Wakristo wengi wanadanganywa kuwa kupeleka pesa na mali kanisani ndio kumtolea Mungu sadaka!

Wakristo wengi wanadanganywa kuwa kupeleka pesa na mali kanisani ndio kumtolea Mungu sadaka!

Status
Not open for further replies.
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Pole sana mkuu. Unaonekana unauelewa mdogo sana juu ya mambo haya. Nakushauri, jikite kwenye mada zingine, ya Wakristo waachie wenyewe.
 
Mtoa mada yuko sahihi,
Sadaka ni utapeli mtupu,
Usafi wa moyo pekee ndio njia halisi ya utakatifu.
Hata Yesu alisisitiza Heri nane, na hakugusia sadaka,
" Heri wenye moyo Safi.....
"Heri wanyenyekevu....
" Heri wenye kiu ya haki....

Hakusema
"Heri wenye kutoa sadaka kwa wingi...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante sana 🙏
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Mzee subiri tende za bute kutoka uarabuni...acha wenye kutoa sadaka waliwe wenyewe. Hayakuhusu
 
...
 

Attachments

  • images - 2025-03-12T195056.186.jpeg
    images - 2025-03-12T195056.186.jpeg
    15.1 KB · Views: 1
  • images - 2025-03-12T195344.083.jpeg
    images - 2025-03-12T195344.083.jpeg
    11.1 KB · Views: 1
  • images - 2025-03-12T195301.353.jpeg
    images - 2025-03-12T195301.353.jpeg
    9.2 KB · Views: 1
Kwanini watoaji wenyewe hawajawahi kulalamika, ila sisi ambao hatujawahi kutoa ndio kutwa kucha tunalalamika?, nitalichunguza hili, huenda kuna faida hawa waumini wanapata.
Wanalalamika sana,wengine hadi kufungua kesi,kutokana na kutoa sadaka wakiwa hawana akili timamu(kuombewa hadi kuchanganyukiwa)baadaye akili zikirejea huzirudia sadaka zao.
Nina ushahidi
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Nina swali.
Mtu akitoa sadaka ya (mali),baadaye akabaini alikengeuka,anaweza kuirejesha?
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.
Kwani watoaji wenyewe wasadaka wanasemaje? Au walikuja kulalamika kwako? Ai wewe umetoa hiyo sadak mara ngapi mpana uone wanadanganywa? Au wewe unajua mawazo au mawasiliano na Mungu wao?
Sadaka atoe mwingine Kwa MUNGU wake ,kulalama alalame mwingine maajabu haya! Acheni kuwagombanisha watu na Mungu wao.
 
Wanalalamika sana,wengine hadi kufungua kesi,kutokana na kutoa sadaka wakiwa hawana akili timamu(kuombewa hadi kuchanganyukiwa)baadaye akili zikirejea huzirudia sadaka zao.
Nina ushahidi
Kwani waliitwa au walifungwa kamba ? Mbisi wanaopeleka Kwa waganga wao sio sadaka.
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kw6a kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.

Uliposema "jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine" ndio nimeona hujafanya tafiti zako vizuri. Sio madhehebu yote yanatoza sadaka au kuwalazimisha waumini wao watoe sadaka. Si kweli
 
Unahitaji kujifunza zaidi juu ya hili, bado unajichanganya
 
Kama kuna jambo ambalo wakristo wengi wanadanganywa na kuibiwa basi ni kwenye kitu kinaitwa Sadaka.
Kila ujanja ujanja wa viongozi wa kikristo kutaka kuwatapeli waumini pesa na mali zao basi sadaka ndio kichaka cha kwanza na haraka sana kinatumika. Na jambo hili lipo kwenye madhehebu yote ya kikristo na hata dini zingine.

Kupitia mada hii nitaweka sawa kwa uchache mtazamo wa sadaka kulingana na imani halisi ya kikristo kupitia Biblia.

