Hawa wapuuzi wana chuki na dini ya wenzao,lengo na madhumuni kuoandikiza chuki kwa jamii,sielewi ni huko kwenye nyumba zao za ibada wanafundishwa kuwachukia hao waislam au lapunguza chuki, hakuna kitu km hicho, waislam ni watu pisi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wapuuzi wana chuki na dini ya wenzao,lengo na madhumuni kuoandikiza chuki kwa jamii,sielewi ni huko kwenye nyumba zao za ibada wanafundishwa kuwachukia hao waislam au lapunguza chuki, hakuna kitu km hicho, waislam ni watu pisi sana
Kwaiyo waislam wote hawajasoma? Kwani maendeleo ni nini eti!?Waisalma gani wana maendelao,hivi jamii ambayo ina watu ambao hawajasoma watakuwa na maendeleo gani zaidi ya umbea.
Hata mimi hili suala la mabikira 72 na jua kuzama kwenye matope linanifikirisha sana.Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza
Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.
Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12
Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.
Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith
ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.
hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume
mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah
Humu wakristo ndio wanaongoza kwa mada za chuki zidi ya waislam,na lengo wavuruge amani ya nchi halafu wao wakimbilie kwa wayaudi watuachie machafuko nchini, acheni udini na chukiUnachekesha wewe waislam ndio huwa wanachuki na wakristo hilo lipo wazi,Muslim yupo radhi ambebe muislam mwenzake hata kama hana uwezo na sio mgalatia.
Yani kiufupi ni kama waslama huwa wanafundishwa kuwa adui wake namba 1 ni Mkristo.
Ni waisalam wachache sana katika 100 labda 1 au 2 ndio wako unbiased na sio mbaguzi,napo ni sababu atakuwa aswali.
Uko sahihi mkuu 😎We ndio kiongozi wakueneza chuki za kidini humu mtandaoni,mnadhani nchi ikichafuka mtabakia salama,mnataka mambo ya kishenzi kama ya rwanda na ukabila wao, kila mtu apambane na dini yake ilimradi asivunje sheria za nchi
Hapo kwenye swala tano hapo. Binafsi naona ni kusababisha noise polution kwa wakazi wanozunguka misikiti. Wee wanaanza kuita na ma loudspeakers lugha ambayo wala jamii inayozunguka hawaijui. Wanarudia maneno yale yale kwa muda wa nusu saa. Wanaharibu usingizi wa watu. Yaani mkiwa na watoto au wazee karibu na msikiti ni janga. Wanapiga kelele muda ambao kisheria siyo reasonable hours yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.Ni sahihi mkuu
Ni sahihi mkuu m mwenyewe n mchaga sema uislamu naujua sababu nimejichanganya nao kitambo sana ndo mana nawakubali sana hata kwenye cm yangu nimeweka nyimbo za kaswida na kwaya. Ila ukienda kule kwetu uchagani huwez kukuta uislamu hata misikiti..makanisa n mengi sana kila kijiji. Kuna siku nilipga kaswida walinishangaa mitusi kama yote. Ila uislamu naukubali kutokana na itikadi zao kama mavazi kwa watoto wa kike na watu kwenda kuswali kila siku swala tano. Japo naukubali sana lakini cjawahi kuwaza kubadili dini yangu ya ukristo👍👍👍
Mimi nashukuru kwamba ni mtu ambaye naweza kusikiliza hoja za imani nyingine bila kuwa offended.Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza
Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.
Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12
Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.
Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Acha chuki kijana,watanzania wote ni wamoja,haijalishi muislam au mkristoUko sahihi mkuu 😎
SafiMimi nashukuru kwamba ni mtu ambaye naweza kusikiliza hoja za imani nyingine bila kuwa offended.
Mimi mkristo lakini 90% ya marafiki nilionao ni waislamu. Wananifunza mengi ya dini yao mengi hunivutia na pia nahisi nikioa ntaoa binti kutoka upande huo.
