Wakuu acheni michepuko

Wakuu acheni michepuko

Mie biblia mnajishaua kisa wanawake wameshatoa sana kwenu bikra zote hakuna ndio maana munatudharau sasa mtukome sio wote na hatutaki mijadala ya kiboya hapa mbona nyie hamuna hayo madudu yenu yamepauka na kulegea kama milenda ya kiboya .

Halafu kingine siku hizi mkiweza hata round 1 labda mumekunywa viagra imeandikwa 5x
Lolote hakuna hapo unajishaua tu
Punguza kudinywa na walevi
 
Halafu ngoja niwaambie kitu mtanisamehe watu humu seriously.
Wanaume wengi wametumika hadi siku mko chibis ukishika ile kitu huoni unaitafuta hamna hata yale mambo yao yamelegea viapple vimesinyaa vidogoo hadi basi .
Halafu kingine pia hawezi mambo kachokeana anakimbilia konyagi wai acheni uboya nyie mnajiona tu hata midomo imechakaa kama plastick.

Hamuwezi hata kumpa dada mimba mnamuwekea mdada hospitali hizo mbegu wala kitu chochote .
Mmechoshwa mpaka viinshu vimelambwa na wadada hadi vimesinyaa na nyie waja kupiga kelele huku wewee tulia tuli .
Sijakuelewa[emoji848]
 
Mimi nasema aliyemtenda huyu binti mfalme [emoji3][emoji3][emoji3] alimkomoa sana ! Yaan akiguswa kidogo anakimbilia nguvu za kiume , mimba na viagra ! Halafu inaonekana kama mshikaji alimwahidi mavitu kibao ! "Show za kibabe , outing pesa na mambo mazuri " kumbe yaliyomo yamo [emoji3][emoji3]
Oya wahuni mnatuponza wengine mjue !! Umemharass sana huyu binti
Shukrani za dhati kwa jamii forum kidogo mtu anaweza kupata sehemu ya kupunguza maumivu kupitia kuandika !! Tunasema kama unapitia wakati mgumu unaweza kulia ukishindwa msimulie mtu , ukishindwa basi andika inasaidia sana 🤏
 
Mimi nasema aliyemtenda huyu binti mfalme [emoji3][emoji3][emoji3] alimkomoa sana ! Yaan akiguswa kidogo anakimbilia nguvu za kiume , mimba na viagra ! Halafu inaonekana kama mshikaji alimwahidi mavitu kibao ! "Show za kibabe , outing pesa na mambo mazuri " kumbe yaliyomo yamo [emoji3][emoji3]
Oya wahuni mnatuponza wengine mjue !! Umemharass sana huyu binti
Shukrani za dhati kwa jamii forum kidogo mtu anaweza kupata sehemu ya kupunguza maumivu kupitia kuandika !! Tunasema kama unapitia wakati mgumu unaweza kulia ukishindwa msimulie mtu , ukishindwa basi andika inasaidia sana 🤏
Sijatendwa humu nani wakunitenda nini kipya hakuna shida ni mtu ni mshenzi anajibiwa kiushenzi inategemea mtu anavyokuja
 
Just refreshing only........ila usimiliki mchepuko.......kuwa makini.......awe anaefaa kwa matumizi rasmi....
 
Halafu ngoja niwaambie kitu mtanisamehe watu humu seriously.
Wanaume wengi wametumika hadi siku mko chibis ukishika ile kitu huoni unaitafuta hamna hata yale mambo yao yamelegea viapple vimesinyaa vidogoo hadi basi .
Halafu kingine pia hawezi mambo kachokeana anakimbilia konyagi wai acheni uboya nyie mnajiona tu hata midomo imechakaa kama plastick.

Hamuwezi hata kumpa dada mimba mnamuwekea mdada hospitali hizo mbegu wala kitu chochote .
Mmechoshwa mpaka viinshu vimelambwa na wadada hadi vimesinyaa na nyie waja kupiga kelele huku wewee tulia tuli .
Sasa kama wewe umeliwa na wengi unapata ujasiri gani wa kukemea dhambi?.

Umetamka wazi kuwa wanaume wengi zimelegea...
 
Mwanaume sikia hii uwe mume bora

Mwanaume nguvu zako ni kwa ajili ya mke mmoja siyo wanawake wotee

Mithali 31 :3

Usiwape wanawake nguvu zako :

Mungu alimpa mwanaume mke huyu mmoja kwenye bustani ya edeni. Huyo wa pili anaye fanya ndoa aina amani ameletwa na shetani kushindana na mungu. Mwanzo 2:18 - 25

Samsoni alikuwa na nguvu nyingi lakini kwa kuwa alipenda makahaba akamvaa derila kumbe hakuja kwa mapenzi alikuja kuchukua nguvu za samsoni.

Waamuzi 16:1

Samsoni akaenda gaza akaona huko mwanamke kahaba akaingia kwake.

Waamuzi 16:6

Derila akamwambia samsoni tafadhali uniambie asili ya nguvu zako nyingi na jinsi uwezavyo weza kufungwa ili uteswe.

Samsoni kwa kubembelezwa na derila akimdanganya anampenda alitoa nguvu zake naatimae wafilisti waliomtuma derila wakamuua samsoni waamuzi 16:15-23

Nini unajifunza hapo mke wako ndio anatakiwa apate nguvu zako hao wanawake wazuri unaowaona sasa wapo kazini wametumwa na shetani

Kaka zangu na baba zangu. Mke wako ni mzuri sanaa na ndio mana ulimuoa acha zambi itakuuwa shetani yupo kazini anatumia warembo. Mbona kabla ujaoa ujakuwa hivyo? Tafakari sanaa mungu akukomboe kupitia andiko hili

Mithali 18 :22

Apataye mke apata kitu chema naye ajipatia kibali kwa bwana.

Muulize anaye mpenda mke wake kweli na asiye chepuka akuonyeshe mafanikio yao ndio utaamini kuwa neno la mungu ndio usalama wako ubarikiwe sanaa kaka na baba

View attachment 2234655
Mimi nayo 7 raha nayo pata kama niko peponi,usipotongoza utatongozwaaa wadangaji wataishije bila sisi
 
Unajua wewe ni mzee hadi kule panatoa vumbi jeup jeupe linalonuka kama kijambio cha kima halafu unaita wenzio wazee woiii jj hakuna mtoto wote watu wazima so jipe shughuli kibabu weee
😃😃😃Nilimiss tu maneno toka kwako tu
 
1. Unamzungumzia ibrahimu baba wa Imani aliemtafuna hausigelo wake.

2. Unamzungumzia mfalme suleimani alietafuna Wanawake 700 na Michepuko 300.

3. Unamzunguziaje Lutu aliewatafuna mabinti zake wakuwazaa baada ya kupiga ulabu.

4. Unamzungumziaje YAKOBO

5. .......

Kuchepuka ingekua Ni dhambi,
bila shaka mungu angeanza kushughulika na hao ambao Ni vioo vyetu vya imani
[emoji23][emoji23][emoji23]watu na misimamo yaooo
 
Back
Top Bottom