Umekariri mzee, watu wanafutari wali, ugali, mihogo, na hata kande, alokwambia kufutari unatakiw uwe na bajet ya elf 30 huyo haelewi anachokifanya.
Na wengine wanafanya kwa kujifurahisha ikishakua uwezo anao na ameamua mwenyew sio mbaya, lkn kufuturu sio lazima ayo mambo.
#Elimundokilakitu.