Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Familia za wakulima Zina furaha amani na upendo mkubwa Sana kwa Rais Samia kutokana na namna alivyowagusa kiutendaji na kimaamuzi,hasa kwa hatua yake ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoniBaba umedhamiria😂😂 hawajakupigia hata simu moja? Kaza baba utaitwa tu ila unawasaliti wazazi wako ambao ni wakulima kwa njaa binafsi 😂
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.
Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika, kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge, kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza, kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima, kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani, inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini, inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini, inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe
Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo, kwa namna alivyomjari mkulima, kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima, kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime. Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.
Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa, Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali, hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima,Ndio kauli ya pamoja,Ndio msimamo wa wakulima,Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.
Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika,kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge,kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza,kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima,kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani,inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini,inatoa Neema kwa kila atakayePumbafu sana kutwa kucha kuandikaga mausenge Yako watu mtaani wamepigika mpaka miwa imepanda wewe na maujinga Yako una tetea maccm yalishatuchosha miaka yote menyewe tu acha yapumzike tupate kuongozwa na akili KUBWAMh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Anastahili pongezi katika mambo mengi Sana kwa kuwa kagusa kila secta,siyo kilimo tu Bali ukienda katika Afya Unakuta Ni matumaini kibao,ukienda katika Elimu unakuta Ni nuru tupu,ukienda katika uwekezaji na biashara unakuta mafanikio,ukienda katika diplomasia ya uchumi unakuta Ni ushindi mtupu,ukienda katika uchumi unakuta hatua zimepigwa
CCM inapita bila kupingwa kutokana na udhaifu na ugoigoi wa vyama vya upinzani. Si unaona saiz wapo kuzurula ulaya badala ya kuwa karibu na wananchi? Sasa hao wazungu ndio watakuja kupiga kura? Kweli akili za chadema wanazijuwa wenyewe
Chadema wanajengaje chama wakati unaona wanafanya kazi ya ukibaraka. Wanajiondoa akili na kuonekana hawana akili ya kutambua wafanye Nini. Wazungu hawaji kuwapigia kura na hawawezi kuja kuwapigia kampeni huku.Nachojuwa chadema Ni matapeli hivyo huko wanataka kupiga hela za wazungu kwa kisingizio Cha kuomba hela za kuja kufanyia harakati wakati wanajuwa kuwa watanzania walishawapuuzaKwahiyo mama Samia hatapata kura kwakuwa huwa anaenda ulaya? Viongozi wa CDM kibao wako kwenye ujenzi wa chama Sehemu mbalimbali nchini, sasa sijui ni utoto gani unaongea chawa.
Hivi hakuna namna wizara ya kilimo inaweza kutunga kanuni ya kumlazimisha kila anayepewa Leseni ya uwakala pia afungue tawi lake vijijini sehemu ambayo ndio wakulima wengi wanapatikana?!...manake kama wakala yuko mjini na mkulima analazimika kusafiri kwa taabu na kulala guest....sioni ni wapi mkulima anakuwa anapata hiyo nafuu iliyokusudiwa...Hii mipango na Nia nzuri ya Serikali kusaidia isipoendana na execution nzuri.. mipango itabaki kwenye makaratasi tuu... Watanzania inabidi tujue kwamba utajiri wa Nchi hautokani na maliasili na neema zilizopo nchini tuu...Bila akili ni Bure kabisa...waswahili walivyosema kwenye miti hakuna wajenzi... nadhan walikua wanaistua jamii ijikite kuelimisha watu ili wapate maarifa... Tanzania hatuna maarifa na ndio maana kutwa viongozi wetu wanakimbilia Ng'ambo kwenda kujifunza badala ya kupereka watendaji na wataalamu wakajifunze.Waulize wakulima wenyewe wasiokuwa na simu janja jinsi wanavyohangaika kupata mbolea ya ruzuku. Wakala yupo mjini km 50, mkulima analala guest siku tatu hamna cha sticker wala mbolea, halafu umwambie siasa za Bashiru na yule mwingine
Unazungumzia kilimo kipi cha Korosho au Pamba?Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika, kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge, kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza, kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima, kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani, inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini, inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini, inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe
Sijamwelewa huyu mwana mapambio Shaka Hamdu Shaka kupamba pamba tu hata yasiyotakiwa kupambwa, mpambe NUKSIUnaongelea wakulima gani? hawa wa jembe la mkono.
Nazungumzia kilimo Cha mazao yote yanayopatikana na kulimwa huku kwetu nyanda za juu kusini ambako wakulima wameona juhudi za mh Rais katika kumuinua mkulima na kumkwamua kiuchumiUnazungumzia kilimo kipi cha Korosho au Pamba?
Kwenda zako wewe huwajui wakulima nenda Naliendele ukawaambie huo ujinga wako km watakuelewa,Nazungumzia kilimo Cha mazao yote yanayopatikana na kulimwa huku kwetu nyanda za juu kusini ambako wakulima wameona juhudi za mh Rais katika kumuinua mkulima na kumkwamua kiuchumi
Ndugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.
Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika, kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge, kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza, kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima, kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani, inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini, inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini, inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe
Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo, kwa namna alivyomjari mkulima, kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima, kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime. Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.
Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa, Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali, hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Mimi mwenyewe ni mkulima kwa hiyo naongea uhalisia wa ninachokijuwa kukifahamu na kukionaTangu lini umekuwa msemaji wa wakulima?
Mnaacha kuhangaika na Kilimo mko busy na siasa za uchawa uchawa,
Wakulima wenzako ambao walikuwa kwenye kikao walipiga makofi ya furaha means walikubaliana na bashiru
Sasa ww unaongelea wakulima gani? Au bodaboda mliowapa mabango kule manyara Kwa kisingizio cha kujifanya mnapenda mama?
Sasa mbona mliwalipa posho? Hahaha
Pita huku nyanda za juu kusini uzungumze na wakulima uone namna wanavyompongeza mh Rais kwa kuwainua na kuwagusaKwenda zako wewe huwajui wakulima nenda Naliendele ukawaambie huo ujinga wako km watakuelewa,
Mimi mwenyewe ni mkulima kwa hiyo naongea uhalisia wa ninachokijuwa kukifahamu na kukiona
Wakulima tupo mashambani kwa hiyo wewe endelea kukaa huko mjini ukipiga makofiSasa wakulima wenzako ambao wanajulikana ni wakulima walipiga makofi ya furaha after bashiru kuongea vile
Endelea kuweka namba za simu kama unadhan kuna siku utaitwa
Pita huku nyanda za juu kusini uzungumze na wakulima uone namna wanavyompongeza mh Rais kwa kuwainua na kuwagusa
Wakulima tupo mashambani kwa hiyo wewe endelea kukaa huko mjini ukipiga makofi