1. Sadaka ni ibada kamili (moyo wa muumini unakwenda moja kwa moja kukutana na Mungu wake), hivyo kabla ya kuitoa jiulize haya maswali makubwa matatu:

(a)Moyo wako ni msafi kiasi gani kumkaribia Mungu kwa njia ya sadaka (yaani uhusiano wako na Mungu wako ukoje wakati ule unapotaka kutoa hiyo sadaka) (Mathayo 5:8)

(b)Mali/Pesa inayotaka kuitoa kama sadaka ni halali kiasi gani katika mtizamo wa neno la Mungu mpaka imfae Mungu. (Yohana 4:24)

(c)Hiari ya kutaka kumtolea Mungu hiyo mali/pesa itokane na kumpenda tu huyo Mungu na sio vingenevyo (2Wakorintho 9:7)

2. Sadaka halisi inatolewa moyoni mwako (yaani dhamira ya hiari kwa kupenda kutoa kitu/kufanya jambo lenye thamani nzuri, kwa kwa lengo la kumrudishia Mungu utukufu). Vitendo vya utoaji wa sadaka ndio wanadamu wanaweza kuviona, na wala hupaswi kulazimisha kutengeneza mazingira ya watu waone au wajue ulichotoa.

3. Tendo la utoaji sadaka (yaani kule kutoa pesa au mali zako) linaweza kufanyika mahali popote pale, wakati wowote ule, kwa mtu yoyote ule, kwa namna yoyote ile, kwa kiasi chochote kile, lengo kuu likiwa ni kumrudishia Mungu utukufu huku ukiufurahisha moyo wako.

4. Michango yoyote ya makanisani au taratibu zote za utoaji mali na pesa makanisani kwa jina la Sadaka, kiuhalisia SIO SADAKA. Hizo ni taratibu za makanisa tu katika kuweza kujiendesha na kufanikisha shughuli zake za kila siku ama watu fulani mahususi wazitumie. Kwanini? Mara nyingi (kama sio mara zote) hizo taratibu hazihoji anayetoa kama ni msafi kiimani, hazihoji uhalali wa kule zilipopatikana na hazipendi kumpa muumini hiari ya moyo wake kuamua kutoa au kutokutoa (muumini atawekewa kiwango, atatishwa kiimani asipotoa atapata madhara au atashawishiwa kuwa akitoa atabarikiwa). Wewe utaambiwa toa tu, tena toa nyingi uwezavyo. Ni unyonyaji kwa 100%.

5. Mwisho kabisa, kila mkristo anapaswa kujua haya:
-Hatuendi mbinguni kwa kutoa sadaka wala kwa kutokutoa sadaka hatukosi mbingu
-Hatununui baraka kwa kutoa sadaka na wala hatuvuni laana kwa kutokutoa sadaka.
-Hatulaaniwi kwa kutokutoa sadaka na wala hatuvunji laana kwa kutoa sadaka.
-Tunapaswa kutoa sadaka (popote pale, kwa namna yoyote ile, kiasi chochote kile) kwa sababu tunampenda na kumfurahia Mungu wetu, tusilazimishwe wala kushawishiwa kiujanja ujanja.

View: https://web.facebook.com/photo?fbid=4077852792446550&set=pb.100006656077131.-2207520000
 
Nitakujibu hapa hapa.
Hichi kichaka cha madhahabu kinatumiwa mnoo na makanisa ili kuendelea kuwaibia wakristo.

Fahamu haya.
1. Kupitia Yesu kristo mifumo yote ya awali ya kiibada ilifutika ikiwemo utoaji sadaka, madhabahu na hekalu. (Waibrania 9:14, Waefeso 5:2). Na mifumo mipya ya ibada ikiwemo utoaji wa sadaka ilijengwa. Kupitia Yesu kristo kila mwili wa muumini ni hekalu na moyo wa muumini ndio madhabahu ya kufanyia ibada ikiwemo kutolea sadaka (1wakorintho 3:16, 6:19, Yohana 4:24).

2. Mtu yoyote (mahali popote pale, wakati wowote ule) kwa hiari yake na kupenda ikitoa kitu au kujitoa kufanya jambo kwa furaha ili kumrudishia Mungu utukufu, basi hicho anachokifanya ndio utoaji wa Sadaka, na moyo wake ndio madhabahu ambayo hiyo sadaka imetolewa. Kuna madhabahu gani bora zaidi ya hiyo?
Agano la kale ni kivuli cha agano jipya na ndo maana torati ni takatifu ingawaje hatuko chini ya torati.

