Hata Mbeya tukuyu,mwakaleli na vijiji kibao mbeya ukionekana muislam wanajua jini kabisa coz hakuna muislam huko 🤣🤣😂😂Kijijin kwetu huku usukuman ukisema kuwa wewe ni mwisilam watakushangaa sana na mara zote watajua kuwa wewe ni mchawi au mganga wa kienyeji
Huku kwetu hakuna waislam kabisa waislam mimi nimekuja kuwakuta huku mjini
Walikuwa ni malaika ambao waliasi wakatupwa na Mungu pamoja na baba yao Shetani ambaye aliasi. Akiwa na jeshi lake ndo hao majini ambao walikuwa ni Makaika.Ukisema majini ni viumbe vya shetani sasa huyo shetani ni kiumbe gani na majini ni viumbe gani?
Kwa mujibu wa biblia Mungu aliumba majini? Kama hajaumba hao majini walitokea wapi?
Jini hana umbile moja. Can change into anything. Majini ni viumbe vya Shetani.Mimi nashindwa kuelewa ni vp malaika waliyoasi wageuke majini yani wamekuwa na sifa za kimaumbile ambazo ni tofauti na malaika?
Wapo wanaoamini ukimuona Sheikh kafunga ndevu bas ujue anamajini
Muhammad alizini na kijakazi(Lakini Kubwa zaidi, baadhi wanachuki na Waislam kabisa)
Tena cha kuaminisha watu zaidi wakristo wanajifanya wao hapa TZ kama wanahaki na nchi hii wakati wao katika kupigania UHURU walikuwa na wazungu hawakushughulika kabisa matokea yake Nyerere akawageukia kwa chuki za dini .Haya mambo hayakuanza leo hivi VITA vimeanza zamani sana na katika vita vikuwa ni kuwanyima Elimu waislamu na hao waliosoma wasipate kazi .Refer Bunge letu Waislmu wangapi na Wakristo wangapi ndio utajua ,so hii nchi kuna UDINI na UKABILA chini kwa chini sahau waislamu hata hao wakristo wenyewe wanapigana vita ktk madhehebu yao pamoja na ukabila kuna mambo yanafukuta chini kwa chini mwenye macho haambiwi tazama.Allah atusaidie lkn chuki zipo sana tena saaanaaaaa.
Walikuwa au bado ni malaika? asili yao ni malaika au walibadilika na kuwa viumbe wengine tofauti na malaika?Walikuwa ni malaika ambao waliasi wakatupwa na Mungu pamoja na baba yao Shetani ambaye aliasi. Akiwa na jeshi lake ndo hao majini ambao walikuwa ni Makaika.
Mkuu bado haujathibithibitisha kimaandiko kwamba kuna pepo wema ndio malaika, hapo umeonyesha Yesu akikemea mapepo ambao waliwaingia watu, ni wapi inaonyesha malaika ni mapepo?Ipo mkuu
1. Mapepo Wabaya (Shetani na Jeshi Lake)
- Mathayo 8:28-34
- Yesu anakutana na watu wawili waliopagawa na mapepo katika nchi ya Wagerasi, na mapepo yanamwomba Yesu yapelekwe kwenye kundi la nguruwe.
- Marko 5:1-13
- Inasimulia hadithi kama hiyo ambapo Yesu anatoa pepo lililojulikana kama "Jeshi" kutoka kwa mtu aliyekuwa anateseka.
- Luka 11:24-26
- Yesu anaelezea jinsi pepo mchafu hutoka kwa mtu, huenda kuzurura, na baadaye hurudi pamoja na pepo wengine saba wabaya zaidi.
- Waefeso 6:12
- Paulo anaeleza kuwa vita ya kiroho si dhidi ya damu na nyama bali dhidi ya falme na mamlaka za giza.
- Ufunuo 12:7-9
- Mapepo yanahusishwa na kuanguka kwa Shetani kutoka mbinguni baada ya vita na Mikaeli na malaika wake.
2. Mapepo Wema (Malaika wa Mungu)
- Zaburi 91:11-12
- Mungu anaahidi kutuma malaika wake kuwalinda watu wake.
- Luka 1:26-38
- Malaika Gabrieli anamtembelea Maria kumtangazia kuzaliwa kwa Yesu.
- Mathayo 4:11
- Baada ya Yesu kushinda majaribu ya Shetani jangwani, malaika walikuja kumhudumia.
- Waebrania 1:14
- Malaika wanatajwa kama roho watumikao kuwatumikia wale watakaoirithi wokovu.
- Ufunuo 5:11-12
- Malaika wanatajwa kuwa katika idadi kubwa wakimsifu Mungu.
3. Mapambano Kati ya Mapepo Mazuri na Mabaya
- Danieli 10:12-13
- Malaika anamwambia Danieli kuhusu jinsi mjumbe wa Mungu alizuiliwa na mkuu wa ufalme wa Uajemi, lakini Mikaeli (mmoja wa malaika wakuu) alikuja kusaidia.
- Marko 1:23-27
- Yesu anamkemea pepo mchafu ndani ya sinagogi, na pepo linatii.
- Ufunuo 12:7
- Kuna vita mbinguni kati ya Mikaeli na malaika zake dhidi ya Shetani na mapepo wake.
