Wewe hata nikikujibu huwezi ukaelewa chochote kile lakini mzungumzaji alishapewa majibu akaelewa na kukaa kimya baada ya kutambua ukweli,Sasa wewe Ni Nani Hadi umsemee?Ujinga wako ww unaongea mambo uyajui
Kazi yako ni kusifia Tu uonekane umesifia
Jibu hoja za bashiru kijana, jibu hoja ya alichoongea na sio kupiga makelele Tu ya uchawa
Hata mama mwenyewe akisoma uharo wako ulioandika atakushangaa
Kwa akili yako embu niambie Ni kundi lipi ambalo halimkubali mh Rais wetu mpendwa mama Samia?Kwenye nchi yetu,ukiwa Rais inabidi uwe na akili sana. Unadanganywa na watu wengi sana ili tu waendelee kushibisha matumbo yao.
Usipojua ukweli na ukausimamia, huwezi kuongoza hii nchi ukafanikiwa. Ongezeko la chawa na watu wenye kutafuta nafasi ili wale ni janga.
Mtu yoyote anayemwambia Mama kuwa anakubalika ni mtu wa kuogopwa sana.
Na kauli mbiu ya mwaka huu Ni kilimo Ni Biashara,Hakuna anayehitaji kupata hasara katika biashara yake au kuvuja jasho halafu wafaidike wale waliokaa kimvulini. Hilo amelikataa mh Rais na ndio maana ameamua kusimama na wakulima wanyongeIla ukweli msimuu huu wakulima wameneemeka Sana na Bei gunia kufikia had 120 kiteto siyo mchezo mtu una gunia zako 50 unatoka
Chadema wanajengaje chama wakati unaona wanafanya kazi ya ukibaraka. Wanajiondoa akili na kuonekana hawana akili ya kutambua wafanye Nini. Wazungu hawaji kuwapigia kura na hawawezi kuja kuwapigia kampeni huku.Nachojuwa chadema Ni matapeli hivyo huko wanataka kupiga hela za wazungu kwa kisingizio Cha kuomba hela za kuja kufanyia harakati wakati wanajuwa kuwa watanzania walishawapuuza
Hizo kauli mbiu za kilimo toka CCM ni tokea enzi za Nyerere, lakini cha ajabu wakulima ndio kada masikini kabisa. Hali hiyo imefanya kilimo kipuuzwe hadi imekuwa dhihaka, yaani utasikia kama maisha yamekushinda mjini, rudi kijijini ukalime, kwa tafsiri kuwa kilimo ni shughuli ya watu walioshindwa maisha.Na kauli mbiu ya mwaka huu Ni kilimo Ni Biashara,Hakuna anayehitaji kupata hasara katika biashara yake au kuvuja jasho halafu wafaidike wale waliokaa kimvulini. Hilo amelikataa mh Rais na ndio maana ameamua kusimama na wakulima wanyonge
Kwa Sasa kilimo chini ya uongozi wa mama Samia kina Tija sana na kinalipa, kwa Sasa kilimo kinaleta matumaini kwa mkulima kuinuka kiuchumiHizo kauli mbiu za kilimo toka CCM ni tokea enzi za Nyerere, lakini cha ajabu wakulima ndio kada masikini kabisa. Hali hiyo imefanya kilimo kipuuzwe hadi imekuwa dhihaka, yaani utasikia kama maisha yamekushinda mjini, rudi kijijini ukalime, kwa tafsiri kuwa kilimo ni shughuli ya watu walioshindwa maisha.
Sasa hela zote ambazo huwa mnapewa huwa mnapeleka wapi Kama hamzitafuni? Maana mmeshindwa hata kukarabati ofisi zenuUnaonyesha ww ni mshamba fulani, hivyo unadhani hela za wazungu zinaliwa kijinga. Kwa taarifa yako hakuna mzungu mjinga wa hivyo. Kama ingekuwa rahisi kula hela ya mzungu hivyo, Tanzania ingekuwa imeshakula sana na ingekuwa haina deni sasa hivi. Punguza propaganda za kitoto dogo.
