Kuna mdau kasema ni mbaya hauna ladha.!Mtama ni kama mahindi tu tofauti ni rangi.
Udaga/ mhogo una tabia ya kujivuta. Kwa hiyo ugali wake ni mraini sana.
Tatizo hapo ni hiyo kichuri.
Tembea uone cheupe. Au December moja tufanye tour ukaonje. Katika harakati nimetembea mikoa mingi na kula vyakula vya asili ila hicho cha mara naona kinapendwa sana na wageni.
Itakuwa alipewa ugali wa mtama pekee tena mgumu. Huo hapo pichani ukionja hutatamani kuacha.Kuna mdau kasema ni mbaya hauna ladha.!
Na wewe ni kurya?
Ohhh! Kumbe?Itakuwa alipewa ugali wa mtama pekee tena mgumu. Huo hapo pichani ukionja hutatamani kuacha.
Mimi sio mkurya ila nimekaa nao kama miaka 5 hivi nikiwa mwajiriwa huko.
Hasira zao zinasababishwa na kunywa damu mbichi kama maasai.
Kwetu ni lupembe
Wanaume wa dar bwana yaan sujui huwa wakoje , mie mwenyewe baada tu ya kuona hapo hiyo picha nime salivate sanaTaswira ya chakula haivutii Kula! Anyways, mtu kwao!
Ugali na nyama ya kuchemsha? Sehemu nyingi nyama inakaangwa na kuwekwa viungo. Kuhusu ugali, hapo naunga mkono japo sijawahi kula ugali sijui wa mtama. Ila kwa afya ni mzuri sana.Mimi siyo Mkurya ila kijijini kwetu hicho chakula kipo, hasa wakija wageni.
Mimi nilijua maandazi asee 🤣🤣😂😂😂, Ndio wazo la kwanza lililonijia kichwani baada ya kuniambia sio maandazi
Halafu wanajifanya wababe "ntakugecha nitakugecha" kumbe Kichuli effect 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 na ladha pia hauna??
Ndiomana kurya wakifika dar hawataki kurudi kwao
Lupembe hii hii 🤣Itakuwa alipewa ugali wa mtama pekee tena mgumu. Huo hapo pichani ukionja hutatamani kuacha.
Mimi sio mkurya ila nimekaa nao kama miaka 5 hivi nikiwa mwajiriwa huko.
Hasira zao zinasababishwa na kunywa damu mbichi kama maasai.
Kwetu ni lupembe
Tatizo limeletwa na mtoa mada kutudumpia home work bila maelezo kama vile mtu anavyotupia mbwa marapu rapu kimya kimya na kufurahia wanavyogombania.We jamaa ni muongo sana. Maandazi🤣
Hiyo ilikuwa zamani.Tatizo limeletwa na mtoa mada kutudumpia home work bila maelezo kama vile mtu anavyotupia mbwa marapu rapu kimya kimya na kufurahia wanavyogombania.
Sasa kila mtu amekuja na maoni yake namna jinsi anavyotazama, hatuwez ku conclude kuwa ni uongo ama ukweli.
Rangi hiyo yaweza kuwa ni ya ugali wa ulezi ama wa mtama, lakini kwa mila na desturi ya maeneo hayo, ugali unasongwa na kupakuliwa fungu moja tu kubwa.
Hata mkiwa watu ishirini mnaweza kushea kwa kujenga duara, haugawiwi mafungu.
Hizo mboga ama kitoweo vyaweza kugawanywa namna hiyo kidogo kidogo kwenye vyombo.
Ndio baby🤣Lupembe hii hii 🤣
Haha😂😂Mimi nilikuwa maandazi asee 🤣🤣
Nikawaza moja ukipiga si hoi shibe whole day unashindia Hill water 🤣🤣
Aya kamwene bebi 🤣🤣Ndio baby🤣
Sisi ni majirani ndio maana tunaendana
Mnogage sweetheart ♥️Aya kamwene bebi 🤣🤣
Chitchat 😂Mnogage sweetheart ♥️
Kivipi tena my pineappleChitchat 😂
unaona upo mahala pake sioKivipi tena my pineapple
ongeeni Kiswahili wapuuzi. mambo ya kuongea kimakabila kwenye social platforms au public ni uduwanziThakenga ibhinthu msani enkagha neino