4. Tahadhari Kuhusu Mapepo
- Mathayo 12:43-45
- Yesu anatoa maonyo kuhusu kurudi kwa pepo mchafu iwapo mtu hajajazwa na Roho wa Mungu.
Hakuna kitu kinaitwa pepo wema kwenye Bibilia mkuu, kwenye Bibilia kuna malaika ambao wako upande wa Mungu, wanaitwa Malaika sio mapepo wema, hicho kitu cha mapepo/majini wema wanacho waislamuSasa ukikataa mapepo sio malaika utaweza kuleta andiko kwenye biblia kuonesha kuwa Mungu aliumba mapepo/majini?
Vipo Vijiji vingi tu hakuna muslims ukiingia mbeya ndani yuko mwakaleli,tukuyu nk,ukija iringa ndani huko udzungwa shuleni kule hukuti muslims na vijiji vingi sana mikoani hata rukwa hukoUsukumani sehemu gani wilaya na kijiji gani kwenu, huenda unaishi mbuga za wanyama, hamna kijiji usulumami kisio kua namskiti.
Hiyo yakua unaweza kuwaita na kuishi nao umeitoa kwenye Aya ipi ya Qur an au HADITH ili na mimi niweze kuwaita na kuishi nao.wewe unawezaje kuutenganisha uislamu na majini? wakati mnahubiri kuwa kuna majini wema na wabaya, na kuna namna ya kuwaita hao majini mkaishi nao
Sawa binjua mkundu huo tuugaidiWaislamu ni magaidi
Hata njombe,mbeya,iringa ndani huko hukuti muslims🤣🤣😂😂Huku ruvuma nenda sehemu inayoitwa mbinga, vijiji vya huko kukuta muislamu ni ngumu Sana.
Wao wanaamini nchi yote iko hivyo kumbe Kuna sehemu waislamu ni majority
mkuu mbona kuna mabandiko mengi tu humu yakielekeza namna unavyoweza kuyaita majini na kuishi nayoHiyo yakua unaweza kuwaita na kuishi nao umeitoa kwenye Aya ipi ya Qur an au HADITH ili na mimi niweze kuwaita na kuishi nao.
Kuwepo wazuri na wabaya ni sawa sawa na wanaadamu wapo wazuri na wabaya.
Wapo watakao ingia peponi na wapo watakao kusanywa pamoja na makafiri wa kibin Adam na mawe wakawe Kuni za Jahannam
Kwamba Mkuu unataka kusema kuna kombe linaandikwa kwa kutumia aya za Injili au Zaburi?Kwanza mkuu hayo majina yanayotumika kwa majini ni binaadamu wenyewe tu ndio wamewatunga kutokana jamii husika, usidhani waarabu au wazungu hutumia majina hayo hayo yanayotumika huku bongo kuita majini.
Na huwa yanakusudia aina ya fulani ya majini na si jina la jini mwenyewe.
Mkuu nikwambie kwamba hata aya za biblia hutumika kwenye uchawi au uganga, wengi hawajui hili ila ukitaka ushahidi nakuwekea kitabu chenye kuelekeza jinsi ya kutumia aya za biblia kurogea.
Mkuu mbona mikasa hiyo ya kurogwa na kutupiwa majini tunaona kanisani wakristo wakitolewa majini na uchawi au haujawahi kutizama wanavyotoa ushuhuda?
Waislamu hawasemi mapepo bali majini na kwa mafundisho ya waislamu majini ni viumbe waliyoumbwa na Mungu ukiacha malaika na binaadamu, wakristo ndio wanawaita hao majini kuwa ni malaika waliyoasi na kuwa ndio mapepo.Hakuna kitu kinaitwa pepo wema kwenye Bibilia mkuu, kwenye Bibilia kuna malaika ambao wako upande wa Mungu, wanaitwa Malaika sio mapepo wema, hicho kitu cha mapepo/majini wema wanacho waislamu
Kwenye Uislamu hakuna pepo wema, Wala Ibilisi wema, Wala kinyamkera mwema. Wala shetani mwema. Usipotoshe.Hakuna kitu kinaitwa pepo wema kwenye Bibilia mkuu, kwenye Bibilia kuna malaika ambao wako upande wa Mungu, wanaitwa Malaika sio mapepo wema, hicho kitu cha mapepo/majini wema wanacho waislamu
Nachosema ni kwamba aya za Zaburi hutumika kurogea, kwamba unaweza ukaroga kwa kutumia Zaburi.Kwamba Mkuu unataka kusema kuna kombe linaandikwa kwa kutumia aya za Injili au Zaburi?
Kingine ubaguzi wa waziwazi unaofanywa na imani hiyo umewafanya wengi kuwaona kama watu wasiostaarabika kwa kuheshimu imani za wengine, kitendo cha kuwaita Makafiri wale wasio waumini wa dini ya Kiislamu na kitendo cha kujiona kuwa mna hatimiliki ya kuchinja vitoweo na kujinasibisha waziwazi kuwa akichinja wa imani nyingine inakuwa kibudu ni ukosefu wa uungwana.
Jamii inayoheshimu haki za Binadamu na usawa kwa watu wote hawawezi kuchangamana na imani inayochochea ubaguzi na kutweza utu wa watu wengine.
Nitajie hao makafiri waliouwa hapa Tanzania ili kuthibitisha point yakoMafundisho ya kisenge yanayochochea chuki mf kuua makafiri eti utapewa mabikra 72 na mito ya pombe