Wakuu acheni michepuko

Punguza kudinywa na walevi
 
Sijakuelewa[emoji848]
 
Mimi nasema aliyemtenda huyu binti mfalme [emoji3][emoji3][emoji3] alimkomoa sana ! Yaan akiguswa kidogo anakimbilia nguvu za kiume , mimba na viagra ! Halafu inaonekana kama mshikaji alimwahidi mavitu kibao ! "Show za kibabe , outing pesa na mambo mazuri " kumbe yaliyomo yamo [emoji3][emoji3]
Oya wahuni mnatuponza wengine mjue !! Umemharass sana huyu binti
Shukrani za dhati kwa jamii forum kidogo mtu anaweza kupata sehemu ya kupunguza maumivu kupitia kuandika !! Tunasema kama unapitia wakati mgumu unaweza kulia ukishindwa msimulie mtu , ukishindwa basi andika inasaidia sana 🤏
 
Sijatendwa humu nani wakunitenda nini kipya hakuna shida ni mtu ni mshenzi anajibiwa kiushenzi inategemea mtu anavyokuja
 
Just refreshing only........ila usimiliki mchepuko.......kuwa makini.......awe anaefaa kwa matumizi rasmi....
 
Sasa kama wewe umeliwa na wengi unapata ujasiri gani wa kukemea dhambi?.

Umetamka wazi kuwa wanaume wengi zimelegea...
 
Mimi nayo 7 raha nayo pata kama niko peponi,usipotongoza utatongozwaaa wadangaji wataishije bila sisi
 
Unajua wewe ni mzee hadi kule panatoa vumbi jeup jeupe linalonuka kama kijambio cha kima halafu unaita wenzio wazee woiii jj hakuna mtoto wote watu wazima so jipe shughuli kibabu weee
😃😃😃Nilimiss tu maneno toka kwako tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]watu na misimamo yaooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…