Wakulima wa wapi hao!!!??? Acheni kujitoa akiliNdugu zangu hiyo ndio kauli ya wakulima. Ndio kauli ya pamoja, Ndio msimamo wa wakulima, Ndio uamuzi wa wakulima, Ndio Hitimisho la wakulima. Wakulima wanasema na kuapa kuwa watamuunga mkono Rais Samia katika uongozi wake wa kuendesha serikali yake ya CCM, wameapa kumpa ushirikiano wa kutosha yeye na serikali yake.
Wakulima wanasema Tangia kupata Uhuru kwa nchi hii kwa Mara ya kwanza mkulima amekuwa na sauti katika soko la mazao, Sasa kilimo Ni Biashara yenye Faida, kilimo Ni ajira ya uhakika, kilimo Sasa Ni Tumaini la wanyonge, kilimo Sasa kinatoa Nuru katikati ya Giza, kilimo Sasa kinawatoa kimasomaso wakulima, kilimo Sasa kinapunguza umaskini wa Kaya mojamoja. Ardhi Sasa imekuwa na thamani, inatoa matumaini kwa yeyote atakaye weka jembe ardhini, inatoa Neema kwa kila atakaye weka mbegu ardhini, inatoa matumaini kwa yeyote mwenye kulishika jembe
Wakulima wanamshukuru Rais Samia kwa namna alivyokikuza na kukipa thamani kilimo, kwa namna alivyomjari mkulima, kwa namna alivyomfungulia milango ya biashara mkulima, kwa namna alivyokipa heshima na kukiheshimisha kilimo na kukipa Thamani. Sasa vijana wanakimbilia katika kilimo,Sasa vijana wanatafuta ardhi ili walime. Sasa vijana wanajitupa katika kilimo ili watoke na kuinuka kiuchumi.
Hapa ndipo wakulima kwa kauli moja wanaposema kuwa Rais Mama Samia Atoshaa, Amekonga nyoyo za wakulima na wao wameamua kumlipa kwa kumuunga mkono na kushirikiana naye. Huwaambii kitu wakulima kwa Sasa juu ya Rais Samia kutokana na namna wanavyompenda na kumkubali, hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei sokoni.
Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Ni hitaji la walamba asali, chawa na wapiga diliNi Samia mpaka 2030 ambalo ndilo hitaji la watanzania kuhitaji utumishi wake ambao umekuwa Ni wakutukuka na kizalendo
Wewe hata nikikujibu huwezi ukaelewa chochote kile lakini mzungumzaji alishapewa majibu akaelewa na kukaa kimya baada ya kutambua ukweli,Sasa wewe Ni Nani Hadi umsemee?
Kila hela ni ya kukarabati ofisi? Hakuna shughuli nyingine zaidi ya ofisi?Sasa hela zote ambazo huwa mnapewa huwa mnapeleka wapi Kama hamzitafuni? Maana mmeshindwa hata kukarabati ofisi zenu
Shughuli gani hizo za miaka Zaid ya 30 ambazo zimefanya mshindwe kupaka rangi hata ofisiKila hela ni ya kukarabati ofisi? Hakuna shughuli nyingine zaidi ya ofisi?
Anapigana na vibaraka na wenye roho mbaya Kama yakoKumpigania kwani anapigana na nani
Hitaji la watanzania kupata utumishi wa mama SamiaNi hitaji la walamba asali, chawa na wapiga dili
Ukombozi wa Mtanzania kifikra hautegemei ubora au udhaifu wa rangi kama ya Kijani. Ndio maana mapambano ya Ukombozi yanapiganiwa hata Msituni. Wapigania Uhuru wetu wangesubiri kupiga rangi Majengo, huenda hata huu Uchawa na Ukiroboto wako usingeupata!!Shughuli gani hizo za miaka Zaid ya 30 ambazo zimefanya mshindwe kupaka rangi hata ofisi