Wakristo wengi wanadanganywa kuwa kupeleka pesa na mali kanisani ndio kumtolea Mungu sadaka!

Wakristo wengi wanadanganywa kuwa kupeleka pesa na mali kanisani ndio kumtolea Mungu sadaka!

Status
Not open for further replies.

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
 
Ila kupeleka sadaka nyingi kwa waganga wa kienyeji na mizimu ndio sahihi?

Kitu kisicho faida kwako kwa nini kiumize akili yako ilihali unaowazungumzia hakiwapunguzii kitu na maisha yao yangali yanaendelea bila kutembeza bakuli kwako??
Mtoa mada yuko sahihi,
Sadaka ni utapeli mtupu,
Usafi wa moyo pekee ndio njia halisi ya utakatifu.
Hata Yesu alisisitiza Heri nane, na hakugusia sadaka,
" Heri wenye moyo Safi.....
"Heri wanyenyekevu....
" Heri wenye kiu ya haki....

Hakusema
"Heri wenye kutoa sadaka kwa wingi...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Yote uliyooandika uko sahihi kasoro hivyo hapo juu, kama mtu amedhamiria kutoa sadaka kwa maana ya ibada basi haipaswi kutolewa kiholela. Sio kila madhabahu ni ya kutolea sadaka na zipo aina za sadaka, mfano kama mtu ameamua kutoa zaka maana yake sio kiasi chochote tu.

Vingine ulivyoandika ni vizuri sana hongera mkuu.
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Soma kwa sauti uo mstari wa mwishoo👇👇👇
 

Attachments

  • Screenshot_20250312-200702_Biblia.jpg
    Screenshot_20250312-200702_Biblia.jpg
    62.9 KB · Views: 1
2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.
Wanaojipammbanua kuwa waombeaji ndiyo hao wakikutwa na magumu wanaambia waumini wawaombee
 
Mtoa mada yuko sahihi,
Sadaka ni utapeli mtupu,
Usafi wa moyo pekee ndio njia halisi ya utakatifu.
Hata Yesu alisisitiza Heri nane, na hakugusia sadaka,
" Heri wenye moyo Safi.....
"Heri wanyenyekevu....
" Heri wenye kiu ya haki....

Hakusema
"Heri wenye kutoa sadaka kwa wingi...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hiyo ndiyo misitari inayokataa kutoa sadaka?
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Wewe tatizo lako nini kama wanatoa kwa ridhaa yao,na wanatoa kwa vile wanazo,relax !
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Ila na tukumbuke hizi sadaka mfano unaenda kutoa sadaka ya mfano elfu 20 au Michele kilo 50! Wakati jirani yako anaumwa au hana hata mlo wa siku ni shida lakini kumpea hata elfu 2 au Michele kilo 2 inakuwa vigumu.
Mgonjwa anahitaji kununua dawa na hana hela wewe unaipeleka kwa kanisa! Akifa unakuja kuchangisha mle na kuweka turubai na muziki.
Je hili nalo likoje?? Makasisi tuambieni.
 
Nakubaliana na wewe kwa kiasi fulani. Ila na tukumbuke hizi sadaka mfano unaenda kutoa sadaka ya mfano elfu 20 au Michele kilo 50! Wakati jirani yako anaumwa au hana hata mlo wa siku ni shida lakini kumpea hata elfu 2 au Michele kilo 2 inakuwa vigumu.
Mgonjwa anahitaji kununua dawa na hana hela wewe unaipeleka kwa kanisa! Akifa unakuja kuchangisha mle na kuweka turubai na muziki.
Je hili nalo likoje?? Makasisi tuambieni.
Hakika wewe umenielewa vyema.
Kupeleka pesa na mali makanisani kiholela huku umemuacha jirani yako akiteseka bila kumsaidia huo ni upagani wa kawaida na huko sio kutoa sadaka, ni uhuni tu.
 
Ila kupeleka sadaka nyingi kwa waganga wa kienyeji na mizimu ndio sahihi?

Kitu kisicho faida kwako kwa nini kiumize akili yako ilihali unaowazungumzia hakiwapunguzii kitu na maisha yao yangali yanaendelea bila kutembeza bakuli kwako??
Sasa hao kina mwamposa na gamanywa si mizimu hai kabisa ...kuna hatia ya kuongozwa na kipofu ....
 
Yote uliyooandika uko sahihi kasoro hivyo hapo juu, kama mtu amedhamiria kutoa sadaka kwa maana ya ibada basi haipaswi kutolewa kiholela. Sio kila madhabahu ni ya kutolea sadaka na zipo aina za sadaka, mfano kama mtu ameamua kutoa zaka maana yake sio kiasi chochote tu.

Vingine ulivyoandika ni vizuri sana hongera mkuu.
Nitakujibu hapa hapa.
Hichi kichaka cha madhahabu kinatumiwa mnoo na makanisa ili kuendelea kuwaibia wakristo.

Fahamu haya.
1. Kupitia Yesu kristo mifumo yote ya awali ya kiibada ilifutika ikiwemo utoaji sadaka, madhabahu na hekalu. (Waibrania 9:14, Waefeso 5:2). Na mifumo mipya ya ibada ikiwemo utoaji wa sadaka ilijengwa. Kupitia Yesu kristo kila mwili wa muumini ni hekalu na moyo wa muumini ndio madhabahu ya kufanyia ibada ikiwemo kutolea sadaka (1wakorintho 3:16, 6:19, Yohana 4:24).

2. Mtu yoyote (mahali popote pale, wakati wowote ule) kwa hiari yake na kupenda ikitoa kitu au kujitoa kufanya jambo kwa furaha ili kumrudishia Mungu utukufu, basi hicho anachokifanya ndio utoaji wa Sadaka, na moyo wake ndio madhabahu ambayo hiyo sadaka imetolewa. Kuna madhabahu gani bora zaidi ya hiyo?
 
Kwanini watoaji wenyewe hawajawahi kulalamika, ila sisi ambao hatujawahi kutoa ndio kutwa kucha tunalalamika?, nitalichunguza hili, huenda kuna faida hawa waumini wanapata.
Una hakika huko makanisani watu hawalalamiki kuhusu kupigwa kupitia kichaka cha wizi kinachoitwa Sadaka?
Pita ukaone, ni kilio kupitiliza.

Hakuna kanisa ambalo halina waumuni wasiolalamika kuhusu hizo taratibu za Sadaka zinavyowatesa, kuwaumiza na kuwachosha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom