzama kwenye matope linanifikirisha sana.
 
Duuuh
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah
 
Unachekesha wewe waislam ndio huwa wanachuki na wakristo hilo lipo wazi,Muslim yupo radhi ambebe muislam mwenzake hata kama hana uwezo na sio mgalatia.
Yani kiufupi ni kama waslama huwa wanafundishwa kuwa adui wake namba 1 ni Mkristo.
Ni waisalam wachache sana katika 100 labda 1 au 2 ndio wako unbiased na sio mbaguzi,napo ni sababu atakuwa aswali.
Humu wakristo ndio wanaongoza kwa mada za chuki zidi ya waislam,na lengo wavuruge amani ya nchi halafu wao wakimbilie kwa wayaudi watuachie machafuko nchini, acheni udini na chuki
 
Ni sahihi mkuu




Ni sahihi mkuu m mwenyewe n mchaga sema uislamu naujua sababu nimejichanganya nao kitambo sana ndo mana nawakubali sana hata kwenye cm yangu nimeweka nyimbo za kaswida na kwaya. Ila ukienda kule kwetu uchagani huwez kukuta uislamu hata misikiti..makanisa n mengi sana kila kijiji. Kuna siku nilipga kaswida walinishangaa mitusi kama yote. Ila uislamu naukubali kutokana na itikadi zao kama mavazi kwa watoto wa kike na watu kwenda kuswali kila siku swala tano. Japo naukubali sana lakini cjawahi kuwaza kubadili dini yangu ya ukristo👍👍👍
Hapo kwenye swala tano hapo. Binafsi naona ni kusababisha noise polution kwa wakazi wanozunguka misikiti. Wee wanaanza kuita na ma loudspeakers lugha ambayo wala jamii inayozunguka hawaijui. Wanarudia maneno yale yale kwa muda wa nusu saa. Wanaharibu usingizi wa watu. Yaani mkiwa na watoto au wazee karibu na msikiti ni janga. Wanapiga kelele muda ambao kisheria siyo reasonable hours yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Sijui ni aya gani ambayo inawaambia mkiwasumbua wengine kwa makelele ya kurudia rudia kwa lugha isiyoeleweka ndiyo unapata thawabu.
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Mimi nashukuru kwamba ni mtu ambaye naweza kusikiliza hoja za imani nyingine bila kuwa offended.
Mimi mkristo lakini 90% ya marafiki nilionao ni waislamu. Wananifunza mengi ya dini yao mengi hunivutia na pia nahisi nikioa ntaoa binti kutoka upande huo.
 
Mimi nashukuru kwamba ni mtu ambaye naweza kusikiliza hoja za imani nyingine bila kuwa offended.
Mimi mkristo lakini 90% ya marafiki nilionao ni waislamu. Wananifunza mengi ya dini yao mengi hunivutia na pia nahisi nikioa ntaoa binti kutoka upande huo.
Safi
 
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith

ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.

hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume

mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah
1)Mtume Muhammad s.a.w aliishi Makka kwa miaka 40. Katika miaka yote hiyo hakuwahi kupigana na yoyote au kumpiga yoyote au kumtusi au kuutweza utu wa mtu.

2)Alipotangaza kuwa yeye ni Mtume wa Mungu watu wa Makka wakaanza kumdhihaki, wakaanza kuwapiga maswahaba zake mitaani, haikutosha wakaanza kuwavamia majumbani mwao na kuwapiga.

3)Mtume akawaagiza maswahaba zake wahame waende Ethiopia kwa Mfalme wa Kikristu ili wakae huko na awahami. Mbali na hilo hakurudisha pigo lolote kutoka kwa hao wanaodhuru maswahaba zake.

4) Walimtenga Mtume Muhammad s.a.w pamoja na familia yake na maswahaba zake na kumwekea vikwazo kwa miaka 3 vya kibiashara, hakuna kuuza wala kununua kutoka kwao. Ilifika kipindi Mtume na maswahaba zake walikuwa wanakula nyasi.

5)Baadaye watu wa Makka wakaweka mpango kabambe kwa makabila makubwa ya hapo Makka wamuue. Mtume akahama kuhamia mji mwengine, mji wa Madina.

6)Wakubwa wa Makka hawakufurahiswa na kitendo cha Mtume kuhama, wakaamua kumfuata huko huko Madina na jeshi kubwa na Mtume hakuwa na jeshi la kupigana wala vifaa vya kijeshi, ila yeye na maswahaba zake wakaamua kupigana hivyo hivyo!

7)Wakati wa vita akawaamuru watu wake wasishambulie watoto, wanawake, wazee, wasikate miti wala kuharibu vyanzo vya maji.

8)Miaka 2 mbeleni watu wa Makka wakaja na jeshi kubwa na kuuzunguka mji wa Madina na kuzuia njia zote za usafirashaji, si chakula wala chochote kikazuiliwa kuingia. Waislamu wakaamua kupigana kwa mbinu ya kuchimba mahandaki.

