Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Wakristo wenye wadada wa kazi wa Kiisilamu acheni kuwanyanyasa kwasababu ya kufunga Ramadhani

Mnapenda fea sana mm ikifika kipindi anataka kufunga afunge bila kuadhiri kazi zake huo mfungo ni wake haunihusu mm so mahitaji ni yake haunihusu atawajibika yeye kwa vitu vyake
 
Yani kama kuna mtu anayafanya hayo madai ya Mleta mada Naomba ayatafakali na kujirekebisha.

Kumuwezesha yaya wako kufunga ni jambo la baraka kwenye familia.

Kufunga kunaondoa makando Kando mengi ndani ya moyo wa mtu.

Hata visirani na mawazo mabaya huondoka au kupungua wakati wa kufunga.

Kuhusu mavazi msiwazuie mavazi yao ni mazuri.

Kuweni na mtazamo chanya na upendo wa Kweli.
Kheri wakristo wanawaajiri waisilamu kuliko waisilamu hawawajiri wakristu, kuna kampuni moja walitska kumuajiri binti yangu na bosi yao alikuwa akiniita kaka, shida ilikuja binti alipopeleka barua na kujilikana ni mkristu bosi hakutaka hata kuijibu na akakata mawasiliano nami, hata hivyo nilimuelewa kwani ni wale waislamu wa Afughanistani.
 
Umekariri mzee, watu wanafutari wali, ugali, mihogo, na hata kande, alokwambia kufutari unatakiw uwe na bajet ya elf 30 huyo haelewi anachokifanya.
Na wengine wanafanya kwa kujifurahisha ikishakua uwezo anao na ameamua mwenyew sio mbaya, lkn kufuturu sio lazima ayo mambo.
#Elimundokilakitu.
Hao wanaofutari ugali,wali nk labda huko kwenu Koromije huku nilipo wanataka vitu lainilaini tu.
 
Back
Top Bottom