Kumbukumbu 12:13,14
"Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;bali katika mahali atakapopachagua Bwana katika kabila zako mojawapo, ndipo utakapotoa sadaka zako za kuteketezwa, ndipo utakapotenda yote nikuamuruyo."

Leo hatutoi sadaka za kuteketezwa lakini uone tahadhari ya kutokutoa sadaka popote pale.

Ni kweli mtu mwenyewe peke yako unaweza kuwa madhabahu ya Mungu lakini kanisa la mahali pamoja pia lina madhabahu yake. Haipaswi kutoa sadaka mahali mradi tu wanajiita kanisa, ni lazima ujue kama kweli wanafundisha neno la Mungu kwa usahihi.
 
Nina swali.
Mtu akitoa sadaka ya (mali),baadaye akabaini alikengeuka,anaweza kuirejesha?
Kama umenisoma vizuri, kwa mujibu wa imani ya Kikristo kupitia Biblia, utoaji sadaka ni suala binafsi, tendo la moyoni kwa hiari ya kupenda na kumfurahia Mungu na sio ile mali halisi inayoonekana ikitolewa.

Hizi blah blah nyingi zinazofanyika makanisani ni michango na kiuhalisia sio sadaka, sasa inategemea wewe mtoaji na ile taasisi mlikuwa na patano lipi ili kutaka kurejeshewa hiyo mali uliyoitoa.
 
Agano la kale ni kivuli cha agano jipya na ndo maana torati ni takatifu ingawaje hatuko chini ya torati.

Kumbukumbu 12:13,14
"Ujihadhari usitoe sadaka zako za kuteketezwa katika kila mahali upaonapo;bali katika mahali atakapopachagua Bwana katika kabila zako mojawapo, ndipo utakapotoa sadaka zako za kuteketezwa, ndipo utakapotenda yote nikuamuruyo."

Leo hatutoi sadaka za kuteketezwa lakini uone tahadhari ya kutokutoa sadaka popote pale.

Ni kweli mtu mwenyewe peke yako unaweza kuwa madhabahu ya Mungu lakini kanisa la mahali pamoja pia lina madhabahu yake. Haipaswi kutoa sadaka mahali mradi tu wanajiita kanisa, ni lazima ujue kama kweli wanafundisha neno la Mungu kwa usahihi.
Naona bado unachanganya vitu hapa.
Madhabahu za madhehebu ni madhabahu za madhehebu, zimejengwa na madhehebu kwa malengo ya hayo madhehebu na hizo sio madhabahu za Mungu alizozijenga yeye kwa gharama ya kumtoa Yesu kristo msalabani.

Mungu sio mjinga kuingia gharama ya kutengeneza madhabahu ndani ya moyo wa mwanadamu ili mwanadamu amuabudu (atoe sadaka) kupitia hizo. (Yohana 4:24). Yaani Mkristo atakuwa ni mpumbavu kabisa kuikwepa kuitumia hiyo madhabahu ya thamani kubwa sana iliyojengwa kwa damu ya Yesu iliyopo ndani yake kutolea sadaka zake ili kwenda kusaka madhabahu za madhehebu.
 
Naona bado unachanganya vitu hapa.
Madhabahu za madhehebu ni madhabahu za madhehebu, zimejengwa na madhehebu kwa malengo ya hayo madhehebu na hizo sio madhabahu za Mungu alizozijenga yeye kwa gharama ya kumtoa Yesu kristo msalabani.

Mungu sio mjinga kuingia gharama ya kutengeneza madhabahu ndani ya moyo wa mwanadamu ili mwanadamu amuabudu (atoe sadaka) kupitia hizo. (Yohana 4:24). Yaani Mkristo atakuwa ni mpumbavu kabisa kuikwepa kuitumia hiyo madhabahu ya thamani kubwa sana iliyojengwa kwa damu ya Yesu iliyopo ndani yake kutolea sadaka zake ili kwenda kusaka madhabahu za madhehebu.
Habari,achana na hadithi za kusadika ndani ya biblia huwezi kuishi na kuendesha maisha yako kwa mistari ya kitabu kilocholetwa na wakoloni,huo ni ujinga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom