Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya nani hiki chama kimenishinda tabia.. Kwahiyo yote haya ni kumjibu Kakurwa?[emoji23]Hili lote ni picha linalotengenezwa, ili uonekane Dkt Bashiru hana maana.
DKT BASHIRU, SONGA MBELE
Ni kawaida, Ukweli Mmoja, hupigwa na Mauongo zaidi ya buku.
Walakini, ukweli ni ukweli, na hushinda.
Tunakupenda na tunakuamini Dkt Bashiru, endelea kusimamia Falsafa zako na uwasameee wanyonge.
Mwisho wao hauwez fika pasipo wananchi kuingia barabarani,kama tunaogopa polis hawa wajinga wataendelea kuwepo na kulamba asaliHuu ujinga unamwisho wake,acha Wajidanganye, tena wawaandae nchi nzima hao mamluki wao, kifupi daganya toto yao imefikia mwisho.
Nilijua nimeone peke yanguKaunda suit tumeiona.
Kaka ww n mkulima bei ya mbolea ungeiweza MzeeKwa nini nisiamini kuwa Bashiru ndiye mwanaccm mwenye akili nyingi kuliko wote kwa sasa. Maneno yake machache yamefanya CCM na Serikali yake yote ijambe jambe tangu juzi hakuliki hakukaliki. Bashiru amejua kuwajambisha kinoma. BASHIRU KAPIGA PALE PALE KWENYE MSHONO, KUDADADADEKI !!!!!!!!!!
Shida anayeumia wenzake kupongezq alikua hataki wakosoaji enzi zake. Kwaio hata kama anaonhea point hio moral authority HanaWANAOPONGEZA NI HAKI YAO..
NA WANAOMKOSOA PIA NI HAKI YAO..
no big Deal
Mbona unaandika kama umetoka kuukalia wewe mbwiga, pumbavu kabisa wewe.Kaka ww n mkulima bei ya mbolea ungeiweza Mzee
UREA CIF Dar es salaam unajua bei yake au unaongea tuu huyu mama mumshukuru sana mngekufa njaa masikini nyie
Wakulima lazima tumtie moyo Rais wetuJamaa wametafuta vijamaa vyenye njaaa, wameviandalia mabango chapchap, nakuviingiza mabarabarani
Enyi walamba Asali, kubalini, Dkt Bashiru, kweli zake ni za haki, ziwasaidie kufanya mageuzi.