Wakurya, najua mkiona hii picha hamuhitaji kutafasiriwa

ephen_ fursa hii 😂😁😁😁
 
Isije ikawa kuna mkurya alikuwa anakupiga dudu; akakushit ukaanza kuwakandia. Maana huwa hamueleweki nyie
Umefika mbali sana aisee!!
Kwahiyo waliowashngaa wote na kuwakandia nao walikuwa na mahusiano nayo??
Kalye mpali
 
Hahaha ugali huu kupika lazima uwe una nguvu mikononi ndio maana mama wa kikurya akikupiga kofi unadondoka hapo hapo
Ajichanganye atapigwa ban 🚫 badala ya ngumi ✊
 
Tizama vizuri picha, hayo ni mandazi.
Ingelikuwa ni ugali lingelikuwa ni fungu moja tu limesimikwa hapo kati kati kama mlima kilimanjaro
We jamaa ni muongo sana. Maandazi🤣
 
Hapo chooni lazima waimbe Aleluya 🤣🤣
Ndiomana watu wa kabila hilo wana hasira muda wote, wanakula vitu vya ajabu sana.!!
Mtama ni kama mahindi tu tofauti ni rangi.
Udaga/ mhogo una tabia ya kujivuta. Kwa hiyo ugali wake ni mraini sana.
Tatizo hapo ni hiyo kichuri.
Tembea uone cheupe. Au December moja tufanye tour ukaonje. Katika harakati nimetembea mikoa mingi na kula vyakula vya asili ila hicho cha mara naona kinapendwa sana na wageni.
 
Hawamix chochote. Nilipoletewasiku moja nikiwa Ngorime, nilishabikia nikidhani ni ulezi, lol, kutafuna haupiti katika koo. Si kitu rahisi mpaka uwe umezoea. Ni kama Kenke kama unaifahamu kwa watu wa West Africa
Ngoreme huwa wanakula mtama bika kuchanganya.
Ila huo oichani ni mchanganyiko wa udaga na mtama, unajulikana kwa macho tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…