Wenzako watasema "ni vifaa vya ujenzi"ππNi kwa mganga hapo?
Si unajua sisi watoto wa kishua hivi vitu ndo tunaona leoWenzako watasema "ni vifaa vya ujenzi"ππ
Hivi ulezi hauwagi na vile vidude dude?,. Ugali unalika kweliUgali una rangi ya kutisha πΉπΉ
Walitumia unga wa ulezi
Kwani inaruhusiwa hii kwa wakuryaEwe mwanamke kwanini uteseke na maisha wakati Freemasonry ipo kukutajirisha.
Uwe na kipaji au kazi yako binafsi
Uwe na umri miaka 25 - 45
Uwe jinsia ya kike
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi wa kafara
Baadaya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 2.5 za Tanzania.
Karibu Sasa ubadilishe maisha yako.
Mwezi wa 10 tunasajili wanawake tu karibuni wananchi.
View attachment 3064104
Si ulezi ni Mtama!Ugali una rangi ya kutisha πΉπΉ
Walitumia unga wa ulezi
Utafikiri walitumia udongo ππUgali una rangi ya kutisha πΉπΉ
Walitumia unga wa ulezi
Ndio, karibu chaiβπ₯―Poa mzima?
Punguza umri hapo mkuu,. Watu tunataka helaπ€Ewe mwanamke kwanini uteseke na maisha wakati Freemasonry ipo kukutajirisha.
Uwe na kipaji au kazi yako binafsi
Uwe na umri miaka 25 - 45
Uwe jinsia ya kike
Uwe tayari kutoa sadaka ya mbuzi wa kafara
Baadaya kujiunga utapewa mtaji wako shilingi bilioni 2.5 za Tanzania.
Karibu Sasa ubadilishe maisha yako.
Mwezi wa 10 tunasajili wanawake tu karibuni wananchi.
View attachment 3064104
Hahaa π Vishu weye πππUtafikiri walitumia udongo ππ
Asante kiongozi,. Barikiwa sanaNdio, karibu chaiβπ₯―
π€Asante kiongozi,. Barikiwa sana