9)Wakati haya yanatokea, wayahudi waishio Madina ambao waliingia mkataba wa kuishi kwa amani na Mtume na waislamu kwa ujumla walikuwa wakivunja makubaliano ya mkataba pale ambapo waislamu wakivamiwa na majeshi ya nje. Mtume akaamua kupambana nao hivyo hivyo ndani ya mji pia.


Kwa ufupi historia ya Mtume ipo hivyo! Ulitaka afanyaje? Ajilinde vipi yeye na kulinda damu ya watu waliyomuamini na ya akina mama, watoto na wazee?
 
Sijui kwanini masikini wengi kutwa wanabishana kuhusu dini tafuteni hela masikini nyie! Kila mtu aheshimu dini ya mwenzake! Mkibishana kuhusu dini mnapata faida gani? ..........m..B...w..a. Nyie
 
Hapo kwenye swala tano hapo. Binafsi naona ni kusababisha noise polution kwa wakazi wanozunguka misikiti. Wee wanaanza kuita na ma loudspeakers lugha ambayo wala jamii inayozunguka hawaijui. Wanarudia maneno yale yale kwa muda wa nusu saa. Wanaharibu usingizi wa watu. Yaani mkiwa na watoto au wazee karibu na msikiti ni janga. Wanapiga kelele muda ambao kisheria siyo reasonable hours yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Sijui ni aya gani ambayo inawaambia mkiwasumbua wengine kwa makelele ya kurudia rudia kwa lugha isiyoeleweka ndiyo unapata thawabu.
Mkuu mm in mkristo ila hata makanisa ya kilokole ni kero we fikiria wanavyopiga mziki usiku kucha huoni kwamba ni kero. Mfano hapa napokaa kuna kanisa LA kilokole wanapiga mziki na maombi mpaka wanakesha wamekuwa kero
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Uislam na ukatoliki fate yao inajulikana ni kuzimu ya moto!

Protestants wao ni hit and mis! either you make it or go to hell!!

Wakatoliki ndio waliuanzisha uislam Kwa malengo yao na ibada zao za wafu zinafanana ,na hatma yao ni kuzimu tu hakuna mjadala!!!

Huna sababu za kutetea kitu ambacho ulizaliwa ukakikuta Kwa kuamini maandishi pekee !je alieandika kama alikosea je!!?
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Ujinga uko kwenye waumini wa dini zote. I always believe hakuna dini inayoweza kuwa na wafuasi kwa asilimia 100%. Na sababu kubwa ni kuwa, kwa mfano Yesu Kristu alipokuja, waumini wa kiyahudi walikataa kumtambua. Hakuja kama vile walivyotegemea. Walitegemea angekuja kwa mabavu na maguvu na kusambaratisha kila kitu. He was humble and simple.
Ila walipomkataa alisema wazi, Ukristu nawapa zawadi watu wengine ambao hawajamjua Mungu wa kweli. Hakuufuta uyahudi, ila aliendeleza kazi yake kama alivyotaka.
Hata crushes za uislamu na ukristu miaka kadhaa baadae, hazikutoa mshindi. Ndio maana mpaka leo ukristu na uislamu upo.
Ni kukosa maarifa kwa baadhi ya watu wanaoamini dini inaweza kuenezwa kwa upanga. Hilo halipo na hiyo sio dini. Ni mauaji.
 
Nikiwa mdogo naona vijana wa kiislamu wanapita mtaani wanapiga dufu wakibisha hodi kukusanya sadaka. Ile plus msikiti wao ulikuwa duni sana, ikanifanya niamini waislamu ni ombaomba. Hata mji wa jirani kuna tajiri alikuwa anawajengea msikiti. Nilianini hawa ni watu duni. Kumbe sio
 
Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza

Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.

Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.

Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12

Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini

Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.

Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Dini zetu hasa Tanzania ni zao la utumwa na tawala za kikoloni

Fuatilia, sehem zilizotawaliwa na wazungu kasimama mkiristo na palipo na mwarabu kasimama mwisilamu

Kujivunia dini ni kujivunia utumwa
 
Unachekesha wewe waislam ndio huwa wanachuki na wakristo hilo lipo wazi,Muslim yupo radhi ambebe muislam mwenzake hata kama hana uwezo na sio mgalatia.
Yani kiufupi ni kama waslama huwa wanafundishwa kuwa adui wake namba 1 ni Mkristo.
Ni waisalam wachache sana katika 100 labda 1 au 2 ndio wako unbiased na sio mbaguzi,napo ni sababu atakuwa aswali.
Chuki, roho mbaya, roho ya kwa nini, kiburi, dharau, majivuno n.k

Katika dini ya kiislamu hato ni magonjwa makubwa ndani ya nafsi na madhambi yake ni makubwa.

Mimi myislamu nikuchukie wewe nitanufaika na nini? Sipati thawabu ya aina yoyote!

Nikuchukue wewe ili iweje?
 
Back
Top Bottom