Wakuu acheni michepuko

Mwenye sikio na asikie.
 
5. King Muswati.
 
Daudi mwenyewe alimpeleka jamaa front huko vitani ili ale mbususu ya mke wa jamaa.

Sisi ni nani jamani!!
Kwa hiyo michepuko ipo tangu dhama hizo za wenyewe. Sisi tunaiga tu.
 
Binafsi siwezi tenda kosa hili kubwa. Wanawake mpo wengi kutuzidi. Tukioa mmoja mmoja hizo mbususu zinazobaki zihudumiwe na nani?
Kweli kabisa. Fanya research wanafunzi wanapotoka shule, utaona wengi ni wasichana.
 
MWANAMKE UNAPATA WAPI KIBALI CHA KUSIMAMA NA KUTUITA WANAUME NA KUANZA KUONGEA HUO UPUPU


GO BACK TO KITCHEN ...
 
Makasiriko ya nn Dada ....? Kwani ni kweli hauna bikira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…