1)Mtume Muhammad s.a.w aliishi Makka kwa miaka 40. Katika miaka yote hiyo hakuwahi kupigana na yoyote au kumpiga yoyote au kumtusi au kuutweza utu wa mtu.tatizo la uislamu ni quran, sunnah na vitabu vya hadith
ukisoma hadith za Sahih Bukhari, sahih muslim kwa kuelewa lazima uone uislamu ni upuuzi.
hizo sunnah za mtume pia wanazopaswa wazifate zimejaa chuki na upuuzi kibao. mfano mtume muhammad mwenyewe kapigana vita zaidi ya 80 zidi ya makafiri. hapo kwa waislamu vita ni sunnah wanaiga sunnah za kupigana kama mtume
mtume alikuwa anatombazzz watumwa wa kike. hivyo kwa waislam hiyo ni sunnah
Mkuu mm in mkristo ila hata makanisa ya kilokole ni kero we fikiria wanavyopiga mziki usiku kucha huoni kwamba ni kero. Mfano hapa napokaa kuna kanisa LA kilokole wanapiga mziki na maombi mpaka wanakesha wamekuwa keroHapo kwenye swala tano hapo. Binafsi naona ni kusababisha noise polution kwa wakazi wanozunguka misikiti. Wee wanaanza kuita na ma loudspeakers lugha ambayo wala jamii inayozunguka hawaijui. Wanarudia maneno yale yale kwa muda wa nusu saa. Wanaharibu usingizi wa watu. Yaani mkiwa na watoto au wazee karibu na msikiti ni janga. Wanapiga kelele muda ambao kisheria siyo reasonable hours yaani kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni.
Sijui ni aya gani ambayo inawaambia mkiwasumbua wengine kwa makelele ya kurudia rudia kwa lugha isiyoeleweka ndiyo unapata thawabu.
Uislam na ukatoliki fate yao inajulikana ni kuzimu ya moto!Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza
Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.
Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12
Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.
Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Mnawazidi mali?Waisalma gani wana maendelao,hivi jamii ambayo ina watu ambao hawajasoma watakuwa na maendeleo gani zaidi ya umbea.
Kweli kabisa mkuu 😂Acha chuki kijana,watanzania wote ni wamoja,haijalishi muislam au mkristo
Ujinga uko kwenye waumini wa dini zote. I always believe hakuna dini inayoweza kuwa na wafuasi kwa asilimia 100%. Na sababu kubwa ni kuwa, kwa mfano Yesu Kristu alipokuja, waumini wa kiyahudi walikataa kumtambua. Hakuja kama vile walivyotegemea. Walitegemea angekuja kwa mabavu na maguvu na kusambaratisha kila kitu. He was humble and simple.Katika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza
Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.
Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12
Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.
Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Dini zetu hasa Tanzania ni zao la utumwa na tawala za kikoloniKatika safari yangu ya masomo na kazi, nimekutana na watu wengi, nilichojifunza
Wakrito waliotokea mikoa ambayo haina waislam wengi, wanauelewa potofu juu ya Uislam na Waislam.
Wanawaona kama wako Backwards au wakizamani.
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini 12
Wapo wanaodhani huwezi kuutenganisha uislam na majini
Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa. Wengi zaidi ni wale wa mikoa ya Kaskazini au Nyanda za juu kusini.
Tofauti na wakristo waliokulia mikoa ya Pwani au yene mchanganyiko mkubwa na Waislam hawana shida kabisa.
Chuki, roho mbaya, roho ya kwa nini, kiburi, dharau, majivuno n.kUnachekesha wewe waislam ndio huwa wanachuki na wakristo hilo lipo wazi,Muslim yupo radhi ambebe muislam mwenzake hata kama hana uwezo na sio mgalatia.
Yani kiufupi ni kama waslama huwa wanafundishwa kuwa adui wake namba 1 ni Mkristo.
Ni waisalam wachache sana katika 100 labda 1 au 2 ndio wako unbiased na sio mbaguzi,napo ni sababu atakuwa aswali.